Governance by task forces and commitees.
Baba Moi kazitumia sana hizi tactics.
«No one can be a judge on his own cause« 〓 NEMO JUDEX IN CAUSA SUA.Wizara imekiri wazir nchimbi ameunda kamati ya uchunguzi na sio tume kama ilivyoelezwa na mh TUNDU LISU hapo jana.
Source Itv habari 8:00pm
my take kama waziri anatuwekea kamati ya nini? Inakuwaje waziri ambaye ndio mwenye mapolisi ateuwe kamati imchunguze ufanisi wake? Tehe tehe tehe! Kazi ipo
Imekaa vibaya ameamua kubadili maneno...na hata hoja zake pia hazitakuwa na uzito. Ndio hali halisi ilivyo.
Wizara ya mambo ya ndani imetoa statement kwamba waziri Dr Emmanuel Nchimbi ameunda Kamati ya kuchunguza tukio la kifo cha Daudi Mwangosi na sio Tume.
source: habari za saa{ITV}