dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,124
- 49,381
ni vizuri viongozi wa serikali kabla ya kutoa matamshi nyeti wakapata ushauri wa kisheria kwanza kwani sheria ya commission of inquiry Act iko wazi kabisa kuhusu tume kuundwa na raisi na si mwingine.Pili kamati ile mbona haijaweka wataalamu wa makosa ya kijinai wa kutosha ili kubaini kama tukio lile lina jinai yoyote au la? hapa nina maana kwamba kwa mtazamo wangu wajumbe hawa wanawakilisha sehemu fulani tu ya watu.
Mkuu hii nchi ingekuwa inafuata kweli utawala wa sheria na uwajibikaji (kama wanavyojiadai) huyu waziri ilitakiwa hadi muda huu awe amejiuzulu.
Miongoni mwa makosa makubwa ni kuingilia mamlaka na madaraka ya Rais. Hili ni kosa kubwa ajabu pengine sawa sawa na mauwaji. Huu ni almost uhaini kwa waziri kusimama hadharani na kutangaza ambacho ni Rais peke yake alitakiwa afanye hivyo.
Lakini lol, serikali inacheka cheka tu.