Dr Rioba, uelewa wako una walakini

Dr Rioba, uelewa wako una walakini

Sawa msomi, naona tayari umepanic hadi unakosea kuandika kwakutetemeka....tehteehh
Ama kweli shuzi likipata mjambaji, nisawa na pele likipata mkunaji...
Usi confuse na panic, kama madaktari, brain inapokuwa na kasi zaidi ya vidole.
Na mwandiko haujawahi kuwa mzuri.
Facts man, facts rule!
 
Mjerumani alianza kutawala 1885 baada ya Berlin conference je iweje mchakato uanze kabla? Yawezekana hamkufundishwa kuhusu Carl Peters nyie.
Mkuunhawa hawajui kuwa hata shujaa wetu Mkwawa alipigana na kuwashinda wajerumani miaka ya mwanzoni mwa 1890s pale Lugalo, Iringa.
Na wajerumani walipo jikusanya na wakarudi hatimaye kuliko kukamatwa Mkwawa akajiua 1898.
Hivyo relibya kati ni baada ya 1900s
 
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa na miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????

Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Hapo tatizo lipo wapi?Dk alichofanya ni makadirio nawe kwa kuwa ni bingwa wa kukremu umeweka kitu sahihi,ingekua dk kasema reli imejengwa 1980 hapo hata mie ningemshambulia
 
Hapo tatizo lipo wapi?Dk alichofanya ni makadirio nawe kwa kuwa ni bingwa wa kukremu umeweka kitu sahihi,ingekua dk kasema reli imejengwa 1980 hapo hata mie ningemshambulia

Dr Rioba alikuwaga mzuri lakini toka ajiunge kule siku hizi amekuwa "so dilute" , leo usishangae Dr wetu huyu akakukomalia kukuambia kuwa Ngamia ni Ng'ombe kama ng'ombe wengine.
 
najua mkuu, sema huyo mtu alijikuta kapanic, nimeona sasa nimpinge zaidi.
Ha ha haaaaa,akaongezea na lugha ya chemistry,kaunganisha maneno kama kumi hivi,kukazia hoja yake kuwa yupo vizuri kwenye lugha ya malkia
 
Mjerumani alianza kutawala 1885 baada ya Berlin conference je iweje mchakato uanze kabla? Yawezekana hamkufundishwa kuhusu Carl Peters nyie.
Wewe ndiyo mgumu kuelewa, ukiambiwa miaka ya 1800 waliyosoma history hupenda kuandika 1800's. Hii humaanisha kitu kinachosemwa hapo kimetokea kati ya mwaka 1800 hadi 1899.

Waliyosoma kombi zenye kuchukua somo la History kama vile HKL, HGL na nyinginezo. Hutumia 1800's kutaja mwaka kama sehemu hana uhakika ni mwaka gani hasa ingawa ilitokea kati ya 1800 na 1899. Hata muwekaji alama humpa pasipo kumkata maksi, maana yupo sahihi.

Hivyo alosema miaka ya 1800 yupo sahihi, huyo mtoa mada aliyesoma uhandisi hawezi kuelewa hilo, aulize kwanza kabla ya kukosoa.
Kama DR alimaanisha hivyo yupo sahihi, mtoa mada kakosea
 
Mkuunhawa hawajui kuwa hata shujaa wetu Mkwawa alipigana na kuwashinda wajerumani miaka ya mwanzoni mwa 1890s pale Lugalo, Iringa.
Na wajerumani walipo jikusanya na wakarudi hatimaye kuliko kukamatwa Mkwawa akajiua 1898.
Hivyo relibya kati ni baada ya 1900s
Jamaa unakosea sana ukitaja 1890's maana yake ni miaka ya 1890 hadi 1899. Kama wewe umesoma uhandisi huwezi jua hilo, huo ni uwanja wa waliyosoma history. Unakosea
 
Wote hata babu zenu walikuwa hawajazaliwa,mnasoma vitabu vya history kama hadithi,inategemea pengine wewe umesoma kitabu tofauti na alichosoma Dr Rioba,watunzi tofauti,si kwamba elimu yake inamashaka
Unatetea uzembe? Unamtetea Msomi, Mwanahabari nguli kwa kutoakua makini? Mwe kuliendekeza tumbo huku.
 
Hebu bisheni mnavyovijua
Screenshot_20181104-073229~2.jpeg
 
Wewe ndiyo mgumu kuelewa, ukiambiwa miaka ya 1800 waliyosoma history hupenda kuandika 1800's. Hii humaanisha kitu kinachosemwa hapo kimetokea kati ya mwaka 1800 hadi 1899.

Waliyosoma kombi zenye kuchukua somo la History kama vile HKL, HGL na nyinginezo. Hutumia 1800's kutaja mwaka kama sehemu hana uhakika ni mwaka gani hasa ingawa ilitokea kati ya 1800 na 1899. Hata muwekaji alama humpa pasipo kumkata maksi, maana yupo sahihi.

Hivyo alosema miaka ya 1800 yupo sahihi, huyo mtoa mada aliyesoma uhandisi hawezi kuelewa hilo, aulize kwanza kabla ya kukosoa.
Kama DR alimaanisha hivyo yupo sahihi, mtoa mada kakosea
Nyie ndo mmesoma kwa kukariri na si kutumia akili.
Katika historia kuna kitu inaitwa Milestones, na hizo zinakuongoza kweka timeline sawa kichwani mwako.
Kuna mdau ametaja hapo juu, the Berlin Conference 1884/5, nchi ndo inaingia ukoloni wa kijerumani.
Milestone 1
Mkwavinyika Mnyigumba, Mtwa wa Iringa aliwaswaga wajerumani 1891, na akajiua 1898.
Milestone 2
Yote KABLA ya 1900.

Vita kuu ya kwanza 1916 hadi 1918, na majerumani anang'oka.
Milestone 3

Sasa kwa logic tu, ujenzi wa reli ni baada ya mjerumani kujiimarisha kijeshi, yaani kati ya Milestone 2 na Milestone 3.

Usipojipanga kufikiri kihivyo, utakuwa unakariri pasipo kujua matukio muhimu na kwa nini yalitokea.
 
Mkuunhawa hawajui kuwa hata shujaa wetu Mkwawa alipigana na kuwashinda wajerumani miaka ya mwanzoni mwa 1890s pale Lugalo, Iringa.
Na wajerumani walipo jikusanya na wakarudi hatimaye kuliko kukamatwa Mkwawa akajiua 1898.
Hivyo relibya kati ni baada ya 1900s
Good
 
Hapo tatizo lipo wapi?Dk alichofanya ni makadirio nawe kwa kuwa ni bingwa wa kukremu umeweka kitu sahihi,ingekua dk kasema reli imejengwa 1980 hapo hata mie ningemshambulia
Tatizo ni kukosa umakini.
 
Usishangae ndio aina ya viongozi tulionao msimu uliopo.
 
Wewe ndiyo mgumu kuelewa, ukiambiwa miaka ya 1800 waliyosoma history hupenda kuandika 1800's. Hii humaanisha kitu kinachosemwa hapo kimetokea kati ya mwaka 1800 hadi 1899.

Waliyosoma kombi zenye kuchukua somo la History kama vile HKL, HGL na nyinginezo. Hutumia 1800's kutaja mwaka kama sehemu hana uhakika ni mwaka gani hasa ingawa ilitokea kati ya 1800 na 1899. Hata muwekaji alama humpa pasipo kumkata maksi, maana yupo sahihi.

Hivyo alosema miaka ya 1800 yupo sahihi, huyo mtoa mada aliyesoma uhandisi hawezi kuelewa hilo, aulize kwanza kabla ya kukosoa.
Kama DR alimaanisha hivyo yupo sahihi, mtoa mada kakosea
Mkuu uko sahihi.
 
Mkuu uko sahihi.
Kukosa umakini katika facts, inaleta hisia za mapungufu katika uelewa.

Ukija leo na ukaniambia Tanzania(na si Tanganyika), ilipata uhuru miaka ya 1960s, nitakutilia mashaka usomi wako.
Hasa kama ni Dr wa Phd.
 
Back
Top Bottom