DR. Mwakyembe na Natural Justice

DR. Mwakyembe na Natural Justice

Mwacheni mwenzenu apone vizuri kwanza jamani, sio fresh namna hiyo!
 
Waberoya Lowassa alijiuzulu kwa sababu ni mwizi kama ripoti ya Mwakyembe ilivyosema au kwa sababu hakuitwa kwenye kamati? Ha! Ha! Ha! Hebu chagua moja tuendelee na mjadala! Ha! Ha!

mkuu lowasa alijiuzulu kwa sababu ya kukiweka chama na serikali ktk kuendelrea kuaminiwa na wapiga kura wake,la sivyo alikuwa na mamlaka ya kutojiuzulu na hakuna ambaye angelazimisha hilo hata wewe unaelewa kuwa hakuna ktk chama wala serikali ambae angeweza kumwambia Lowasa kinaga ubaga kuwa sasa jiuzulu,alitumia busara zake ili kukinusuru chama na serikali yake

mbona mnashindwa kumvua gamba wakati huu? je mgeweza kumwamulu ajiuzulu?

tuache kudanganyana,Lowasa alichokifanya ni kuisaidia serikali na chama visiwe ktk wakati mgumu juu ya swala la Richmond ambayo sasa hivi mnaita SYMBION,KAMA mkataba ulikuwa haujulikani na MH Raisi mbona mme ruhusu mitambo ile iliyotuumiza inunuliwe na SYMBION na mmemwita MAMA CLITON kuja kuikaguwa?

acheni kutudanganya bana tumechoka bana
 
Waberoya Lowassa alijiuzulu kwa sababu ni mwizi kama ripoti ya Mwakyembe ilivyosema au kwa sababu hakuitwa kwenye kamati? Ha! Ha! Ha! Hebu chagua moja tuendelee na mjadala! Ha! Ha!

Mmeisha zoea kuitana majina haya na yale.... Nyerere alisema Malecela mhuni, wewe unasema Lowassa mwizi..mlijua lini kuwa ni mwizi wakati mli-approve bungeni awe waziri mkuu!! guess what?? read my signature!

Hii janja yenu ya kuitana mafisadi na wengine eti wasafi ndani ya CCM tumeigundua......nyie wote wezi na huyo Lowassa ni wenu tu
 
Waberoya Lowassa alijiuzulu kwa sababu ni mwizi kama ripoti ya Mwakyembe ilivyosema au kwa sababu hakuitwa kwenye kamati? Ha! Ha! Ha! Hebu chagua moja tuendelee na mjadala! Ha! Ha!

nani msafi hapa ajitokeza yaani sio mwizi ama hajawahi kutuibia hata shilingi moja ajitokeze,aseme tuaze kutoa tuliyonayo moyoni ajitokeze? iwe W,J,Malecela,tena wewe nimesoma na ............Mpwapwa-Dodoma, tutamwaga sumu hapa tuanze kuogopana,January makamba ndio usiseme tunaujumbe ulioibwa kutoka VODACOM 2010 mawasiliano yao na Barick,nani mwingine ,acheni tunanyamaza tu ili Dunia iende na mambo yaende lakini tukitaka kuweka wazi kila kitu tutapigana ban za bure humu

unapomnyooshea kidore mwenzako tambuwa kuwa nawe kuna vingine vinakutazama
 
"Man is conceived in sin and born in corruption and he passeth from the stink of the didie to the stench of the shroud. There is always something
(All The King's Men)"
―
Robert Penn Warren
 
Kama Lowassa alikuwa implicated kwa mujibu wa uchunguzi wa Kamati ya Mwakyembe, na Mwakyembe akaandika ripoti bila kumuhoji na kupeleka ripoti bungeni, at the very least anakuwa hajakamilisha aspects hizi mbili za objectives alizopewa.

Kiranga, unachosema ni kujaribu kumuweka Lowassa kuwa ni object ya investigation wakati hakuwa. Uchunguzi ulihusu Richmond na ndio maana ukisoma mahitimisho kuhusu Richmond were swift and precise. Sasa watu waliokuwa implicated kimsingi walihitaji hatua zaidi dhidi yao kuchukuliwa na kuchunguzwa zaidi na vyombo husika.

