Dr Nchimbi ameunda Kamati sio Tume

Loh magamba kweli kiboko sasa ile ni kamati ya nini? maana ninavyofahamu mimi shughuli za kamati naweza kuwa negative.
 
Mnakumba waziri wa mambo ya ndani LAW MASHA, alikua hajui idadi ya magereza nchini!haya ma ng'ombe yanatupotezea muda
 
kwani wakati dr anatangazia uma kwenye vyombo vya habari alisema aliunda tume au kamati? je kweli vyombo vya habari vimemnukuu kimakosa ? (kama kuna mwenye nukuu ya taarifa yake atuwekee tafadhali) Au wizara imegundua makosa baada ya kuumbuliwa na kamanda TL?
 
Statement ya Home Affairs kwenye post No 48 imetolewa more than 48 hours baada ya Press conference ya Waziri Nchimbi. Na waziri alinukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa ameunda 'tume' (media zingine ziliandika maneno 'tume huru') ili kujibu maswali sita aliyokuwa ameandaa yeye waziri.

Baada ya Lissu kutoa maelezo ya kisheria juu ya uundwaji wa tume, wizara inatoa press release kusema kuwa waziri aliunda 'kamati na sio 'tume'. Hadi hapo ni sawa, lakini kama hii statement ilikuwa ni ku-clarify basi nilitegemea kwanza ku-acknowledge neno alilotumia waziri - yaani 'tume' halafu ndio ufafanuzi uendelee.

Huu ujanja ujanja uliotumika kuandaa hii statement unazidi kuanika wizara nzima (including waziri) kwamba team yao inapwaya kwenye uelewa wa katiba/sheria. Pengine sasa watu watakaa chini na kujielimisha juu ya katiba waliyoapa kuitetea na kuilinda.

Kwa upande mwingine, wakubwa wa serikalini na hata ccm wangepata nafuu sana kama wangezingatia yafuatayo:
1. No one is perfect, ila watanzania wanataka kuona viongozi wana-perfect mambo.

2. Dhana kuwa viongozi wana uelewa mkubwa kuliko watanzania wa kawaida is foundamentally false. Watanzania wa leo si tu wanaelewa mambo, bali pia wanahoji pale wanapoona mambo yanakwenda kinyume nyume.

3. Delete file la propaganda. Watanzania sio majuha.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Mpaka mwisho wa uchunguzi wao huo atasema niliunda "Bendi"mlininukuu vibaya,hii mijitu ya ajabu sana
 
Chanzo cha kifo ni bomu,na kama bomu lilopigwa tumboni kwa marehemu,pamoja na kipigo walichompa kabla ya hapo si matumizi ya nguvu za ziada na deadly,then nitakubali waunde tume ya kuchunguza.Other than that,hiyo tume haina maana yoyote ni upotevu wa pesa na muda.

Hadidu za rejea hazionyeshi kwamba wanataka kumuhold anybody accountable,bali wanataka kuchomeka siasa hapo kwa kusema chanzo cha kifo ni mkusanyiko wa chadema kama ambavyo wamekuwa wakiimba kwenye media.
 
Katibu Uenezi CCM taifa Nape Mnauye ktk clip hapa chini anakurupuka na kurudia rudia '' Tuiachie Tume ifanye kazi yake'' tizama alivyopotea stepu Katibu Uenezi Taifa CCM na pia Mh. Tundu Lissu akitoa somo la elimu ya uraia kwa wote ikiwemo Nchimbi na Nape


source: Tangibovu wa youtube
 
Last edited by a moderator:
Mbona Nape Mnauye, Katibu Uenezi wa CCM ktk video hapa chini pia anarudia rudia kwa kutamka ' Tuiachie Tume ifanye uchunguzi..........''? na CCM ndiyo yenye serikali na Polisi

 
Last edited by a moderator:
..."Nikijiuzulu uwaziri hamtapata waziri mwingine goi goi kama mimi na aliyeshindwa katika utendaji wa kazi zake."

~Waziri mwingine DHAIFU ndani ya Serikali ya DHAIFU.
 
Wizara imekiri wazir nchimbi ameunda kamati ya uchunguzi na sio tume kama ilivyoelezwa na mh TUNDU LISU hapo jana.

Source Itv habari 8:00pm

my take kama waziri anatuwekea kamati ya nini? Inakuwaje waziri ambaye ndio mwenye mapolisi ateuwe kamati imchunguze ufanisi wake? Tehe tehe tehe! Kazi ipo
«No one can be a judge on his own cause« 〓 NEMO JUDEX IN CAUSA SUA.
 
Waziri kiazi, mkuu wake dhaifu, mawazo ya pombe na bikini lazima akurupuke na kuropoka hata asiyoyajua
Mmemsahau Yule dhaifu aliedai watafanya DNA kwa marehemu wa ile meli iliyozama huku akisahau nchi yetu haina utaratibu wa kupima na kuhifadhi vinasaba vya raia wake
 
Wizara ya mambo ya ndani imetoa statement kwamba waziri Dr Emmanuel Nchimbi ameunda Kamati ya kuchunguza tukio la kifo cha Daudi Mwangosi na sio Tume.

source: habari za saa{ITV}

'HAKUNA UMASKINI MBAYA KAMA UMASKINI WA AKILI, UJINGA, KUTOKUJUA UNACHOFANYA': MWL JK NYERERE. NCHIMBI, DR ambaye hakuchimba. NASHAWISHIKA kusema labda alipata u DR kwa kuchimbwa kama akina MARIA, ANA, HAWA, ZAWADI & SOPHIA; siyo kwa yeye kuchimba.

SUALA halikuwa jina yaani kamati au tume, suala ni mamlaka ya kisheria KUUNDA TUME na kuchukua hatua baada ya uchunguzi wa tume au basi, kamati kama yeye anavyodai. RAIS ye2 anaruhusiwa kuunda maana ana mamlaka ya kuchukua hatua, sasa wewe NCHIMBI unapounda, sijui, kamati au tume ya uchunguzi, baada ya matokeo ya hiyo tume yako, basi kamati kama unavyotaka, utachukua hatua gani iwapo kwa mfano kamati itasema RPC KAMHANDA ndiye aliyeamrisha mauaji? HAKUNA UTAKALOFANYA maana huna mamlaka hata na corporal wa polisi, kazi yako ni kuomba bajeti bungeni. MAWAZIRI mnajidai mna mamlaaaaaaaka, kumbe hakuna lolote. JESHI kama polisi linashughulikia matatizo yake kijeshi, wewe huna mamlaka ya kijeshi, RAIS ndiye anayo kama AMIRI JESHI MKUU ... ndo maana TA LISSU anasema yeye ndiye aunde tume maana anaweza kusimamisha kazi au kufukuza kazi askari yeyote, siyo wewe huna hayo mamlaka.

ALAFU hiyo kamati yako haina mamlaka ya kisheria kuhoji, kuapisha, kuita mashahidi kwa summons, kushitaki mtu iwapo atasema ushahidi wa uongo CHINI YA KIAPO (perjury) ambao ndo polisi watakaotoa na tayari walishasema MWANGOSI aliuwawa na kitu kilichorushwa na wana CDM; sasa hiyo kamati yako itafanya kazi gani? ili iweje? ili hatua gani zichukuliwe? WASTAGE TU. Afadhali tume/kamati ya IGP MWEMA maana yeye ni mamlaka ya nidhamu ya ma-polisi wote isipokuwa ma-commissioner kama akina MANUMBA.
 
Back
Top Bottom