Dr. Salim Ahmed Salim kuwa Obama wa Tanzania 2015?

Tatizo ni kuwa WaZanzibari hawampendi wanamwita MWARABU; Hawapendi UARABU wake haufai... lakini Wanapenda kweli kuitwa kuwa wao ni Waarabu wa OMAN; it is shocking - this kind of discrimination...

Na ukiangalia Maalim Seif na Salim Ahmed Salim wana Undungu; Sasa ni kivipi Maalim Seif awe anakubalika Zanzibar pamoja na kuwa yeye ni Mpemba na Salim Salim kuwa na Undugu na Maalim na ni wa Pemba hakubaliki huko Zanzibar?

Unajua There is no vaccine to fight this kind of Racism and no antibiotics to take. It's a dangerous and infectious virus, strengthened by indifference and inaction... But, Salim angekuwa Rais mzuri sana...
Na huo ndio ukweli ambao ulimfanya SAS kukosa nafasi ya kuteuliwa mwaka 2005 ingawaje watu wanapotosha kwamba alichafuliwa na JK! Hata kama JK alifanya propaganda chafu dhidi ya SAS, kilichomwangusha zaidi ni hicho ambacho umekisema! Wana-CCM wengi wa bara hawana tatizo na SAS lakini tatizo lipo kutoka kwa wale ZNZ/Unguja ambao hadi leo wanamuhusisha SAS na HIZBU/ZNP.....chama cha Kisultani!

Tukirudi kweneye mshangao wako wa kwamba inakuwaje Seif anakubalika kuliko SAS kule ZNZ wakati wote ni wale; ni kwamba umeteleza kidogo! Seif anakubalika Zanzibar upande wa Pemba na sio Unguja! Wana-CCM wa Unguja ambao wengi ni ex-ASP wanamuona Seif kwa jicho lile lile wanalomuona nalo SAS! Sehemu ambazo Seif anakubalika Unguja ni zile zenye wakazi jamii ya akina Seif/Salim! Ukisikia CCM wanawaambia wananchi kwamba wasiichague CUF coz' watarudisha utawala wa Kisultani; maana yao ni ile ile inayowafanya wamnyanyapae SAS. Seif nae, anaonekana ni product ya HIZBU ingawaje Wapemba weusi hawajadanganyka na propaganda hii na iliyowakolea ni Waunguja Weusi!
 
Wadau mnamuonaje Dr. Salim, kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
naona mmekazana sana kumpa promo ndo kazi yenu mnapewa sh. ngapi
 
Na huo ndio ukweli ambao ulimfanya SAS kukosa nafasi ya kuteuliwa mwaka 2005 ingawaje watu wanapotosha kwamba alichafuliwa na JK! Hata kama JK alifanya propaganda chafu dhidi ya SAS, kilichomwangusha zaidi ni hicho ambacho umekisema! Wana-CCM wengi wa bara hawana tatizo na SAS lakini tatizo lipo kutoka kwa wale ZNZ/Unguja ambao hadi leo wanamuhusisha SAS na HIZBU/ZNP.....chama cha Kisultani!

Tukirudi kweneye mshangao wako wa kwamba inakuwaje Seif anakubalika kuliko SAS kule ZNZ wakati wote ni wale; ni kwamba umeteleza kidogo! Seif anakubalika Zanzibar upande wa Pemba na sio Unguja! Wana-CCM wa Unguja ambao wengi ni ex-ASP wanamuona Seif kwa jicho lile lile wanalomuona nalo SAS! Sehemu ambazo Seif anakubalika Unguja ni zile zenye wakazi jamii ya akina Seif/Salim! Ukisikia CCM wanawaambia wananchi kwamba wasiichague CUF coz' watarudisha utawala wa Kisultani; maana yao ni ile ile inayowafanya wamnyanyapae SAS. Seif nae, anaonekana ni product ya HIZBU ingawaje Wapemba weusi hawajadanganyka na propaganda hii na iliyowakolea ni Waunguja Weusi!


Lakini nilikuwa nasikiliza Baraza la Wawakilishi Wanasema Waalimu hawataki kufundisha HISTORIA kwahiyo hawaongelei kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar... wanaongelea kuhusu utawala wa SULTANI...

Sasa serikali ya Zanzibar pia inaongelea mazuri ya SULTANI sasa kwanini Wamzuie SAS???
 

Lakini nilikuwa nasikiliza Baraza la
Wawakilishi Wanasema Waalimu hawataki kufundisha HISTORIA kwahiyo hawaongelei kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar... wanaongelea kuhusu utawala wa SULTANI...

Sasa serikali ya Zanzibar pia inaongelea mazuri ya SULTANI sasa kwanini Wamzuie SAS???
Sina hakika walikuwa wanajadili nini hasa! Hata hivyo, ngoja tujaribu kutafuta mantini ya hizo sehemu nilizozi-color!
RED: Walimu hawataki kufundisha Historia>>>> , is this like saying na matokeo yake na hapo kwenye...
GREEN kwahiyo hawaongelei Mapinduzi ya Zanzibar?! na badala yake tunafikia hapo kwenye...
BLACK kwamba wanaishia kuongelea Utawala wa Sultani?!

