Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Had the same thinking about you broI thought you were better than this!
Had the same thinking about you broI thought you were better than this!
Tena hao 'wasomi' sasa hivi ndio wanatia kinyaa. Wao wako bize na 'mapambio' tu.Usishangae ndio aina ya viongozi tulionao msimu uliopo.
The uelewa unapimwaje?Unapimaje uelewa Kwa mtu kurejea machapisho ya kale..?
Uelewa haupimwi hivyo
Elimu yake pia ni ya kuunga unga jamaa sio mzuri kielimu.Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa katika miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.
Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Pole, sio kweli. 1999 ndio inamalizia miaka ya 90.1999 = 2000 siyo 90's
Wanakulupuka tu, reli ijengwe kwa miaka 120? Kweli Rioba akili yake imetatizika.Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa katika miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.
Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Ina mashaka huenda hata yako pia, chukua 1920-1800= 120. Kwa akili yako mradi unawezwa kujengwa kwa miaka 120?Wote hata babu zenu walikuwa hawajazaliwa,mnasoma vitabu vya history kama hadithi,inategemea pengine wewe umesoma kitabu tofauti na alichosoma Dr Rioba,watunzi tofauti,si kwamba elimu yake inamashaka
Hahahaaa, mkuu mbona umemjibu kikauzu namna hiyo!?.1999 ni miaka ya 90s.
Sioni cha ajabu sana, ila unaweza kuchukua ushindi kama unajali sana.
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa katika miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.
Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Mkuu mtu akiwa msomi, kiwango cha Phd, na ni mwanahabari mbobezi, tena kiongozi wa chombo muhimu kama TBC, we demand nothing short of the best in academic knowledge and hence output and public performance.Mimi sioni alikokosea maana huo mwaka uliotaja uko ndani ya kipindi alichotaja. So shida iko wapi sio lazima ukumbuke exactly date na years lakini ukisema miaka fulani ndani humu sioni shida.
Mkuu Wyatt Mathewson, hakuna kitu kizuri na kinachojenga heshima kama kusema kitu unachokijua!, ukisema kitu unachodhani unakijua na kumbe hukijui, wakiwemo humu wanaokijua, wanakuona wewe ni mjinga. Ukiwa hujui na hujui kuwa hujui, wewe ni mjinga, ukijulishwa utajua na ujinga utakutoka. Naomba kuchukua fursa hii kukujulisha ili kukutoa ujinga.Elimu yake pia ni ya kuunga unga jamaa sio mzuri kielimu.
Alipata u-dr huku chini aliunga unga kijanja mno!
MkuuNimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa katika miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.
Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Kwa hiyo kuna kitabu kimoja kimeandika uwongo..???Wote hata babu zenu walikuwa hawajazaliwa,mnasoma vitabu vya history kama hadithi,inategemea pengine wewe umesoma kitabu tofauti na alichosoma Dr Rioba,watunzi tofauti,si kwamba elimu yake inamashaka
Hehee angesema imejengwa miaka ya 1950 ungekua na haki ya kufungua threadMimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya
Ni Tanzania tu,utakuta kilaza anahoji usomi wa phd holder! ~Dk.Harrison MwakyembeMtu yoyote anayejinasibu kuwa msomi, baada ya kumsikiliza Dr. Rioba kabla ya kuja humu angejiridhisha kwanza apate uhakika ndipo aje humu na sio kukimbilia kumwaga upupu na kujiita msomi kumbe ni ms
Hehee angesema imejengwa miaka ya 1950 ungekua na haki ya kufungua thread
Kwa sisi wapenzi wa fasihi simulizi,Dk Rioba yupo sahihi tu labda kama una lako
Ndio mimi kilazaHistoria imetaja mpaka miaka ya ujenzi wa reli , wewe unasema fasihi simulizi,
TUKUELEWAJE?
Na wewe ni KILAZA?
Watu mnapenda kujimwambafai, ingependeza kweli endapo ungeleta rejea yako na ukurasa husika wa kitabu ulichosoma ili kuweka usahihi wa andiko lako. Nikukumbushe tu kua Mhandisi hakukupi alama za utambuzi wa mambo kwa ufasaha, Dunia ya leo tunasimama katika uelewa wa mambo na sio taaluma uliyosoma.Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa katika miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.
Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Mkuu Wyatt Mathewson, hakuna kitu kizuri na kinachojenga heshima kama kusema kitu unachokijua!, ukisema kitu unachodhani unakijua na kumbe hukijui, wakiwemo humu wanaokijua, wanakuona wewe ni mjinga. Ukiwa hujui na hujui kuwa hujui, wewe ni mjinga, ukijulishwa utajua na ujinga utakutoka. Naomba kuchukua fursa hii kukujulisha ili kukutoa ujinga.
Nimesoma na Dr. Rioba Ilboru High School, naamini unajua what it takes kuingia Ilboru!, mtu yoyote anayesoma Ilboru hii sio shule ya kuunga unga!.
Alipomaliza enzi hizo Tanzania hatuna degree yoyote ya media, Ayub alifumua Div. 1 safi akaenda Makerere University kufanya BA in Mass Communications, Makerere sio chuo cha kuunga unga!. Alipomaliza akarudi bongo na kuajiriwa kwenye media mbalimbali, ikiwemo Daily News!, katika media za Tanzania, kuajiriwa Daily News sio media ya kuunga unga!. Kisha akaenda Cadif, University of Wales nchini Uingereza kufanya MA ya Journalism. Aliporudi akajoin UDSM, School of Journalism and Mass Communications, as a lecture, kwatika vyuo vikuu vya Tanzania, UDSM sio chuo cha kuunga unga!. Akiwa hapo akaenda University of Tampere inchini Finland kufanya Ph.D, hii pia sio university ya kuunga unga!. Mpaka anateuliwa kuwa DG wa TBC, alikuwa ni Associate Dean akisubiri tuu kupewa u profesor awe dean kamili!.
Next time kama kitu hukijui, ni bora ukae kimya kuliko...
P
https://www.linkedin.com/search/res..._profile_view_base-background_details_company