Dr. Mengi kujenga kiwanda cha kuunda magari nchini

Dr. Mengi kujenga kiwanda cha kuunda magari nchini

Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Hizo zitakuwa hundai tu, waulize JWTZ walizipeleka wapi?
 
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
N
View attachment 940512View attachment 940513

Ndugu sio vizuri kupotosah uma au kama huelewi ni bora kupata ufafanuzi au habari kamili. Mimi naona kama umetumwa ila kwa ufupi ni kwamba tunaomfahamu Mengi siku zoote amekuwa "dalali"wa biashara za watu wengine na ametoka kw anjia hiyo mifano midogo ni Coca cola n.k jambo ambaloi sio baya kwani amejiongeza. Hivyo ni vizuri pia kuambia uma ukweli kuwa pamoja na juhudi zake za kuwavuti aw awekezaji kutoka nje yeye amekuwa kama "Dalari" lakini kwa wawekezaji hao na wanchokifanya ni kwamba nae anapewa sehemu ya hisa kwenye hivyo viwanda vitakavyofuguliwa nchini kwa kazi ya udalari aliyofanya of course na pesa kidogo nae yeye aliyochangia...
 
Hizo zitakuwa hundai tu, waulize JWTZ walizipeleka wapi?
Hapo mkuu umenena. Nadhani angeunganisha nguvu kwa kampuni ya Toyota, ingependeza zaidi just because, magari ya Yundai hapa sio mengi kama ya Toyota. Kenya ndo nasikia watazalisha magari ya Toyota
 
Yupo ubia na wa Korea?Namuona Mzee Mengi akipanda taratibu kuwa African giant industrialist.
 
Akili yako finyu sana huwezi hata huisha hiyo meseji ki-mantiki. kwa uzoefu wa biashara na uwekezaji alio nao kwa zaidi ya miaka 40, Lazima ajue mazingira rafiki ya kuwekeza. hivyo sehemu inayo yumba hawezi wekeza.
Kwa hiyo kwa akili yako pana mazingira rafiki ya kuwekeza na uchumi kutoyumba ni kitu kimoja?
 
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Huyu mzee anamini sana katika KUWEZA nadhani hata zaidi ya asilimia 200%, na kila wakati anapoonekana kwenye public kwa issues ambazo ni business related, huwa haachi kutamka manemo hayo AMINI, WEZA. This man is really very positive in his thinking na ndiyo maana yuko hivyo alivyo. Mind you kupata utajiri ni jambo moja na kuendelea kuwa tajiri ni jambo jingine. Ni rahisi zaidi mtu kupata utajiri kuliko mtu kuendelea kuwa tajiri. Ukiona mtu ameendelea kuwa tajiri na kwa kipindi kirefu kama cha huyu mzee, be sure kwamba upstairs atakuwa yuko smart siyo kawaida!
 
Mingi au wachina ndio wanao jenga hicho kiwanda. Huyu mzee miaka yote yeye ni mla pasenti tu. Viwanda vyote ni vya wahindi. Sasa ameamua kuhamia kwa wachina.
 
Tanzania inatarajia kurejea kwenye historia ya Mapinduzi ya Viwanda kwa kutengeneza magari ifikapo mwezi Oktoba mwakani mara baada ya Kampuni ya wazawa IPP Automobile Limited na Youngsan Glonet Corporation ya Korea kusini kutiliana saini kuanza kwa uwekezaji huo.

 
Mishahara basi iongezwe, madaraja basi yapande na warekebishe ike sheria ya mafao ya kupewa 25% tuna hitaji pesa za kununulia hayo magari.

Pia serikali ili kuboost uwekezaji huu hindiyo iwe brand ya magari kwa taasisi zake.
 
Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?

Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Ww hujui wazo lilichukuliwa serikalini Na jkcia ikajengwa? Acha kupotosha
 
Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?

Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
anajua kucheza na hisia za wanasiasa. Ile hospitali haujawahi kujengwa huwa anaangalia maslahi mapana ya kibiashara
 
Back
Top Bottom