Lowassa alikuwa implicated and that is it. He was not accused or even condemned of any wrong doing. Ukisoma maelezo niliyoyaweka ya Kamati ni kuwa hatua zozote zaidi dhidi ya Waziri Mkuu zilikuwa zichukuliwe na Bunge na yeye mwenyewe. Kamati isingeweza kwenda zaidi ya mandate iliyopewa kwani hata kumuita Waziri Mkuu kumhoji ingekuwa ni kujipa ajenda wasiokuwa nayo. Wao waliangalia nyaraka wakaona zina muimplicate WM kwa kiasi kikubwa. Sasa kwenda the next level - ya kuanzisha uchunguzi dhidi ya Waziri Mkuu - Bunge lilitakiwa kukubali kwani ndicho chombo cha nidhamu ya juu ya Waziri Mkuu ukiondoa Rais.

Lakini pia implication ya Waziri Mkuu ilikuwa na jambo jingine ambalo watu tayari wameliona - ilikuwa ina muimplicate Rais vile vile. Fikiria hivi - kama aliyoyasema Lowassa kuhusika Kikwete na Richmond yaliripotiwa kwa usahihi na kuwa ndivyo ilivyokuwa ina maana kuwa ushahidi ambao kina Mwakyembe waliuona kumhusu Waziri Mkuu ulimhusu Rais vile vile. Sasa je, kamati ingeenda na kumuita RAis? Watu wanachosahau ni kuwa hata Kikwete hakuhojiwa na Kamati! Kikwete ndiye aliyesimama na kutuambia kuwa Richmond haitolipwa n.k na alikuwa anajua kilichokuwa kinaendelea lakini hakuitwa na Kamati.

Hapa ndipo unaona ni kwanini kutomhoji Lowassa na kuachilia Bunge ilikuwa ni kamba yenye vifungo viwili - kwa upande wa Rais na upande wa Waziri Mkuu. Kina Mwakyembe walijua - kwa usahihi na kwa uhakika wa kisheria - wasingeweza kumhoji Waziri Mkuu bila kumuita RAis vile vile.

Fikiria - Lowassa anaitwa na kusema "Nilimuambia Rais..", "Rais alinielekeza"... "Niliandika barua kwa Rais" n.k n.k Je kwa kumtaja Rais si kunalazimisha Rais naaye kuhojiwa maana asipohojiwa naye yeye angesema "Miye Rais lakini hamkuniita". Hivyo, walimpa Lowassa kitanzi cha kumnyoshea kidole Rais. Lowassa leo anaweza kumnyoshea Rais kidole kwenye vikao vya vyama lakini alishindwa kufanya hivyo mbele ya wabunge? Leo anaweza kunyosha kidole hadharani lakini alishindwa kufanya hivyo Bungeni? Hakuna fact iliyobadilika kuhusu Richmond. Lolote analolijua Lowassa leo, alikuwa analijua 2008.

Kina Mwakyembe walimuambia "yeye mwenyewe ajipime". Well, alitumia masaa akajipima, akafikiria na kushauriana na Regina na alipomaliza aliona hana njia isipokuwa kuruka. Alitambua asingeweza kuilaumu ripoti ya Mwakyembe bila kujibiwa. Alijaribu kudai kuwa ripoti iliokoteza toka magazetini na Selelii alisimama akamjibu Bungeni aoneshe ni wapi kwenye hiyo ripoti vilitoka magazetini au afute kauli yake - akafuta! Lowassa, alipewa nafasi ya kupinga yote yaliyosemwa na Kamati Teule na hata kuweka ushahidi kuwa yeye ndiye alijitahidi kuvunja mkataba wa Richmond hakufanya hivyo. Hakufanya hivyo Bungeni isipokuwa aliamua kufanya hivyo siku chache kwenye TVT na ever since amejaribu sana.


Lazima watu waseme ukweli kuwa Lowassa alijiuzulu kwa makosa yake mwenyewe. Alijiuzulu bila kuombwa kujiuzulu na Bunge wala Rais hakumuambia ajiuzulu. Kamati ya Mwakyembe haikumuambia ajiuzulu. Yeye mwenyewe alijipima. Alijigundua hafai kuwa Waziri Mkuu, aligundua hakuwa na hoja ambayo isingeweza kujibiwa Bungeni. Ndio maana yeye mwenyewe aliamua kujiuzulu. Lowassa hakuonewa, Lowassa hakunyimwa haki ya asili, Lowassa aliogopa kujitetea na aliogopa kusimama kuonesha upande wake. Hili ni kosa la Lowassa peke yake na wale waliomshauri kujiuzulu. Siyo kosa la Kikwete wala Mwakyembe wala wabunge waliozungumza kwa ukali Bungeni. Hili ni kosa la Lowassa na tuanze kuliita hivyo.
 
