ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,048
- 49,731
PM Majaliwa amewaambia Wananchi wa Wilaya ya Nyumbani kwake kwamba Tawi la Chuo Kikuu Cha UDSM Mkoa wa Lindi litajengwa Wilayani Ruangwa.
-Tabia hizi zilishamiri sana awamu ya 5 Kwa Wilaya ya Chato kupendelewa miradi ya Maendeleo,naona zimeanza kurudi.
My Take
Tuache tabia za upendeleo wa kimaeneo na kikanda.Sio Afya Kwa mustakabali wa Tanzania.
========
CHUO KIKUU UDSM KUJENGWA WILAYA YA RUANGWA - Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Mhe. kassim MAJALIWA na Mbunge wa Jimbo la RUANGWA amesem tayari maandalizi ya UJENZI wa chuo kikuu Cha Dar es salaam Tawi la RUANGWA yameanza na kwamba kukamilika Kwa chuo hicho kitasaidia sana kukuza uchumi wa Jimbo hilo la kusini Mwa Tanzania.
Mhe. MAJALIWA amesema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika Jimbo la RUANGWA katika MKUTANO Mkuu wa CCM Jimbo la RUANGWA
-Tabia hizi zilishamiri sana awamu ya 5 Kwa Wilaya ya Chato kupendelewa miradi ya Maendeleo,naona zimeanza kurudi.
My Take
Tuache tabia za upendeleo wa kimaeneo na kikanda.Sio Afya Kwa mustakabali wa Tanzania.
========
CHUO KIKUU UDSM KUJENGWA WILAYA YA RUANGWA - Kassim Majaliwa
Waziri Mkuu Mhe. kassim MAJALIWA na Mbunge wa Jimbo la RUANGWA amesem tayari maandalizi ya UJENZI wa chuo kikuu Cha Dar es salaam Tawi la RUANGWA yameanza na kwamba kukamilika Kwa chuo hicho kitasaidia sana kukuza uchumi wa Jimbo hilo la kusini Mwa Tanzania.
Mhe. MAJALIWA amesema hayo wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM katika Jimbo la RUANGWA katika MKUTANO Mkuu wa CCM Jimbo la RUANGWA