dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,956
- 8,350
so sad aisee, nguvu zimemwishia mzee wetuIla Mengi AMECHOKA sana, huyu jamaa inabidi apumzike sasa..
so sad aisee, nguvu zimemwishia mzee wetuIla Mengi AMECHOKA sana, huyu jamaa inabidi apumzike sasa..
Kabisa mpaka anatia huruma, why hataki kupumzika? Haamini mtu au hakuna mtu anataka kusimamia shughuli zake? Na baada ya msiba wa aliekuwa mkewe ndio kzidi kwisha.so sad aisee, nguvu zimemwishia mzee wetu
Aiseee !!!Kile Kiwanja alichopewa na kijjji pale machine tools wananchi wanachungia mbuzi tu hakuna kokoto wala mchanga.Mzee amekuwa mtu wa fix sana
Kwi! Kwi! Kwi!Mfugare Flyover Bil 100
Kiwanda Cha Magari Bil 22.
Kwa hesabu hizi inamaana mfugare Flyover ni sawa na Viwanda 4 Vya magari.
Huyu msanii..ila ni vizuri "wenyewe" washamfahamu kuwa si mkweli. Nadhani angeanza lipa mkopo yake michafu anayodaiwa na mabenki yetu kabla ya kurukia huku...Sidhani kama awamu hii udalali una nafasi...Kabisa mpaka anatia huruma, why hataki kupumzika? Haamini mtu au hakuna mtu anataka kusimamia shughuli zake? Na baada ya msiba wa aliekuwa mkewe ndio kzidi kwisha.
Ungejiuliza kwanza kwa miaka 40 ambayo mengi yupo kwenye game ya biashara mtaji alitoa wapi. Ingekuwa nchi nyingine wala mengi asingekuwepo ungesikia tu kuwa kuna mfanyabiashara moja alifungwa maisha kwa kuibia serikali. Kabla ya kuandika fanya tafiti kwanza. Usikurupuke tu kwaio mengi kufanya biashara ndio uchumi imekua duu maskini Tanzania nakulilia nchi yangu. ELIMU! ELIMU! ELIMU!Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.
Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.
Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.
Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Mkuu mbona Foundation iliwekwa. Pia sio miaka 20 kwa sababu Mtie alifariki 2009 mwanzoniTangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?
Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Point ya msingi sana hii,nadhani kuna wana CCM na CDM wanalipwa kupinga/ku support kila aina ya jambo humu jf.Honestly mnabidi mtoke kwenye ufungwa wa uChadema na uCCM.
So ikawaje tena Kikwete huyohuyo akajenga JKHIWacha uwongo wako, hizo hosp zinatibu magonjwa ya Moyo?
Kikwete na wahuni wenzake walimwekea uzabe, ili wagonjwa wote watakao pelekwa Apollo kwa hela ya serikali wapige 10%
Eti hiyo pesa hana, wabongo wachawi kweli kweli khaa70+ hiyo pesa hana
Utapata taabu wewe ambaye unaaambiwa nini cha kuandika na unaandika, hata kama ni utumbo wenye kunuka na kukuonyesha kuwa mtupu kichwani. Jitambue.Utapata tabu sana awamu hii,Dada mange kimavi anasemaje kuhusu kuyumba kwa uchumi ambayo ndo ajenga kuu ya wakaazi wa kijiji cha pingapinga kata ya chaduma?
Akili yako finyu sana huwezi hata huisha hiyo meseji ki-mantiki. kwa uzoefu wa biashara na uwekezaji alio nao kwa zaidi ya miaka 40, Lazima ajue mazingira rafiki ya kuwekeza. hivyo sehemu inayo yumba hawezi wekeza.Kwa hiyo Mengi kufungua kiwanda cha ku-assemble magari na simu ni uthibitisho kwamba uchumi wa nchi hauyumbi? Nani amekuambia, Lumumba?
Unataka ashindane na tasisi ya Muhimbili?Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?
Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Lakini angeingia ubia na Toyota angekuwa kwenye sehemu nzuri zaid kuliko HyundaiKwa hiyo Mengi kufungua kiwanda cha ku-assemble magari na simu ni uthibitisho kwamba uchumi wa nchi hauyumbi? Nani amekuambia, Lumumba?