Nimepata taarifa kuwa aliyekuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam,dr ndibalema amefariki jana usiku,dr ndibalema alikua akifundisha EDUCATION ADMINISTRATION AND MANAGEMENT (EA), Pia alikua akifundisha chuo kikuu kishiriki cha ualim-DUCE
Very very sad news. Ndibalema alikuwa mwalimu mzuri sana. Binafsi nitamkumbuka kwa vichekesho vyake wakati anapofundisha kiasi kuwa huwezi sinzia kwenye lecture za Ndibalema. Mungu ailaze roho yake pema peponi Amin
Dr Alphonce Ndibalema was a great man and a wonderful Lecturer. May his soul rest in peace.
Kwa kweli ni vigumi sana kuamini na ninapata wakati mgumu kuelewa ukuu wake Mungu na mipango aliyonayo juu ya watu wake.
Mie ndiyo nipo hapa msibani.Sababu ya kifo ni 'BP'.Aliamka asubuh ajisikii vizuri wakaamua kumpeleka zahati moja kwa uchunguz wa awali,wakakuta PB ipo chini,walivyojitaidi kuipandisha ndiyo hivyo alivyotutoka.
kwa kifupi alikuwa ni mzee kwa kisasa zaid asiyependa makuu.
RIP Dr Ndibalema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.