Nikijaribu ku-connect dots hapo nafikia kuona kwamba SMZ hawaongelei mazuri ya SULTANI bali wanalalamika kutofundishwa historia kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar na Walimu kuishia kuongelea mazuri ya Utawala wa Sultani! Na kimsingi, sitarajii kuona mtu wa CCM Zanzibar(ex-ASP) akizungumzia mazuri ya Sultani hata siku moja! Wale jamaa hadi kesho wanajitapa kutembea kifua mbele na suala la Mapinduzi and not otherwise!! Kama utakumbuka, wanazi wa CCM Zanzibar(ex-ASP) walishwahi kutamka kwamba wameichukua nchi ile kwa mapinduzi so they can't let it go by makaratasi(kwa maana ya sanduku la kura)!! Na ndio maana hado leo ni kawaida kuwasikia wakitoa salama ya "MAPINDUZIIII, DAIMAAA!" Mwarabu/Sultani keshaondoka, sasa salaam hizi wanampiga kijembe nani?! Jibu ni kwamba wanawapiga vijembe CCM/CUF(ex-HIZBU/ZNP)! Wakati CCM(ex-ASP) wanashadadia mapinduzi yale, bado CCM/CUF(ex-HIZBU/ZNP) wanaamini mapinduzi yale yalikuwa haramu simply because yaliong'oa utawala halali wa Sultan. Hata hivyo, CCM ex-HIZBU ni wachache na ndio maana mtu kama SAS hana support!!
 
Sina hakika walikuwa wanajadili nini hasa! Hata hivyo, ngoja tujaribu kutafuta mantini ya hizo sehemu nilizozi-color!
RED: Walimu hawataki kufundisha Historia>>>> , is this like saying na matokeo yake na hapo kwenye...
GREEN kwahiyo hawaongelei Mapinduzi ya Zanzibar?! na badala yake tunafikia hapo kwenye...
BLACK kwamba wanaishia kuongelea Utawala wa Sultani?!

Nikijaribu ku-connect dots hapo nafikia kuona kwamba SMZ hawaongelei mazuri ya SULTANI bali wanalalamika kutofundishwa historia kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar na Walimu kuishia kuongelea mazuri ya Utawala wa Sultani! Na kimsingi, sitarajii kuona mtu wa CCM Zanzibar(ex-ASP) akizungumzia mazuri ya Sultani hata siku moja! Wale jamaa hadi kesho wanajitapa kutembea kifua mbele na suala la Mapinduzi and not otherwise!! Kama utakumbuka, wanazi wa CCM Zanzibar(ex-ASP) walishwahi kutamka kwamba wameichukua nchi ile kwa mapinduzi so they can't let it go by makaratasi(kwa maana ya sanduku la kura)!! Na ndio maana hado leo ni kawaida kuwasikia wakitoa salama ya "MAPINDUZIIII, DAIMAAA!" Mwarabu/Sultani keshaondoka, sasa salaam hizi wanampiga kijembe nani?! Jibu ni kwamba wanawapiga vijembe CCM/CUF(ex-HIZBU/ZNP)! Wakati CCM(ex-ASP) wanashadadia mapinduzi yale, bado CCM/CUF(ex-HIZBU/ZNP) wanaamini mapinduzi yale yalikuwa haramu simply because yaliong'oa utawala halali wa Sultan. Hata hivyo, CCM ex-HIZBU ni wachache na ndio maana mtu kama SAS hana support!!


Lakini Ukiangalia UCHAGUZI wa Rais namba hazitofautiani 2010 difference ilikuwa sio zaidi ya kura 500
 
Lakini Ukiangalia UCHAGUZI wa Rais namba hazitofautiani 2010 difference ilikuwa sio zaidi ya kura 500
Ukiangalia tangu enzi za ukoloni/sultani, margins kati ya mshindi na mshindwa huwa ndogo! Mathalani, hata ukichukua uchaguzi wa mwisho wakati wa sultani, ukichukua matokeo kati ya ASP, ZNP, ZPPP ni kwamba ASP walikuwa wameshinda viti vingi zaidi kuliko ZNP and ZPPP. Na pale ZNP & ZPPP walipoungana, wakawa mbele kwa kiti kimoja (kama sikosei) na hivyo kuunda serikali.


Sasa ukiangalia sana, utakuta ASP ndo hawa CCM wa leo wakati ZNP and ZPPP ndo hawa CUF wa leo! Sasa katika na kilichobadilika ni majina tu. Sasa tukumbuke kwamba, baada ya Sultan kupinduliwa, automatically ZNP nd ZPPP vikafa natural death na kubaki ASP peke yake ambayo baadae ndo walikuwa CCM.


So, ikiwa collision ya ZNP+ZPPP iliweza kuizidi ASP kwa wingi wa viti, ni kwanini basi CUF ya leo inayoonekana ndo kama ZNP+ZPPP inashindwa na CCM ya leo ambayo ndiyo ASP?!


Sina hakika katika hili lakini inawezekana kabisa kwamba baada ya ZNP&ZPPP kufa, basi wapo wanasiasa kadhaa kutoka kambi hiyo ambayo waliamua kujiunga na kuonesha royalty kwa ASP. Na si ajabu hata wafuasi nao ikawa hivyo hivyo na hivyo kuifanya new ASP(CCM) kuwa na nguvu juu kidogo ya ya new ZNP/ZPPP(CUF). Lakini hata ukiangalia polls distribution, hadi leo zina-reflect kile kile ambacho kilikuwa kinachotokea back 1963! Kwamba the new ZNP/ZPPP(CUF) bado wana maguvu ya kutisha upande wa Pemba ambako ndiko pia ilikuwa ngome ya ZPPP & ZNP. The same apply kwa the new ASP/CCM ambayo ina maguvu sana Unguja kama alivyokuwa ASP mwenyewe!


Sasa, ukichukua uhalisia huo, ukachanganya na population distribution na commitment ya wapiga kura ndo unaweza kuona ni nini hasa kinachotokea kwenye margins.


Tukiangalia suala la population distribution, tunaweza kuona ndo hasa kinachoibeba CCM ya sasa kule Zanzibar. Hii ni kwamba Unguja kuna population kubwa kuliko Pemba! Sasa kv Waunguja wengi ni Waafrika weusi, unakuta wengi wao wanai-support CCM na sio CUF(wanaosemwa kwamba wanataka kurudisha utawala wa Sultani). Sasa percent ndogo ya Waunguja wasio weusi, unakuta wengi wao wanaiunga mkono CUF na hivyo ku-boost population ya Pemba(by imagination) na kwa maana hiyo kui-boost population ya CUF supporters! Na ndio maana unakuta hadi leo wakati CCM hawapati viti Pemba, CUF wanapata viti Unguja!


Ukija na Voters Commitment, utakuta kwamba ni variable inayoisaidia zaidi CUF kuliko CCM. Maana yangu hapa ni kwamba, Wanzabar (Wapemba na Waunguja) wengi sana wanaishi Bara. Wapemba wapo tofauti sana na Wazanzibari wa Unguja! Wapemba wapo so committed. Ni jambo la kawaida sana, tena sana kuona Wapemba kutoka Bara wakipanda boti wakati wa Uchaguzi kurudi Pemba/Unguja kwa ajili ya kupiga kura jambo ambalo ni nadra sana kufanywa na Wazanzibar wa Unguja, hususani from Black origin. Na hawa Wapemba wanaorudi kwao kui-support CUF sio wa Dar es salaam tu, bali hata wa mikoa ya jirani kama vile Pwani, Morogoro na si ajabu hata wa Dodoma na Iringa! Sina haja ya kuwataja waliopo Tanga ambao wanaunganisha na mashua tu kurudi Pemba kutokea huko huko Tanga!


Sasa hii maana yake nini? Ni kwamba, kwa mara nyingine Unguja population inayoi-support CCM inakuwa imeathirika kwa mara nyingine na kui-boost Pemba population inayoi-support CUF. So, it's like taking the whole Zanzibar population yenye wakazi wengi Unguja kuliko Pemba kisha unai-shake to certain degrees na kisha unaiachia! Ukiiachia, unakuta wengi From Unguja(CCM) wanadondokea Pemba(CUF) but not high enough to outnumber the net Unguja population.....keeping other factors constant!
 
Salim mwaka 2005 alikua na miaka 63 so 2015 atakua ana 73 lakin ikulu habebi zege busara,uadilifu,hekima na uelewa wake ndio unahitajika.halafu salim hajasema anagombea lakin naona watu wa lowassa,membe wameungana na pro chadema kumchafua nadhani wote wanamuona tishio kwenye mbio za urais wao hahaha tulieni mwacheni mzee wa watu apumzike hagombei urais salim a salim anawapa presha sana!
 
Ukiangalia tangu enzi za ukoloni/sultani, margins kati ya mshindi na mshindwa huwa ndogo! Mathalani, hata ukichukua uchaguzi wa mwisho wakati wa sultani, ukichukua matokeo kati ya ASP, ZNP, ZPPP ni kwamba ASP walikuwa wameshinda viti vingi zaidi kuliko ZNP and ZPPP. Na pale ZNP & ZPPP walipoungana, wakawa mbele kwa kiti kimoja (kama sikosei) na hivyo kuunda serikali.


Sasa ukiangalia sana, utakuta ASP ndo hawa CCM wa leo wakati ZNP and ZPPP ndo hawa CUF wa leo! Sasa katika na kilichobadilika ni majina tu. Sasa tukumbuke kwamba, baada ya Sultan kupinduliwa, automatically ZNP nd ZPPP vikafa natural death na kubaki ASP peke yake ambayo baadae ndo walikuwa CCM.


So, ikiwa collision ya ZNP+ZPPP iliweza kuizidi ASP kwa wingi wa viti, ni kwanini basi CUF ya leo inayoonekana ndo kama ZNP+ZPPP inashindwa na CCM ya leo ambayo ndiyo ASP?!


Sina hakika katika hili lakini inawezekana kabisa kwamba baada ya ZNP&ZPPP kufa, basi wapo wanasiasa kadhaa kutoka kambi hiyo ambayo waliamua kujiunga na kuonesha royalty kwa ASP. Na si ajabu hata wafuasi nao ikawa hivyo hivyo na hivyo kuifanya new ASP(CCM) kuwa na nguvu juu kidogo ya ya new ZNP/ZPPP(CUF). Lakini hata ukiangalia polls distribution, hadi leo zina-reflect kile kile ambacho kilikuwa kinachotokea back 1963! Kwamba the new ZNP/ZPPP(CUF) bado wana maguvu ya kutisha upande wa Pemba ambako ndiko pia ilikuwa ngome ya ZPPP & ZNP. The same apply kwa the new ASP/CCM ambayo ina maguvu sana Unguja kama alivyokuwa ASP mwenyewe!


