Dr. Mpango na TRA, huu ni Uhujumu Uchumi!

Usiongee vitu ambavyo haujui, ni wajibu wa makampuni kukadiria hesabu zao mwanzoni kabisa mwa mihula ya kibiashara ilogawanywa mara nne ndani ya miezi 12, ni wajibu wako pia mfanyabishara kuijulisha mamlaka ya mapato kila unapopitia ya kipato na mtiririko wa biashara yako kwa ujumla. Unapaswa kufahamu kuwa biashara inapaswa kurejesha mamlakani kiasi 30% ya faida ambayo umepata baada ya kufunga hesabu za mwisho za mwaka, na ikiwa umesajiri hasara hivyo mamlaka inawajibu wa kurejesha kodi ambayo uliilipa kama kadirio la mapato ya mwaka huo.
Wafanyabiashara unaowalalamikia hawatunzi kumbukumbu, hawafanya marejesho ya mapato wakati mwingine hata ongezeko la thamani mimi na wewe mlaji ndio walipaji wa hiyo kodi.
TRA wanawajibu wa kujiridhisha kuwa unalipa kodi stahiki lakini hii ni baada ya mfanyabiashara kufanya hesabu zake za mwisho za mwaka wa biashara.
Haujafanya return kwa miaka mitatu ni dhahiri kuwa kuna kitu unaficha, sasa mjinga mmoja anakuja tu hapa kuwa mamlaka inahujumu uchumi.
Kama haujui uliza au chukua muda wako kujifunza, kesho ukikamatwa kwa uchochezi serikali kandamizi.
Tumia akili


TRA hukataa makadirio yaliyofanywa na mlipa kodi mwenyewe na kubandika watakayo wao.
 
Mkuu Hawa jamaa Ni balaa. Juzi hapa majengo muuza kuku mmoja ivi alijipeleka kuomba kujisajili ila kabla ya kujisajili akaomba afanyiwe makadirio.

Kilichompata anakijua mwenyewe....alitoka ofisini hakurudi Tena.....

Tatizo jingine, watu wengi Sana Dodoma wanafunga biashara, ukipeleka barua tiaraei ili utolewe kwenye mfumo wa Kodi tiaraei hawakutoi. Siku ukirudi unakuta una Deni rumbesa.....hao ndio tiaraei tz.

Hawa jamaa ni waonevu Sana Sana

Kenya mazingira ya business Ni mazuri sana kulinganisha na hapa. Hapa tunalazimishwa Tena kwa kubambikiwa makodi lukuki

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mwezi mmoja milikatiza maeneo ya community center maeneo ya ofisi za uwaka nilikuta vibanda vya biashara vingi vimefungwa kuuliza tra na halmashauli jamani punguzeni kutudalaliza bhass

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nayufurahia haya ya tra kwa sababu moja tu, hakuna lugha nyingine ya watanzania kuacha kujikomba na CCM na utawala wake batili ila kuteseka hivi. Ni kweli hazina kumekauka sasa tunakamuliwa kwa maagizo toka magogoni na lumumba.
 
