TANZIA Dkt. Elineema Kisanga wa UDSM Idara ya Uchumi afariki Dunia

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,798
28,461
1688506529236.png

Dkt. Elineema Kisanga lecturer wa shule ya Uchumi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amefariki Dunia Leo asubuhi.
Taarifa zinasema kuwa mauti yamemfika akiwa mazoezini, Leo asubuhi ambapo alianguka na kufariki hapo hapo.

Kwa wale mliosoma undergraduate, masters na Phd UDSM hope mtakuwa mnamkumbuka.

R.I.P DR. tutakukumbuka daima.

 
Mazoezi watu tumeyavamia bila kujua hali za mioyo yetu. Mazoezi tunapaswa kufanya kwa kufata hali yako kiafya.

Mtu unakimbia ama kubeba vyuma kumbe spidi ya moyo wako ulipaswa ufanye mazoezi ya kutembea tu.

Binafsi nimewai kufika Apollo hospital india nilimsindikiza mgonjwa ambaye alikuwa mama yangu.

Nakumbuka niliona watu wengi wanaambiwa hawapaswi kufanya mazoezi yoyote magumu.

Wanashauriwa wawe na mazoezi mepesi mfani wanatembea evening walks.. ama wanunue stationary bikes.. jioni wawe wanaendesha baiskeli nyumbani kwao.

Kukimbia ama mazoezi magumu ni hatari sana kwa mtu ambaye unafanya kazi za ofisini muda mwingi mwili ume relax kazini
 
Mazoezi watu tumeyavamia bila kujua hali za mioyo yetu. Mazoezi tunapaswa kufanya kwa kufata hali yako kiafya.

Mtu unakimbia ama kubeba vyuma kumbe spidi ya moyo wako ulipaswa ufanye mazoezi ya kutembea tu.

Binafsi nimewai kufika Apollo hospital india nilimsindikiza mgonjwa ambaye alikuwa mama yangu.

Nakumbuka niliona watu wengi wanaambiwa hawapaswi kufanya mazoezi yoyote magumu.

Wanashauriwa wawe na mazoezi mepesi mfani wanatembea evening walks.. ama wanunue stationary bikes.. jioni wawe wanaendesha baiskeli nyumbani kwao.

Kukimbia ama mazoezi magumu ni hatari sana kwa mtu ambaye unafanya kazi za ofisini muda mwingi mwili ume relax kazini
Dah!...umenifundisha kitu muhimu sana...asante
 
Namfahamu Kisanga wa Geography Familia yake ipo Marekani? Nina lake linaanza na Danielson D Kisanga
 
Back
Top Bottom