Waberoya thread ni ya Lowassa unaweza kufungua ya wengine wote wa CCM ni rukhsa! Ha! Ha! Now back to my question Lowassa alijiuzulu kwa sababu hakuitwa kwenye kamati au kwa sababu ripoti ilikuwa na ukweli wa wizi wake? Ha! Ha! Ha!

- Mjumbe juhudi za Lowassa kuwatumia Makamba, Almeir na Kingunge kumuokoa kwa Rais ili asijiuzulu a night before kule Chamwino zilikwama cause Bunge lilikuwa linajitayarisha na Vote of no confidence iwapo Lowassa asingejiuzulu kwa hiyo take back maneno yako.
 
Waberoya thread ni ya Lowassa unaweza kufungua ya wengine wote wa CCM ni rukhsa! Ha! Ha! Now back to my question Lowassa alijiuzulu kwa sababu hakuitwa kwenye kamati au kwa sababu ripoti ilikuwa na ukweli wa wizi wake? Ha! Ha! Ha!

- Mjumbe juhudi za Lowassa kuwatumia Makamba, Almeir na Kingunge kumuokoa kwa Rais ili asijiuzulu a night before kule Chamwino zilikwama cause Bunge lilikuwa linajitayarisha na Vote of no confidence iwapo Lowassa asingejiuzulu kwa hiyo take back maneno yako.

Correction... ni thread ya MWakyembe na natural justice
 
@ Waberoya,Mwanakijiji and Kiranga......

My take on the discussion:

I think the most significant question to ask today on the partiality of the Mwakyembe report is why he didn't disclose all the facts in the report rather than why he didn't question Lowassa. I say this because, the significance of questioning Lowassa is already ruled out by the fact that the guy(Lowassa) resigned as a result from the report but the question as to why he (Mwakyembe)didn't reveal all the facts in the report(despite acknowledging knowing them all) still remains unanswered.I strongly say that the partiality of the report lies big on this question because, had he (Mwakyembe)revealed all the facts, then even JK wouldn't be on power today, and Mwakyembe would have fairly become everybody's hero by now and probably more secure physically and mentally..........even God would have protected him from the physical harm he has acquired from those he tried to protect in the report.......

Huu utawala wa Kleptocracy katika tz utaisha lini? mara nyingi tunasikia.... oh....sijui uchunguzi wa corruption fulani haukufanyika kwasababu eti utaathiri national interests/serikali/maslahi ya chama tawala (ccm).........eh!what the hell with national interest/maslahi ya ccm/serikali!!...yaani unalinda majambazi kwasababu ya national interest!!!!which national interest?.....na sasa JK ana practice nepotism na cronysm live yaani......only in tz yaani......God forbid.......
 
@ Waberoya,Mwanakijiji and Kiranga......

My take on the discussion:

I think the most significant question to ask today on the partiality of the Mwakyembe report is why he didn't disclose all the facts in the report rather than why he didn't question Lowassa. I say this because, the significance of questioning Lowassa is already ruled out by the fact that the guy(Lowassa) resigned as a result from the report but the question as to why he (Mwakyembe)didn't reveal all the facts in the report(despite acknowledging knowing them all) still remains unanswered.I strongly say that the partiality of the report lies big on this question because, had he (Mwakyembe)revealed all the facts, then even JK wouldn't be on power today, and Mwakyembe would have fairly become everybody's hero by now and probably more secure physically and mentally..........even God would have protected him from the physical harm he has acquired from those he tried to protect in the report.......

Huu utawala wa Kleptocracy katika tz utaisha lini? mara nyingi tunasikia.... oh....sijui uchunguzi wa corruption fulani haukufanyika kwasababu eti utaathiri national interests/serikali/maslahi ya chama tawala (ccm).........eh!what the hell with national interest/maslahi ya ccm/serikali!!...yaani unalinda majambazi kwasababu ya national interest!!!!which national interest?.....na sasa JK ana practice nepotism na cronysm live yaani......only in tz yaani......God forbid.......


