Dr. Mpango na TRA, huu ni Uhujumu Uchumi!

Mimi Ushauri wangu mkulu wa Mwaloni aamke siku moja aaumuru hela zoote zililokuwemo kwenye akaunti yoyote ile na kwenye Benki yoyota ile aihodhi na kuihamishia kwake.

Kitakachofuatia ni aaitishe Kikao na Baraza lake la Mawaziri Achukue kitabu cha katiba anyofoe ukurasa mmoja asokotee Tumbaku halafu apige pafu zito akipumua awaaangaliee mawaziri halafu asikitike kwa furaha

Halafu awafukuze mawaziri wote na kutangaza Utawala wa KIFALME kabla Mawaziri hao hawaja react Ngoma za Asili zaKisukuma zilizokuwa zimeandaliwa kwa Siri Mkubwa zianze kumbuiza.

Jenerali Mabeyo aje Kusujudu Mbele ya Mfalme na kuyaamuru majeshi yote yatii UFALME wetu mpya

Nyimbo za Kwaya za Kumsifu Malaika zifuatie Huku Nderemo vijijo na hoihoi zikiendelea kwa Siku saba
Wachawi Elfu sabini kutoka Usukumani wamzungumke mara Sabini Mfalme wetu mpya.
Waswezi Elfu tatu wapulize mapembe ya ya Tandala na kumpakaa Dawa Mfalme wetu
Wapiga Ngoma wa Kihutu Mia tatu wapige Ngoma kwa juhudi kubwa huku wakicheza kwa madaha.
Bundi Mia sita waachiwe hewani kama gesture ya Amani na Upendo.

THE KINGDOM EMAGUFUTINI itakuwa imezaliwa Rasmi.

Aisee DeepPond pitia hapa utie neno mkuu
 
Ndio haya huwa nayasema kila leo
Tatizo sio siasa hapa nchini
Tatizo ni Uchumi,kila kukicha uchumi unazidi kuporomoka,wafanya biashara wanahama nchi za jirani,kutokana na unyanyasaji wa TRA,ajira zinazidi kupungua
Mh Jpm nia yake ni nzuri kabisa kwa wafanyabiashara lkn tatizo kubwa ni watendaji wake wa chini,ndio wameona huo ndio upenyo wa kupigia hela
 
Hazina KUMEKAUKAAAAAA! Sasa wanahaha huku na kule kubamiza Watanzania kwa kila namna halafu dikteta hadharani anaongea hivi



Unafiki MTUPU!

Kinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi chini ya masaa 72 etc…

Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.

Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.

Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.

Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?
 
Kuna jamaa kanunua nyumba last year akaenda kujipeleka TRA kulipia capital gain,
kilichompata duh siwezi simulia.

Ngoja ninyamaze tu, maana alichambuliwaa source yake ya income. Yaani hakuwahi kuwa na TIN ya biashara ila hela katoa wapi?
hapo wanakosea jee kamaa kakodisha kitega uchumi chake jer
 
Ohoo ananyoosha nchi,kuongoza nchi siyo lelemama.umefunga biashara za watu halafu unatafuta vyanzo vya mapato ambavyo ulikuwa navyo . badala kuvibolesha kwa kukuza sekta binafsi halafu ndio kodi ije.Umepunguza mzunguko wa fedha halafu unataka ukusanye Kodi nyingi?Umetoa fedha za serikali kwenye mabenki binafsi kama vile walioziweka huko ni wajinga.kutoa hizo pesa si kumepunguza wigo wa kodi,tumia akili weji.
 
Kinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi chini ya masaa 72 etc…

Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.

Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.

Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.

Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?
Serikali haiwezi kukosa mapato kisa biahsara zimefungwa mzee. Mtalipa kodi ya kichwa huko muendako si mnashangilia kila jambo.
Mlipoambiwa mtalimia meno mlijua ni mzaha
 
Ooh ananyoosha nchi ,kuongoza nchi siyo lelemama tumia akili siyo mikurupuko,umefunga biashara za watu,sasa unahangaika kutafuta vyanzo vingine vya mpato,wakati ulitakiwa uwakuze hao walipa kodi ili waimalike,yaani ukuze sekta binafsi halafu Kodi itakuja tu, ona sasa si aibu hii. Umepunguza mzunguko wa fedha, Umetoa fedha za serikali kwenye Benki binafsi kama vile walioziweka huko walikuwa wajinga, halafu unahangaisha tra kukusanya mapato hii ni akili kweli.
 
