Wewe ndiyo mgumu kuelewa, ukiambiwa miaka ya 1800 waliyosoma history hupenda kuandika 1800's. Hii humaanisha kitu kinachosemwa hapo kimetokea kati ya mwaka 1800 hadi 1899.
Waliyosoma kombi zenye kuchukua somo la History kama vile HKL, HGL na nyinginezo. Hutumia 1800's kutaja mwaka kama sehemu hana uhakika ni mwaka gani hasa ingawa ilitokea kati ya 1800 na 1899. Hata muwekaji alama humpa pasipo kumkata maksi, maana yupo sahihi.
Hivyo alosema miaka ya 1800 yupo sahihi, huyo mtoa mada aliyesoma uhandisi hawezi kuelewa hilo, aulize kwanza kabla ya kukosoa.
Kama DR alimaanisha hivyo yupo sahihi, mtoa mada kakosea