Mkuu...kila kitu kinajulikana, mwakyembe hajasema kila kitu, Lowassa kajiuzulu kwani alivuna alichopanda wao ndio walimchafua sana sumaye na wengine wengi tu. hawa wote ni majambazi na katika majambazi lolote linaweza kutokea1

Kujadili tunajadili lakini bottom line ni kuwa CCM inacheza na akili za watu, watasema huyu mchafu na yule msafi...lakini ni wale wale tu, unayemwona msafi sana leo kesho anaweza kumteua EL kuwa waziri mkuu! Rostam aliyesema kaacha siasa ndiye aliyemweka mwana ccm mwenzake pale amrithi!

Tukitaka ukombozi ni kuikataa CCM na kazi zake zote, watu wake wote, janja yao yote...ni wezi na wako very smart kuhakikisha mrija wa kunyonya utajiri wa nchi hii haukatiki at any cost! ndio maana wachafu wote hawako jela! wanaangalia DSTV na kusoma JF!!

CCM wote wezi...ukiona mwana CCM mmoja anasema mwana ccm mwenzake mchafu..ujue wanatekeleza ujanja wa kuendelea kutawala nchi hii!
 
I am a CCM na sijawahi kumuibia mtu wala taifa! Ha! Ha! Nguu mingi hoja hakuna! Ha! Ha! Sio Chadema wote ni Wachaga! Ha! Ha!
 
Dr SHUKURU MUNGU UMERUDI INGWA HUJAPONA KABISA. KAA KIMYA WASIJE KUKUMALIZIA1 USICHEZE NA WANAMTANDAO NA LOWASSA WAO. WATAKUNYWA KAMA CHAI NI NOMA. WAMEUA WANGAPI! WENGI TU NDIYO MAANA HATA JK ANAOGOPA AKICHEZA WATAMKOLIMBA. AMIRI JESHI MWENYEWE ANATETEMEKA ITAKUWA MWAKEYEMBE! WATZ TUMEZUBAA SANA ETI WAPOLE. WAMETUNUNUA MPAKA IKULU SASA ETI TUWATOE KIRAHISI! NO TUKITAKA KUWATOA BASI TUWE NA IDADI YA KUTOSHA YA WATAKAOKUBALI KUFA. TUKIPENDA UHAI WETU BASI ACHA WATUNYWE KAMA MBEGE.
 
Kiranga, unachosema ni kujaribu kumuweka Lowassa kuwa ni object ya investigation wakati hakuwa. Uchunguzi ulihusu Richmond na ndio maana ukisoma mahitimisho kuhusu Richmond were swift and precise. Sasa watu waliokuwa implicated kimsingi walihitaji hatua zaidi dhidi yao kuchukuliwa na kuchunguzwa zaidi na vyombo husika.

Lowassa alikuwa implicated and that is it. He was not accused or even condemned of any wrong doing. Ukisoma maelezo niliyoyaweka ya Kamati ni kuwa hatua zozote zaidi dhidi ya Waziri Mkuu zilikuwa zichukuliwe na Bunge na yeye mwenyewe. Kamati isingeweza kwenda zaidi ya mandate iliyopewa kwani hata kumuita Waziri Mkuu kumhoji ingekuwa ni kujipa ajenda wasiokuwa nayo. Wao waliangalia nyaraka wakaona zina muimplicate WM kwa kiasi kikubwa. Sasa kwenda the next level - ya kuanzisha uchunguzi dhidi ya Waziri Mkuu - Bunge lilitakiwa kukubali kwani ndicho chombo cha nidhamu ya juu ya Waziri Mkuu ukiondoa Rais.

Lakini pia implication ya Waziri Mkuu ilikuwa na jambo jingine ambalo watu tayari wameliona - ilikuwa ina muimplicate Rais vile vile. Fikiria hivi - kama aliyoyasema Lowassa kuhusika Kikwete na Richmond yaliripotiwa kwa usahihi na kuwa ndivyo ilivyokuwa ina maana kuwa ushahidi ambao kina Mwakyembe waliuona kumhusu Waziri Mkuu ulimhusu Rais vile vile. Sasa je, kamati ingeenda na kumuita RAis? Watu wanachosahau ni kuwa hata Kikwete hakuhojiwa na Kamati! Kikwete ndiye aliyesimama na kutuambia kuwa Richmond haitolipwa n.k na alikuwa anajua kilichokuwa kinaendelea lakini hakuitwa na Kamati.