Zimbabwe petrol lita ni zaidi ya $3
Yaani ni ghali kuliko mataifa makubwa mengi
Vurugu inayoendelea huko mnayaona na wabunge wanne wamo ndani
Msako nyumba hadi nyumba na kichapo na mauwaji juu
Yetu macho


Sent from my SM using Tapatalk
 
Zimbabwe petrol lita ni zaidi ya $3
Yaani ni ghali kuliko mataifa makubwa mengi
Vurugu inayoendelea huko mnayaona na wabunge wanne wamo ndani
Msako nyumba hadi nyumba na kichapo na mauwaji juu
Yetu macho


Sent from my SM using Tapatalk
Na mkate 1 unauzwa elfu 20 za kiTanzania
 
Nina mtazamo tofauti. Ikumbukwe kuwa watumishi wa TRA ni watanzania wenye mitazamo tofauti ya kisiasa. Na inawezekana kabisa kuwa baada ya kuzibiwa mianya yao ya upigaji waliokuwa nayo mwanzo basi wameamua kufanya surbotage kwa kuwakadiria watu kodi zisizolipika ili wananchi wazidi kuichukia serikali yao na Rais wao. Maana ni jambo la kawaida sana kwa hao jamaa kukuandikia kodi huku wakikuambia hapa kazi tu. Kwa hali hiyo serikali Ina kazi nyingine ya kuchuja watumishi waadilifu wa TRA na wale wanaofanya kazi ili kuipaka matope serikali..
Trueeeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi chini ya masaa 72 etc…

Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.

Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.

Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.

Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?
wafanya biashar wengi na makampuni ni wanaccm wacha wagalagazane wenyewe.
 
Mimi Ushauri wangu mkulu wa Mwaloni aamke siku moja aaumuru hela zoote zililokuwemo kwenye akaunti zozote zile na kwenye Benki yoyote ile azihodhi na kuzihamishia kwake.

Kitakachofuatia ni aaitishe Kikao na Baraza lake la Mawaziri Achukue kitabu cha katiba anyofoe ukurasa mmoja asokotee Tumbaku halafu apige pafu zito akipumua awaaangaliee mawaziri halafu asikitike kwa furaha

Halafu awafukuze mawaziri wote na kutangaza Utawala wa KIFALME kabla Mawaziri hao hawaja react Ngoma za Asili zaKisukuma zilizokuwa zimeandaliwa kwa Siri Mkubwa zianze kumbuiza.

Jenerali Mabeyo aje Kusujudu Mbele ya Mfalme na kuyaamuru majeshi yote yatii UFALME wetu mpya

Nyimbo za Kwaya za Kumsifu Malaika zifuatie Huku Nderemo vijijo na hoihoi zikiendelea kwa Siku saba
Wachawi Elfu sabini kutoka Usukumani wamzungumke mara Sabini Mfalme wetu mpya.
Waswezi Elfu tatu wapulize mapembe ya ya Tandala na kumpakaa Dawa Mfalme wetu
Wapiga Ngoma wa Kihutu Mia tatu wapige Ngoma kwa juhudi kubwa huku wakicheza kwa madaha.
Bundi Mia sita waachiwe hewani kama gesture ya Amani na Upendo.

THE KINGDOM EMAGUFUTINI itakuwa imezaliwa Rasmi.
mkuu umenikumbusha Haadaa za Waswezi.kule Tabora miaka.hiyooooo.

mafala.sana Waswezi. hahahaaa
 
Ohoo ananyoosha nchi,kuongoza nchi siyo lelemama.umefunga biashara za watu halafu unatafuta vyanzo vya mapato ambavyo ulikuwa navyo . badala kuvibolesha kwa kukuza sekta binafsi halafu ndio kodi ije.Umepunguza mzunguko wa fedha halafu unataka ukusanye Kodi nyingi?Umetoa fedha za serikali kwenye mabenki binafsi kama vile walioziweka huko ni wajinga.kutoa hizo pesa si kumepunguza wigo wa kodi,tumia akili weji.

Sidhani kama anajali
 
Kinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi ya miaka 5 chini ya masaa 72 etc…

Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.

Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.

Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.

Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?

Niliyasema haya ya kuingilia account za watu wiki mbili zilizopita watu wakasema ni uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Ushauri wangu mkulu wa Mwaloni aamke siku moja aaumuru hela zoote zililokuwemo kwenye akaunti zozote zile na kwenye Benki yoyote ile azihodhi na kuzihamishia kwake.

Kitakachofuatia ni aaitishe Kikao na Baraza lake la Mawaziri Achukue kitabu cha katiba anyofoe ukurasa mmoja asokotee Tumbaku halafu apige pafu zito akipumua awaaangaliee mawaziri halafu asikitike kwa furaha

Halafu awafukuze mawaziri wote na kutangaza Utawala wa KIFALME kabla Mawaziri hao hawaja react Ngoma za Asili zaKisukuma zilizokuwa zimeandaliwa kwa Siri Mkubwa zianze kumbuiza.

Jenerali Mabeyo aje Kusujudu Mbele ya Mfalme na kuyaamuru majeshi yote yatii UFALME wetu mpya

Nyimbo za Kwaya za Kumsifu Malaika zifuatie Huku Nderemo vijijo na hoihoi zikiendelea kwa Siku saba
Wachawi Elfu sabini kutoka Usukumani wamzungumke mara Sabini Mfalme wetu mpya.
Waswezi Elfu tatu wapulize mapembe ya ya Tandala na kumpakaa Dawa Mfalme wetu
Wapiga Ngoma wa Kihutu Mia tatu wapige Ngoma kwa juhudi kubwa huku wakicheza kwa madaha.
Bundi Mia sita waachiwe hewani kama gesture ya Amani na Upendo.

THE KINGDOM EMAGUFUTINI itakuwa imezaliwa Rasmi.
Hahahahaha.....imekaa sawa hiyo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom