Dr Rioba, uelewa wako una walakini

Dr Rioba, uelewa wako una walakini

Nutcase
Historia ya kundikwa na binadamu wenye akili za kibinadamu mara nyingi huwa ni potofu siku zote....

Mfano ni huu tunaoambiwa binadamu hatukuumbwa ukiwa hivi ulivyo leo kisura na nafsi yenye utashi...

Bali tulikuwa Manyani ama Masokwe ama Chimpanzees na taratibu tuka "evolve" na kuwa hivi tulivyo leo.....

Uongo, uongo mtupu!!

Maana kama ñi kweli, ni kwanini basi Nyani wa leo, Sokwe wa leo na Chimpanzees wa leo hawabadiliki na kuwa binadamu wenye akili na utashi wa nafsi kama tulivyo mimi na wewe leo??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom