Gezuz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 1,010
- 1,345
Pale unapoona umeonewa tafuta suluhu ya kisheria kudai haki yako kupitia vyombo vya haki nchini.
.
.
Badala ya kukimbilia huku kulalamika ambalo si jambo la msingi sana japo si baya pia tuwe na tabia ya kukimbilia mahakamani kwanza ili kuzuia hayo maovu ambayo tunaona hatutendewi sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
.
.
Badala ya kukimbilia huku kulalamika ambalo si jambo la msingi sana japo si baya pia tuwe na tabia ya kukimbilia mahakamani kwanza ili kuzuia hayo maovu ambayo tunaona hatutendewi sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app