Usiongee vitu ambavyo haujui, ni wajibu wa makampuni kukadiria hesabu zao mwanzoni kabisa mwa mihula ya kibiashara ilogawanywa mara nne ndani ya miezi 12, ni wajibu wako pia mfanyabishara kuijulisha mamlaka ya mapato kila unapopitia ya kipato na mtiririko wa biashara yako kwa ujumla. Unapaswa kufahamu kuwa biashara inapaswa kurejesha mamlakani kiasi 30% ya faida ambayo umepata baada ya kufunga hesabu za mwisho za mwaka, na ikiwa umesajiri hasara hivyo mamlaka inawajibu wa kurejesha kodi ambayo uliilipa kama kadirio la mapato ya mwaka huo.
Wafanyabiashara unaowalalamikia hawatunzi kumbukumbu, hawafanya marejesho ya mapato wakati mwingine hata ongezeko la thamani mimi na wewe mlaji ndio walipaji wa hiyo kodi.
TRA wanawajibu wa kujiridhisha kuwa unalipa kodi stahiki lakini hii ni baada ya mfanyabiashara kufanya hesabu zake za mwisho za mwaka wa biashara.
Haujafanya return kwa miaka mitatu ni dhahiri kuwa kuna kitu unaficha, sasa mjinga mmoja anakuja tu hapa kuwa mamlaka inahujumu uchumi.
Kama haujui uliza au chukua muda wako kujifunza, kesho ukikamatwa kwa uchochezi serikali kandamizi.
Tumia akili
Hebu waelimishe hawa, yani watu wamezoea kufanya mambo kienyeji tu. Muda huo umepita. Sasa tubadilikeni jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi ya miaka 5 chini ya masaa 72 etc…

Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.

Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.

Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.

Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?

Subiri ifike July uone jiwe atakavyokuwa anahaha.
 
Haki nimecheka kwa sauti kama mwehu
Mimi Ushauri wangu mkulu wa Mwaloni aamke siku moja aaumuru hela zoote zililokuwemo kwenye akaunti zozote zile na kwenye Benki yoyote ile azihodhi na kuzihamishia kwake.

Kitakachofuatia ni aaitishe Kikao na Baraza lake la Mawaziri Achukue kitabu cha katiba anyofoe ukurasa mmoja asokotee Tumbaku halafu apige pafu zito akipumua awaaangaliee mawaziri halafu asikitike kwa furaha

Halafu awafukuze mawaziri wote na kutangaza Utawala wa KIFALME kabla Mawaziri hao hawaja react Ngoma za Asili zaKisukuma zilizokuwa zimeandaliwa kwa uSiri Mkubwa zianze kumbuiza.

Jenerali Mabeyo aje Kusujudu Mbele ya Mfalme na kuyaamuru majeshi yote yatii UFALME wetu mpya

Nyimbo za Kwaya za Kumsifu Malaika zifuatie Huku Nderemo vijijo na hoihoi zikiendelea kwa Siku saba
Wachawi Elfu sabini kutoka Usukumani wamzungumke mara Sabini Mfalme wetu mpya.
Waswezi Elfu tatu wapulize mapembe ya ya Tandala na kumpakaa Dawa Mfalme wetu
Wapiga Ngoma wa Kihutu Mia tatu wapige Ngoma kwa juhudi kubwa huku wakicheza kwa madaha.
Bundi Mia sita waachiwe hewani kama gesture ya Amani na Upendo.

THE KINGDOM EMAGUFUTINI itakuwa imezaliwa Rasmi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachoendelea sasa hivi kinaogopesha. Maafisa wa TRA wameanza kuvamia makampuni. Wanataka ripoti ya mapato yako yote, Bank Account, malipo ya VAT, Rekodi ya manunuzi ya miaka 5 chini ya masaa 72 etc…

Maafisa hawa wa TRA wanafanya mahesabu yao na kurudi kwako kwamba umekuwa ukikwepa kodi kwa maana hiyo wanafanya estimate ya kiwango unachodaiwa. Matajiri wanaulizwa chanzo cha utajiri wao, mwisho wa siku wanaomba watoe hela au account zao zizuiliwe.

Kampuni moja ndogo sana hapa Temeke wanadaiwa million 350 wakati hata kwa mwezi hawaingizi million 60.

Makampuni mengi sana na matajiri wanalalamika kwa uvamizi huu. Hali ni mbaya. Na hii ni uhujumu uchumi maana hawa watu wanaenda kufunga bila shaka.

Sasa, swali langu: Haya makamuni yakifungwa, serikali itapata wapi mapato, na waajiriwa wataenda wapi?
MTU wa kulaumiwa ni kikwete,huyu ndo mharibifu wa uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom