Hii kodi noma. Nakumbuka wazee zamani walikuwa hawashindi home yaani ili kukwepa mgambo wa kodi.Kwambaaaaali..... naona kodi ya kichwa ikirejea kwa kasi kuelekea upande huu...
Hii kodi noma. Nakumbuka wazee zamani walikuwa hawashindi home yaani ili kukwepa mgambo wa kodi.Kwambaaaaali..... naona kodi ya kichwa ikirejea kwa kasi kuelekea upande huu...
Kwa Dodoma ni balaa ..hawataki kabisa ufunge biashara yako sijui wanangangania nini.barua ukipeleka wanakuzungusha weee kuipitisha hata siwaelewiMkuu Hawa jamaa Ni balaa. Juzi hapa majengo muuza kuku mmoja ivi alijipeleka kuomba kujisajili ila kabla ya kujisajili akaomba afanyiwe makadirio.
Kilichompata anakijua mwenyewe....alitoka ofisini hakurudi Tena.....
Tatizo jingine, watu wengi Sana Dodoma wanafunga biashara, ukipeleka barua tiaraei ili utolewe kwenye mfumo wa Kodi tiaraei hawakutoi. Siku ukirudi unakuta una Deni rumbesa.....hao ndio tiaraei tz.
Hawa jamaa ni waonevu Sana Sana
Kenya mazingira ya business Ni mazuri sana kulinganisha na hapa. Hapa tunalazimishwa Tena kwa kubambikiwa makodi lukuki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Nasari aliwapelekea video clear!Mkuu ungetoa taarifa kwa wahusika. Kama kuna vitendo ama viashiria vya rushwa toa taarifa ama utaje hata kampuni zenyewe huenda wahusika wakaona na kuchukua hatua
Kuna tukio mojawapo nakamilisha kuanadaa baadi ya nyaraka ikiwamo makadirio bandia ya TRA, vikao walivyo kaa na wajumbe wake, utetezi waliokua wakitoa watuhumiwa na jinsi sakata lilivyoisha. Mambo yote yakiwa tayari nitamwaga mambo hapa watu wajionee.Endeleeni kufunguka wakuu , Mungu yuko pamoja nanyi .
Magumashi Sana kakaKwa Dodoma ni balaa ..hawataki kabisa ufunge biashara yako sijui wanangangania nini.barua ukipeleka wanakuzungusha weee kuipitisha hata siwaelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu uliwahi sababisha nikaepelekwa Butimba kwa 14 days with No removing oder.....Hii kodi noma. Nakumbuka wazee zamani walikuwa hawashindi home yaani ili kukwepa mgambo wa kodi.
Mkuu ungetoa taarifa kwa wahusika. Kama kuna vitendo ama viashiria vya rushwa toa taarifa ama utaje hata kampuni zenyewe huenda wahusika wakaona na kuchukua hatua
ndugu, unaongelea wahusika gani?Mkuu ungetoa taarifa kwa wahusika. Kama kuna vitendo ama viashiria vya rushwa toa taarifa ama utaje hata kampuni zenyewe huenda wahusika wakaona na kuchukua hatua
Hahahahahahahahahaa jinga kweli umenichekesha sana.Mimi Ushauri wangu mkulu wa Mwaloni aamke siku moja aaumuru hela zoote zililokuwemo kwenye akaunti yoyote ile na kwenye Benki yoyota ile aihodhi na kuihamishia kwake.
Kitakachofuatia ni aaitishe Kikao na Baraza lake la Mawaziri Achukue kitabu cha katiba anyofoe ukurasa mmoja asokotee Tumbaku halafu apige pafu zito akipumua awaaangaliee mawaziri halafu asikitike kwa furaha
Halafu awafukuze mawaziri wote na kutangaza Utawala wa KIFALME kabla Mawaziri hao hawaja react Ngoma za Asili zaKisukuma zilizokuwa zimeandaliwa kwa Siri Mkubwa zianze kumbuiza.
Jenerali Mabeyo aje Kusujudu Mbele ya Mfalme na kuyaamuru majeshi yote yatii UFALME wetu mpya
Nyimbo za Kwaya za Kumsifu Malaika zifuatie Huku Nderemo vijijo na hoihoi zikiendelea kwa Siku saba
Wachawi Elfu sabini kutoka Usukumani wamzungumke mara Sabini Mfalme wetu mpya.
Waswezi Elfu tatu wapulize mapembe ya ya Tandala na kumpakaa Dawa Mfalme wetu
Wapiga Ngoma wa Kihutu Mia tatu wapige Ngoma kwa juhudi kubwa huku wakicheza kwa madaha.
Bundi Mia sita waachiwe hewani kama gesture ya Amani na Upendo.
THE KINGDOM EMAGUFUTINI itakuwa imezaliwa Rasmi.
Haya siyo ya kuchekaHahahahahahahahahaa jinga kweli umenichekesha sana.
Haya ndiyo matokeo ya kuongozwa na vichaaKinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi chini ya masaa 72 etc…
Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.
Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.
Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.
Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?
Niliyasema haya ya kuingilia account za watu wiki mbili zilizopita watu wakasema ni uzushi
Watu wengi wanapigwa kimya kimya
Kiubabeki daaah nchii hii aiseeKuna jamaa kanunua nyumba last year akaenda kujipeleka TRA kulipia capital gain,
kilichompata duh siwezi simulia.
Ngoja ninyamaze tu, maana alichambuliwaa source yake ya income. Yaani hakuwahi kuwa na TIN ya biashara ila hela katoa wapi?
Sawa wasiokuwa na million 200 inakuwaje? Rais magufuli bora aingilie huu upuuziKuna jamaa TRA walienda mkagua wakampa kodi ya 500mil jamaa akakomaa nao akawapa 200mil wakamfutia kodi akaamua kuwa chinga ili maisha yaende
Sent using Jamii Forums mobile app