Sasa, ukichukua uhalisia huo, ukachanganya na population distribution na commitment ya wapiga kura ndo unaweza kuona ni nini hasa kinachotokea kwenye margins.


Tukiangalia suala la population distribution, tunaweza kuona ndo hasa kinachoibeba CCM ya sasa kule Zanzibar. Hii ni kwamba Unguja kuna population kubwa kuliko Pemba! Sasa kv Waunguja wengi ni Waafrika weusi, unakuta wengi wao wanai-support CCM na sio CUF(wanaosemwa kwamba wanataka kurudisha utawala wa Sultani). Sasa percent ndogo ya Waunguja wasio weusi, unakuta wengi wao wanaiunga mkono CUF na hivyo ku-boost population ya Pemba(by imagination) na kwa maana hiyo kui-boost population ya CUF supporters! Na ndio maana unakuta hadi leo wakati CCM hawapati viti Pemba, CUF wanapata viti Unguja!


Ukija na Voters Commitment, utakuta kwamba ni variable inayoisaidia zaidi CUF kuliko CCM. Maana yangu hapa ni kwamba, Wanzabar (Wapemba na Waunguja) wengi sana wanaishi Bara. Wapemba wapo tofauti sana na Wazanzibari wa Unguja! Wapemba wapo so committed. Ni jambo la kawaida sana, tena sana kuona Wapemba kutoka Bara wakipanda boti wakati wa Uchaguzi kurudi Pemba/Unguja kwa ajili ya kupiga kura jambo ambalo ni nadra sana kufanywa na Wazanzibar wa Unguja, hususani from Black origin. Na hawa Wapemba wanaorudi kwao kui-support CUF sio wa Dar es salaam tu, bali hata wa mikoa ya jirani kama vile Pwani, Morogoro na si ajabu hata wa Dodoma na Iringa! Sina haja ya kuwataja waliopo Tanga ambao wanaunganisha na mashua tu kurudi Pemba kutokea huko huko Tanga!


Sasa hii maana yake nini? Ni kwamba, kwa mara nyingine Unguja population inayoi-support CCM inakuwa imeathirika kwa mara nyingine na kui-boost Pemba population inayoi-support CUF. So, it's like taking the whole Zanzibar population yenye wakazi wengi Unguja kuliko Pemba kisha unai-shake to certain degrees na kisha unaiachia! Ukiiachia, unakuta wengi From Unguja(CCM) wanadondokea Pemba(CUF) but not high enough to outnumber the net Unguja population.....keeping other factors constant!

That was a Great explanation!!!... Sasa UAMSHO wanaangukia upande gani? ukiondoa kutaka Zanzibar kuwa HURU? Kwasababu - Wamekuwa wakipata SUPPORT toka CUF na pia Rais Mstaafu Karume sasa hivi kuna Hoja zao inaonekana kama Vile anazipenda...
 
Kwanini Dr. Salim awe Rais wakati tunae kipenzi cha Watanzania abae ni Dr. Slaa
 
kwa sasa nafikiri tatizo ni chama Mtu yeyote akitokea ndani ya CCM hawezi akaenda kinyume na interest za chama atabadilishwa tu mfano jk alikuja juu sana kuhusu nyumba zilizo uzwa lakin kutokana na mfumo alishindwa ssa hvi nyumba zilizo mahosipitali za watu binafsi hku daktari na manesi wanaishi kilometa kadhaa na nyumba za maocd the samething ni bora chama chochote kichukue nchi lakni sio CCM
 
That was a Great explanation!!!... Sasa UAMSHO wanaangukia upande gani? ukiondoa kutaka Zanzibar kuwa HURU? Kwasababu - Wamekuwa wakipata SUPPORT toka CUF na pia Rais Mstaafu Karume sasa hivi kuna Hoja zao inaonekana kama Vile anazipenda...
That was a Great explanation!!!... Sasa UAMSHO wanaangukia upande gani? ukiondoa kutaka Zanzibar kuwa HURU? Kwasababu - Wamekuwa wakipata SUPPORT toka CUF na pia Rais Mstaafu Karume sasa hivi kuna Hoja zao inaonekana kama Vile anazipenda...
Binafsi siwaoni UAMSHO kama wanaangukia CUF peke yake bali hata CCM. Hata hivyo, nashawishika kuamini kwamba hawa ni MASALIA YA ZNP zaidi na ndio maana wanaonekana kuangukia moja kwa moja upande wa CUF kuliko CCM coz' kama nilivyotangulia kusema CUF ni ex-ZNP/ZPPP lakini kwa UAMSHO nimewataja ZNP zaidi kuliko ZPPP! Lakini kama tulivyosema hapo awali kwamba, possibly, baada ya natural death ya ZNP na ZPPP, hakuna shaka wapo wafuasi wao ambao walikuja kuwa Royal kwa ASP and later CCM; ndio maana nasema wapo vilevile kutoka CCM wanawaunga mkono UAMSHO.....Lakini wengi wao hapa watakuwa ni masalia ya ZNP zaidi kuliko ZPPP au ASP(original).

