Dr Rioba, uelewa wako una walakini

Dr Rioba, uelewa wako una walakini

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,180
Reaction score
29,914
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa katika miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????

Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
 
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa na miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railwaybilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!

Mtajuana wenyewe msitusumbue na kutuchosha, sasa hivi akili zetu Watanzania zipo katika Kongamano la Kusifu na Kushindwa Kukaa vizuri katika ' benchi ' kwa Amber Rutty Mahakamani.
 
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa na miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????
Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railwaybilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
1893 Tanga..
1899 East African Railway Cooperation ilianzishwa ili kujenga reli ya kati.
Kwa hiyo kama unazungumzia construction sawa. Ila kama upembuzi na mambo mengine yeye anaweza kuwa sawa.
Wewe ni mhandisi, sasa utajua stages za ujenzi zinahusisha vitu gani.
 
1893 Tanga..
1899 East African Railway Cooperation ilianzishwa ili kujenga reli ya kati.
Kwa hiyo kama unazungumzia construction sawa. Ila kama upembuzi na mambo mengine yeye anaweza kuwa sawa.
Wewe ni mhandisi, sasa utajua stages za ujenzi zinahusisha vitu gani.
Ukiongelea kwa makadirio 1899 ni karibia/sawa na kusema 1900 sio 1800.
 
Mi
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa na miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????

Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
chakato ya ujenzi ilianza 1800 DR yupo sahihi
 
Ficha ujinga wako,uko ukweli na usahihi unaokubalika katika Historia.Nyie mmekuaje? kwamba sasa mnao hata uwezo wa kutaka historia iseme mnavyotaja nyie!

Kama unaamini kila kitu katika historia basi ni wewe na wengine kama wewe.
Mimi siamini hostoria, yeah ni hivyo siamini maana ina uongo mwingi na sehemu kubwa iliandikwa kwa interests za waandishi, vile wasivyovijua au kuvipenda havikupewa nafasi.
Wewe baki na historia yako
 
1893 Tanga..
1899 East African Railway Cooperation ilianzishwa ili kujenga reli ya kati.
Kwa hiyo kama unazungumzia construction sawa. Ila kama upembuzi na mambo mengine yeye anaweza kuwa sawa.
Wewe ni mhandisi, sasa utajua stages za ujenzi zinahusisha vitu gani.
Mkuu huwa siheshimu sana mtu asiye makini katika facts.
 
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa na miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????

Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Mh!! Amechemka
 
Nimesikia katika kipindi TBC DK 15 zilizopita, Dr Rioba akisema Central Railway ilijengwa na miaka ya 1800 hadi miaka ya 1920 na kitu , na wajerumani ????

Mimi ni muhandisi na historia yangu ya msingi najua ujenzi wa Cetral Railway ilianza 1905 hadi 1914, na utawala wa wajerumani ulikoma 1918 baada ya vita kuu ya kwanza.

Dr unanitia wasi wasi elimu yako!
Hapakua na ulazima wa kutuambia kwamba wewe ni muhandisi.
Tatizo la humu jf, kila mtu ni msomi na ana degree kama Mwajuma nichokonoe
 
Hapakua na ulazima wa kutuambia kwamba wewe ni muhandisi.
Tatizo la humu jf, kila mtu ni msomi na ana degree kama Mwajuma nichokonoe
Mkuu usomi wangu sikupigiwa kura.
Nimeuhenyea na najua kuwa najua, iwe historia, hesabu, fizikia , I know that I know.
Kwa hiyo mtu akija na facts zisizo sawa, kumbamiza arudi shule, hapa ni mahala pake.
Hata mimi nikosea facts, sweka ndani kuleee!
 
Mkuu usomi wangu sipigiwa kura.
Nimeuhenyea na najua kuwa najua, iwe historia, hesabu, fizikia , I know that I know.
Kwa hiyo mtu akija na facts zisizo sawa, kumbamiza arudi shule, hapa ni mala pake.
Hata mimi nikosea facts, sweka ndani kuleee!
Sawa msomi, naona tayari umepanic hadi unakosea kuandika kwakutetemeka....tehteehh
Ama kweli shuzi likipata mjambaji, nisawa na pele likipata mkunaji...[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom