Sio vikwazo ni location alotaka kujenga kuna hospitali kubwa zaidi 5 ndani ya eneo la KM 30,machame hosp,kcmc,kibosho hosp.mawenzi hosp.kibong'oto
Umewaza km mm mkuu, hongeraundefinedkuna mtu yuko nyuma ya mengi kwasasa,undefinedundefinednaona uchumi unataka ushikwe na wazawa sasa
Hivi hii hospitali haikujengwa??Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?
Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Una hisa ngapi kwenye kampuni za mengi?zinazidi 40%?Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?
Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.
Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.
Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.
Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
sina hata nusu hisa .Una hisa ngapi kwenye kampuni za mengi?zinazidi 40%?
Kabla ya kutengeneza hata gari moja ni vema akilipa mshahara wa wafanyakazi wake .Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.
Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.
Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.
Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Kwi! Kwi! Kwi!Huyu awsmu ya tano insmuendea vizuri sana nahisi alishazoes kulipa kodi tangu huko nyuma.
Kweli kabisa!Ashajua jinsi ya kumkamata masikio mtu flan mpenda viwanda!!! Anajua kula na kipofu
Alipe kwanza Mishahara ya wafanyakazi wakeMengi anajenga empire, ni kama Rockefellers utajiri wao ni history sio weye unamrisisha mwanao kibox cha condoms badala ya group of companies.
Hakuna anatumika kupumbaza na kuwapa Watanzania matumaini hewa ya Viwanda na lengo kubwa likiwa ni ajiraHuyu awsmu ya tano insmuendea vizuri sana nahisi alishazoes kulipa kodi tangu huko nyuma.
Nakumbuka kama tuliambiwa kingeanza uzalishaji mwezi December 2018 je? Kimesha anza uzalishaji?