nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
KUNA NI HAPO itv? HAPA KWETU HAKUNA ITV. mIEangalia itv wanatangaza live
KUNA NI HAPO itv? HAPA KWETU HAKUNA ITV. mIEangalia itv wanatangaza live
1) Kituo Cha Bwawani-Unguja
Maalaim seif CUF 593
Dr Shein CCM 141
Jimbo la Chake Chake-Pemba
Kituo cha Michakaini
Maalim Seif CUF 956
Dr. Shein CCM 246.
Kituo cha Ngwachani
Maalim CUF 623,
Shein CCM 132.
Wadi ya vikokotoni
Maalim Seif CUF 204
Dr Shein CCM 96
Ziwani -Pemba *
Maalim Seif CUF 1080
Dr Shein CCM 60
Malindi - Unguja
Maalim Seif CUF 104
Dr Shein CCM 28
Jimbo la Mtoni limeenda CUF kwa mujibu wa Farouq Karim, CCM imechukua majimbo saba.KUNA NI HAPO itv? HAPA KWETU HAKUNA ITV. mIE
Jimbo la Mtoni limeenda CUF kwa mujibu wa Farouq Karim, CCM imechukua majimbo saba.
Majimbo namne tume imemtangaza Shein kuongoza Znz.
majimbo hayo ni:
1. Fuoni:
Shein 6351
seif 2777
2. Mtoni-Unguja
Shein 4852
Seif 3746
3. Dole
Shein 4777
Seif 207
4. Dimani
Sehin 6225
Seif 4898
5.Kiembe Samaki
Shein 2734
Seif 1041
6. Mwanakwereke
Shein 4338
Seif 2812
7. Bubu
Shein 4458
Seif 4119
8. Mferejini
shein 3755
Seif 2246
matokeo Rasmi ya Tume yaliyotangazwa TBC live
cuf hakuna jipya kama ni hvyo
Naona Mongowe unachakachua matokeo matokeo kiusahihi haya hapa:
fuoni- cuf,2777
ccm,6351
mtoni- cuf,4852
ccm,3749
dole- cuf,2007
ccm4777
dimani-cuf,4898
ccm,6225
k/samaki-cuf,1041
ccm,2734
m/kwerekwe-cuf,2812
ccm,4338
bububu-cuf,4119
ccm,4458
mfenesini-cuf,2246
ccm,3755
Naangalia TBC Live toka ukumbi wa Salama Hall, Hoteli ya Bwawani ambapo matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Zanzibar, yanatakiwa kutangazwa wakati wowote.
Mtangazaji Ali Saleh wa BBC ameohojiwa, anashangaa hii sintofahamu ya nini wakati kufikia asubuhi ya leo, matokeo yote tayari yalishapatikana!.
Ametoa angalizo, huku kuchelewa kutangaza matokeo ili hali wanayo, ndiko kunakopelekea kutishia amani.