Hapo katika kuangukia zaidi upande wa ZNP ndipo unapoweza kufahamu ni kwanini Karume anahusishwa nao! Binafsi sikupata taarifa za kutosha jinsi ya Karume alivyoingia/alivyoingizwa katikati ya UAMSHO! Nasikia hadi kuzomewa alizomewa! Suala la kujiuliza, hadi sasa kuna viongozi wangapi mbali na KARUME ambao wamezomewa kutokana na uhusika wao na UAMSHO?! Lakini tusisahau kwamba we're heading towards 2015 na bado kuna minong'ono minon'ono ya hapa na pale kwamba 2015(CCM) ni zamu ya Zanzibar. Leo hii VP Bilali from Zanzibar.....huyu bwana ni MNAZI wa MAPINDUZI! Huyu bwana bado ana kambi ambayo ni very STRATEGIC kule ZANZIBAR, ambayo kwa huku Bara ni kama walivyokuwa WANAMTANDAO! Tofauti iliyopo ni kwamba, Wanamtandao wamemalizana wenyewe kwa wenyewe lakini kambi ya Bilali kule ZNZ bado ipo hai; ni kama SLEEPER OR DORMANT, just waiting for ACTIVATION!

Pamoja na Bilali, vilevile bado kuna Karume! Karume nae ingawaje ni mwana-ASP lakini anaonekana ni kama u-ASP wake ni wa kinasaba zaidi (cos' born from ASP father) kuliko wa kiitikadi!! Huyu, wanazi wa ASP wanamuona ni MWARABU tu, hana lolote....na hivyo moja kwa moja kuangukia kwenye itikadi za ki-ZNP zinazoonekana kama ndo muelekeo wa UAMSHO. Kwahiyo, inawezekana ni kweli kabisa kwamba Karume anawa-support UAMSHO au ni inawezekana ni propaganda za wapinzani wake/Wanazi wa ASP za kutaka kumharibia way forward 2015. Kwamba, kutokana na Uarabu wake ambao wengi wao kabla ya Mapinduzi walikuwa ZNP ambayo inaoonekana kuizaa UAMSHO, sasa nae ndo anasukumizwa huko huko!

Hoja nyingine ya msingi; je UAMSHO wanataka nini hasa?! For the time being, sina shaka yoyote ile kwamba wanachotaka ni ZANZIBAR yao and not otherwise! Lakini hofu yangu ni kwamba, siku za usoni hawatataka wabaki na Zanzibar hii tunayoina hivi sasa bali nashawishika wataitamani Zanzibar sawa na Falkland Islands linapokuja suala la visiwa hivyo kati ya Uingereza na Argentina....nazani umenielewa; sitaki kupigwa mawe na kusutwa kwa uzandiki!
 
Binafsi siwaoni UAMSHO kama wanaangukia CUF peke yake bali hata CCM. Hata hivyo, nashawishika kuamini kwamba hawa ni MASALIA YA ZNP zaidi na ndio maana wanaonekana kuangukia moja kwa moja upande wa CUF kuliko CCM coz' kama nilivyotangulia kusema CUF ni ex-ZNP/ZPPP lakini kwa UAMSHO nimewataja ZNP zaidi kuliko ZPPP! Lakini kama tulivyosema hapo awali kwamba, possibly, baada ya natural death ya ZNP na ZPPP, hakuna shaka wapo wafuasi wao ambao walikuja kuwa Royal kwa ASP and later CCM; ndio maana nasema wapo vilevile kutoka CCM wanawaunga mkono UAMSHO.....Lakini wengi wao hapa watakuwa ni masalia ya ZNP zaidi kuliko ZPPP au ASP(original).

Hapo katika kuangukia zaidi upande wa ZNP ndipo unapoweza kufahamu ni kwanini Karume anahusishwa nao! Binafsi sikupata taarifa za kutosha jinsi ya Karume alivyoingia/alivyoingizwa katikati ya UAMSHO! Nasikia hadi kuzomewa alizomewa! Suala la kujiuliza, hadi sasa kuna viongozi wangapi mbali na KARUME ambao wamezomewa kutokana na uhusika wao na UAMSHO?! Lakini tusisahau kwamba we're heading towards 2015 na bado kuna minong'ono minon'ono ya hapa na pale kwamba 2015(CCM) ni zamu ya Zanzibar. Leo hii VP Bilali from Zanzibar.....huyu bwana ni MNAZI wa MAPINDUZI! Huyu bwana bado ana kambi ambayo ni very STRATEGIC kule ZANZIBAR, ambayo kwa huku Bara ni kama walivyokuwa WANAMTANDAO! Tofauti iliyopo ni kwamba, Wanamtandao wamemalizana wenyewe kwa wenyewe lakini kambi ya Bilali kule ZNZ bado ipo hai; ni kama SLEEPER OR DORMANT, just waiting for ACTIVATION!

Pamoja na Bilali, vilevile bado kuna Karume! Karume nae ingawaje ni mwana-ASP lakini anaonekana ni kama u-ASP wake ni wa kinasaba zaidi (cos' born from ASP father) kuliko wa kiitikadi!! Huyu, wanazi wa ASP wanamuona ni MWARABU tu, hana lolote....na hivyo moja kwa moja kuangukia kwenye itikadi za ki-ZNP zinazoonekana kama ndo muelekeo wa UAMSHO. Kwahiyo, inawezekana ni kweli kabisa kwamba Karume anawa-support UAMSHO au ni inawezekana ni propaganda za wapinzani wake/Wanazi wa ASP za kutaka kumharibia way forward 2015. Kwamba, kutokana na Uarabu wake ambao wengi wao kabla ya Mapinduzi walikuwa ZNP ambayo inaoonekana kuizaa UAMSHO, sasa nae ndo anasukumizwa huko huko!

Hoja nyingine ya msingi; je UAMSHO wanataka nini hasa?! For the time being, sina shaka yoyote ile kwamba wanachotaka ni ZANZIBAR yao and not otherwise! Lakini hofu yangu ni kwamba, siku za usoni hawatataka wabaki na Zanzibar hii tunayoina hivi sasa bali nashawishika wataitamani Zanzibar sawa na Falkland Islands linapokuja suala la visiwa hivyo kati ya Uingereza na Argentina....nazani umenielewa; sitaki kupigwa mawe na kusutwa kwa uzandiki!

Wow... Sasa kuhusu 2015; Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa CCM; Kama SALIM SALIM akisimama - Sidhani kama itakuwa VIGUMU kwake kupata kura za URAIS BARA; Sababu nadhani ya NYERERE kumuamini na yeye Mwenyewe kutokuwa na Makundi na kufanya kazi VIZURI haswa alipokuwa wizara ya ulinzi...

Sijui kwa Zanzibar lakini labda Pemba atapata kura; Lakini Sijui kama itawezekana sababu Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar amesema kuwa wanataka kuchagua Rais kutokea Zanzibar na sio DODOMA kama ilivyokuwa inafanywa; sasa hapo inaonyesha kuwa SIDHANI NGUVU za DODOMA zitachagua wanayemtaka...

Lakini CCM ya sasa sio ya Miaka 20 iliyopita; Inabeba yoyote kwa ZAMU awe RAIS, Sasa hivi inahitaji awe na SIFA haswa za UONGOZI; UFISADI hakuna; na mengi tu... Kwahiyo Kama ni Zamu ya Zanzibar sidhani kama wakimpa BILAL pamoja na kutumia NGUVU za DOLA na MABILIONI ya PESA atapata kura za kumfanya Rais; na Itabidi wafunge macho wamchague SALIM SALIM pamoja na kumwita Mwarabu... ukiangalia kiundani Wazanzibari wengi wanapenda kuitwa Waarabu anyways Oh MIMI ni wa OMANI...

Yeah, Ukiangalia Historia ya Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Karume hakuwa na Issue sana na ZNP Pamoja na kufanya affiliation na ZPPP na kutengeneza serikali ya kwanza 1963. Sasa inasemekana Karume pamoja na kuzulumiwa alikubaliana na Jinsi Waingereza walivyokubali Union kati ya ZNP na ZPPP kwahiyo Mohamed Shamte PM yeye alikuwa ni wa ZPPP?

Lakini, kinachonishangani ni hivi Mwingereza alipotoa UHURU akambakisha SULTANI Madarakani hapo ndipo ASP wakapinga kwanini? Walifanyiwa DHULUMA kwenye UCHAGUZI and they swallow that PAIN kwanini ya SULTANI hapo ndipo wakapinga British Colonists???

Na UMMA Party ambacho kilikuwa na Waafrika wasomi ambao wengine walijiunga na ASP ni Upande GANI sasa hivi huko Zanzibar bado wako upande wake???
 

Wow... Sasa kuhusu 2015; Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa CCM; Kama SALIM SALIM akisimama - Sidhani kama itakuwa VIGUMU kwake kupata kura za URAIS BARA; Sababu nadhani ya NYERERE kumuamini na yeye Mwenyewe kutokuwa na Makundi na kufanya kazi VIZURI haswa alipokuwa wizara ya ulinzi...

Sijui kwa Zanzibar lakini labda Pemba atapata kura; Lakini Sijui kama itawezekana sababu Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar amesema kuwa wanataka kuchagua Rais kutokea Zanzibar na sio DODOMA kama ilivyokuwa inafanywa; sasa hapo inaonyesha kuwa SIDHANI NGUVU za DODOMA zitachagua wanayemtaka...

Lakini CCM ya sasa sio ya Miaka 20 iliyopita; Inabeba yoyote kwa ZAMU awe RAIS, Sasa hivi inahitaji awe na SIFA haswa za UONGOZI; UFISADI hakuna; na mengi tu... Kwahiyo Kama ni Zamu ya Zanzibar sidhani kama wakimpa BILAL pamoja na kutumia NGUVU za DOLA na MABILIONI ya PESA atapata kura za kumfanya Rais; na Itabidi wafunge macho wamchague SALIM SALIM pamoja na kumwita Mwarabu... ukiangalia kiundani Wazanzibari wengi wanapenda kuitwa Waarabu anyways Oh MIMI ni wa OMANI...