Hapa ndipo unaona ni kwanini kutomhoji Lowassa na kuachilia Bunge ilikuwa ni kamba yenye vifungo viwili - kwa upande wa Rais na upande wa Waziri Mkuu. Kina Mwakyembe walijua - kwa usahihi na kwa uhakika wa kisheria - wasingeweza kumhoji Waziri Mkuu bila kumuita RAis vile vile.

Fikiria - Lowassa anaitwa na kusema "Nilimuambia Rais..", "Rais alinielekeza"... "Niliandika barua kwa Rais" n.k n.k Je kwa kumtaja Rais si kunalazimisha Rais naaye kuhojiwa maana asipohojiwa naye yeye angesema "Miye Rais lakini hamkuniita". Hivyo, walimpa Lowassa kitanzi cha kumnyoshea kidole Rais. Lowassa leo anaweza kumnyoshea Rais kidole kwenye vikao vya vyama lakini alishindwa kufanya hivyo mbele ya wabunge? Leo anaweza kunyosha kidole hadharani lakini alishindwa kufanya hivyo Bungeni? Hakuna fact iliyobadilika kuhusu Richmond. Lolote analolijua Lowassa leo, alikuwa analijua 2008.

Kina Mwakyembe walimuambia "yeye mwenyewe ajipime". Well, alitumia masaa akajipima, akafikiria na kushauriana na Regina na alipomaliza aliona hana njia isipokuwa kuruka. Alitambua asingeweza kuilaumu ripoti ya Mwakyembe bila kujibiwa. Alijaribu kudai kuwa ripoti iliokoteza toka magazetini na Selelii alisimama akamjibu Bungeni aoneshe ni wapi kwenye hiyo ripoti vilitoka magazetini au afute kauli yake - akafuta! Lowassa, alipewa nafasi ya kupinga yote yaliyosemwa na Kamati Teule na hata kuweka ushahidi kuwa yeye ndiye alijitahidi kuvunja mkataba wa Richmond hakufanya hivyo. Hakufanya hivyo Bungeni isipokuwa aliamua kufanya hivyo siku chache kwenye TVT na ever since amejaribu sana.


Lazima watu waseme ukweli kuwa Lowassa alijiuzulu kwa makosa yake mwenyewe. Alijiuzulu bila kuombwa kujiuzulu na Bunge wala Rais hakumuambia ajiuzulu. Kamati ya Mwakyembe haikumuambia ajiuzulu. Yeye mwenyewe alijipima. Alijigundua hafai kuwa Waziri Mkuu, aligundua hakuwa na hoja ambayo isingeweza kujibiwa Bungeni. Ndio maana yeye mwenyewe aliamua kujiuzulu. Lowassa hakuonewa, Lowassa hakunyimwa haki ya asili, Lowassa aliogopa kujitetea na aliogopa kusimama kuonesha upande wake. Hili ni kosa la Lowassa peke yake na wale waliomshauri kujiuzulu. Siyo kosa la Kikwete wala Mwakyembe wala wabunge waliozungumza kwa ukali Bungeni. Hili ni kosa la Lowassa na tuanze kuliita hivyo.

Mk MM
Unaposema kuwa E Lowasa (alipewa nafasi ya kupinga yote yaliyosemwa na Kamati Teule na hata kuweka ushahidi kuwa yeye ndiye alijitahidi kuvunja mkataba wa Richmond hakufanya hivyo) unamaanisha nini haswa,maana kuna sehemu wewe mwenyewe unamtaja E.Lowasa kuwa asingeweza kuhojiwa na kamati kwani kufanya hivyo kungepaswa na Raisi pia kuhojiwa na ndivyo hivyohivyo ilivyotokea wakati Mh E Lowasa alipopewa nafasi ya kujitetea,asingeweza kusema lolote lile kwani tayari kusema kwake kungemgusa Mh Raisi nukuu(Fikiria - Lowassa anaitwa na kusema "Nilimuambia Rais..", "Rais alinielekeza"... "Niliandika barua kwa Rais" n.k n.k Je kwa kumtaja Rais si kunalazimisha Rais naaye kuhojiwa maana asipohojiwa naye yeye angesema "Miye Rais lakini hamkuniita".) na hapo ndipo hali ya hewa bungeni ingechafuka,kuona hivyo Mh Lowasa aliona ni bora ukafunika kombe ili Mh Raisi na serikali yake kwa ujumla ibaki salama,

Nadhani pia Mh Lowasa anayasema sasa baada ya kuona kuwa kuna watu wamevalia njuga jambo wasilolijua undani na ukweli wake

Hitimisho ni kuwa Mh Lowasa alifanya vile si kwa kosa lake binafsi,ni kutaka kuinusuru serikali na chama chake

Mkuu MM kwanini siku moja usionane na Mh Lowasa tukapata majibu ya hayo uliyoyaeleza?
 
