Shein hawezi akashinwa. Usibabaike na data za Mheshimiwa Mwiba. Ndiyo yale yale!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu mwaka huu kama hajaapishwa Seif Zanzibar unguja Pemba watamuapisha. Nimeongea na mtu anasema kuna maboksi yamekamatwa sehemu za mtoni yashapigwa kura tayari. Na sehemu za ngome kongwe watu walikuwa wakibambikiziwa karatasi ambazo zishapigiwa kura , matukio hayo hayo pia yametokea sehemu za mtoni ambapo inasemekana pia wameonekana wageni (wasio watanzania) wakipiga kura.
Dr,Shein keshatangazwa mshindi ZNZ ccm oyeeeeeeeeeeeee....
Yakhe hiyo twaiita Unguja baba, Tusubiri jimbo la KWEREKWE na MAKUNDUCHI maana ndiyo yao atiii,Hiyo ni Unguja au Pemba yakhe?
Mvumilivu hula mbivu.
Maalim Seif hii ni zamu yake. SAWA SAWA!
angalia itv wanatangaza live