Yeah, Ukiangalia Historia ya Zanzibar Marehemu Mzee Abeid Karume hakuwa na Issue sana na ZNP Pamoja na kufanya affiliation na ZPPP na kutengeneza serikali ya kwanza 1963. Sasa inasemekana Karume pamoja na kuzulumiwa alikubaliana na Jinsi Waingereza walivyokubali Union kati ya ZNP na ZPPP kwahiyo Mohamed Shamte PM yeye alikuwa ni wa ZPPP?

Lakini, kinachonishangani ni hivi Mwingereza alipotoa UHURU akambakisha SULTANI Madarakani hapo ndipo ASP wakapinga kwanini? Walifanyiwa DHULUMA kwenye UCHAGUZI and they swallow that PAIN kwanini ya SULTANI hapo ndipo wakapinga British Colonists???

Na UMMA Party ambacho kilikuwa na Waafrika wasomi ambao wengine walijiunga na ASP ni Upande GANI sasa hivi huko Zanzibar bado wako upande wake???
Kwanza nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba SAS anaweza kupata kura bila matatizo huku Bara. Nami naamini wapiga kura wa kizazi cha Nyerere na hadi cha Mwinyi bado wana shauku na mtu wao SAS kwenye ngazi za juu za uongozi wa nchi. Wengi bado wanamuota huyu huku wakiamini hata ile nafasi ya Mwinyi ilikuwa ni yake; seuze zile za Mkapa na JK!! Hata hivyo, wengi wao ni wale waliozaliwa miaka ya sabini kurudi nyuma ingawaje sina uhakika sana kwa kizazi cha kuanzia miaka ya 80 hususani wale ambao hawakupata fursa ya kumsoma.
Kuna jambo hapa! Hakuna shaka kwamba Watanzania huwa hatuna msukomo sana wa kwenda kupiga kura. Hata hivyo, endapo CCM watamsimamisha SAS, basi nina uhakika wale waliokuwa wanamuota watajitokesha sana ili kwenda kutumia "GOLDEN OPPORTUNITY!" Hii kwao itakuwa ni kama Golden Opportunity coz' wamesubiria kwa miaka kadhaa kuona wanayemuamini akipata nafasi lakini mara zote hizo amekosa! Lakini pale ambapo wameshakata tama; mtu wao anaibuliwa…hapa lazima wajitokze kwenye sanduku la kura ili kukata kiu ya kumuona "hero" wao!

Tukirudi upande wa Zanzibar, nako sina shaka nako sana…ninaamini hata huko ana uwezo wa kupata kura nyingi tu. Tukumbuke kwamba tatizo la SAS kule ZNZ ni la wana-siasa zaidi kuliko wananchi wa kawaida wapiga kura. Kwa upande wa Pemba, anaweza kuzoa kura nyingi kuliko Bilali anavyoweza kuzoa za Unguja! Tukirudi Unguja, nako anaweza kuzoa kura nyingi tu isipokuwa za wanasiasa wanazi wa ASP.

Tukirudi kwa Bilali; nakubaliana kabisa na wewe kwamba huku Bara huyu Mheshimiwa hauziki! Na palipo na fairness, nina uhakika hata kule Zanzibar hana ubavu wa kusimama na SAS na kisha akatoka salama. Kama tulivyosema hapo awali, Bilali ni chaguo la wanazi wa ASP; wana-mapinduzi na si vinginevyo! Huyu bwana, Dodoma hachaguliki lakini ZNZ(kwenye vikao vya CCM) anachagulika tena kwa kishindo; wakati SAS ni kinyume chake!

Kutokana na hilo, sina shaka yoyote kwamba CCM(BARA) hawawezi kuthubutu kumpitisha Bilali ikiwa watasimamia suala la kwamba ni zamu ya ZNZ! CCM linapokuja suala la kuchagua candidate, hawapo stupid kiasi hicho. Na kwa hakika wala hawakuwa stupid hata walivyomteua JK mwaka 2005…..JK wa 2005 sio huyu wa sasa! JK wa 2005 alikuwa anakubalika sana kwa wapiga kura na hata ndani ya CCM kwenyewe!

Tukija kwanini Mwingereza aliamua kumwachia madaraka Sultani ni kweli ni jambo la kushangaza ingawaje sio sana! Hapo kabla, sikupata kulifikiria hili lakini hivi sasa nashawishika kuamini kwamba Waingereza walitaka kutumia mfumo wa nchini kwao kule ZNZ; kwamba nchi inaongozwa na Waziri Mkuu huku mkuu wan chi akiwa Mfalme/Malkia! Hii ina maana kwamba, walitaka ZNZ iwe nchi ya Kifalme kama ambavyo tunaona leo hii kwamba hata Australia, bado ipo chini ya Ufalme wa Uingereza na hivyo Zanzibar ingeendelea kuwa chini ya Ufalme wa Oman!
 
Wadau mnamuonaje Dr. Salim, kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
hivi ni gazeti gani lililoandika kwamba Salim Salim alishiriki kumuua karume?
 