@ Waberoya,Mwanakijiji and Kiranga......

My take on the discussion:

I think the most significant question to ask today on the partiality of the Mwakyembe report is why he didn't disclose all the facts in the report rather than why he didn't question Lowassa. I say this because, the significance of questioning Lowassa is already ruled out by the fact that the guy(Lowassa) resigned as a result from the report but the question as to why he (Mwakyembe)didn't reveal all the facts in the report(despite acknowledging knowing them all) still remains unanswered.I strongly say that the partiality of the report lies big on this question because, had he (Mwakyembe)revealed all the facts, then even JK wouldn't be on power today, and Mwakyembe would have fairly become everybody's hero by now and probably more secure physically and mentally..........even God would have protected him from the physical harm he has acquired from those he tried to protect in the report.......

Huu utawala wa Kleptocracy katika tz utaisha lini? mara nyingi tunasikia.... oh....sijui uchunguzi wa corruption fulani haukufanyika kwasababu eti utaathiri national interests/serikali/maslahi ya chama tawala (ccm).........eh!what the hell with national interest/maslahi ya ccm/serikali!!...yaani unalinda majambazi kwasababu ya national interest!!!!which national interest?.....na sasa JK ana practice nepotism na cronysm live yaani......only in tz yaani......God forbid.......
Mnajua sisi Wadanganyika wepesi sana kudanganywa vitu na tukakubali..Lowassa is very smart inapofikia ktk profession yake ya Ufisadi he knows how to cover his prints..
Jamani Mwakyembe na kamati yake walikabidhiwa kazi ya kuchukunguza mkataba wa Richmond, hapa kinachofanyika ni makaratasi tu, nani katoa amri au nani kafanya nini ni kazi iliyotakiwa kufuata baada ya taarifa hiyo kufikiishwa Bungeni. Hii kamati sii wapelelezi wala hawana ujuzi wa kuhoji ama kudadisi kesi za Uhujumu na wala haikuwa kazi yao kufuatilia who did what na nani mwenye makosa au msafi bali kutazama kama mkataba ule ulikuwa haramu with names of players..

Hatua iliyofuata ndio ilitakiwa hao players waitwe na wahojiwe ktk ngazi ya mashtaka lakini sio ktk report ambayo ingeweza kumsafisha mtu yeyote au kumweka mtu yeyote hatiani. Lowassa kisha tuchezea akili anajua kashika mpini na hatuwezi kumfanya kitu. JK kwa upanbde wake pia alijisafisha kumwondoa madarakani kilichotakiwa kufanywa ni Bunge au TAKUKURU wachukue report ile na kuanza kuifanyia uchunguzi kwa kuwahoji wote waliotuhumiwa. Maadam, waziri wa Nishati Msabah alisema kapewa amri kutoka juu - Hii ilitosha kabisa ku close report sasa huyo wa Juu ndio bunge lilitakiwa kumtafuta nani?..

Majuzi tu Lowassa alimuuliza JK kama anakubmuka yeye alitaka kuufuta Mkataba rais akamwambia asubiri bado anapata Ushauri wa makatibu wakuu..while ktk report ya Mwakyembe tunaambiwa Katibu mkuu wa wizara ya nishati aliongea na Lowassa na majibu yake alisema Je, haiwezekani wakabadilisha jina au kubadili mkataba?....Hii yote inaonyesha wazi - He knew, JK pia alijua na kwa kujua kwao kuwepo mkataba fake na bado wakatafuta mbinu za kuuokoa inamweka yeye na viongozi wengine wote mahala pabaya. Sema tu CCM wameshika mpini lakini Mwakyembe hakutakiwa kusema zaidi.. report ilifunga kila shehena iliyotakiwa kuwamaliza viongozi Mafisadi.

By the way - Natural Justice haikatazi mtu Kumsamehe mbaya wako!...ila huwezi kutoa hukumu kwamba yeye ndiye mkosa! Maana hata yule kijana aloua watu kibao huko Norway kisiwani naye unaambiwa - He is not guilty til proven!
 
Back
Top Bottom