Safi sana kitila mkumbo kwa kuongea ukweli kua SALIM ana uwezo mkubwa na uadilifu uliotukuka umeacha ushabiki safi sana
 
Kwanza nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba SAS anaweza kupata kura bila matatizo huku Bara. Nami naamini wapiga kura wa kizazi cha Nyerere na hadi cha Mwinyi bado wana shauku na mtu wao SAS kwenye ngazi za juu za uongozi wa nchi. Wengi bado wanamuota huyu huku wakiamini hata ile nafasi ya Mwinyi ilikuwa ni yake; seuze zile za Mkapa na JK!! Hata hivyo, wengi wao ni wale waliozaliwa miaka ya sabini kurudi nyuma ingawaje sina uhakika sana kwa kizazi cha kuanzia miaka ya 80 hususani wale ambao hawakupata fursa ya kumsoma.
Kuna jambo hapa! Hakuna shaka kwamba Watanzania huwa hatuna msukomo sana wa kwenda kupiga kura. Hata hivyo, endapo CCM watamsimamisha SAS, basi nina uhakika wale waliokuwa wanamuota watajitokesha sana ili kwenda kutumia "GOLDEN OPPORTUNITY!" Hii kwao itakuwa ni kama Golden Opportunity coz' wamesubiria kwa miaka kadhaa kuona wanayemuamini akipata nafasi lakini mara zote hizo amekosa! Lakini pale ambapo wameshakata tama; mtu wao anaibuliwa…hapa lazima wajitokze kwenye sanduku la kura ili kukata kiu ya kumuona "hero" wao!

Tukirudi upande wa Zanzibar, nako sina shaka nako sana…ninaamini hata huko ana uwezo wa kupata kura nyingi tu. Tukumbuke kwamba tatizo la SAS kule ZNZ ni la wana-siasa zaidi kuliko wananchi wa kawaida wapiga kura. Kwa upande wa Pemba, anaweza kuzoa kura nyingi kuliko Bilali anavyoweza kuzoa za Unguja! Tukirudi Unguja, nako anaweza kuzoa kura nyingi tu isipokuwa za wanasiasa wanazi wa ASP.

Tukirudi kwa Bilali; nakubaliana kabisa na wewe kwamba huku Bara huyu Mheshimiwa hauziki! Na palipo na fairness, nina uhakika hata kule Zanzibar hana ubavu wa kusimama na SAS na kisha akatoka salama. Kama tulivyosema hapo awali, Bilali ni chaguo la wanazi wa ASP; wana-mapinduzi na si vinginevyo! Huyu bwana, Dodoma hachaguliki lakini ZNZ(kwenye vikao vya CCM) anachagulika tena kwa kishindo; wakati SAS ni kinyume chake!

Kutokana na hilo, sina shaka yoyote kwamba CCM(BARA) hawawezi kuthubutu kumpitisha Bilali ikiwa watasimamia suala la kwamba ni zamu ya ZNZ! CCM linapokuja suala la kuchagua candidate, hawapo stupid kiasi hicho. Na kwa hakika wala hawakuwa stupid hata walivyomteua JK mwaka 2005…..JK wa 2005 sio huyu wa sasa! JK wa 2005 alikuwa anakubalika sana kwa wapiga kura na hata ndani ya CCM kwenyewe!

Tukija kwanini Mwingereza aliamua kumwachia madaraka Sultani ni kweli ni jambo la kushangaza ingawaje sio sana! Hapo kabla, sikupata kulifikiria hili lakini hivi sasa nashawishika kuamini kwamba Waingereza walitaka kutumia mfumo wa nchini kwao kule ZNZ; kwamba nchi inaongozwa na Waziri Mkuu huku mkuu wan chi akiwa Mfalme/Malkia! Hii ina maana kwamba, walitaka ZNZ iwe nchi ya Kifalme kama ambavyo tunaona leo hii kwamba hata Australia, bado ipo chini ya Ufalme wa Uingereza na hivyo Zanzibar ingeendelea kuwa chini ya Ufalme wa Oman!

Lakini kama ni HIVYO kumuacha SULTANI - Zanzibar pia ingekuwa MEMBER wa COMMONWEALTH? Kwahiyo Ina Maana kama Sultani asinge kuwepo MAPINDUZI yasingefanyika??

Kuhusu SAS; Una Maana alikuwa achukue nafasi Rais Mstaafu MWINYI aliyoichukua?? Kwasababu Then; nilikuwa na Family Member close to MWINYI DINESTY -- Ile Miaka ya Mwanzo Miwili hadi Mitatu; kila Mara alikuwa anatishia kujiuzulu sababu ya NYERERE kumuingilia... Uzuri ni kuwa then Mzee THABIT KOMBO alikuwa bado HAI Na Nyerere alikuwa anamsikiliza Thabit Kombo even zaidi ya Mzee Karume... So Mwinyi alikuwa anachukua NDEGE usiku hadi Zanzibar anaenda kwa Mzee Thabit Kombo anasema nimemuachia nchi... So Mzee Kombo anampigia Nyerere wanaongea - Nyerere anasema ngoja niende kuongea nae IKULU...

Mzee Kombo ansema niko nae hapa kwangu - Kwahiyo MWINYI anatoa Masharti yake through Thabit Kombo na Nyerere anasema OK...

Bila Mzee Thabit Kombo sijui kama Mwinyi angeweza kuwa na Makucha ya kutawala... na kumfurahisha amaletea Nyerere POPE...

Ningependa kweli kama Mwinyi ataandika his AUTOBIOGRAPHY!!!
 
Back
Top Bottom