Dr. Mengi kujenga kiwanda cha kuunda magari nchini

Dr. Mengi kujenga kiwanda cha kuunda magari nchini

Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Tofautisha kusema na kujenga,ngoja tusubirie ajenge kwanza ile ya moyo aliyoahidi,hata Mimi tajenga jengo lenye orofa 600 kwenda juu
 
Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?

Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Kwani hujui kilichompata mmiliki wa Tanzania Heart Institute? Mengi nae anajipenda mzee baba
 
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513
Kiwanda cha simu kimeshaanza kazi alicho ahidi kukijenga
 
Tangu aseme atajenga Hospitali ya magonjwa ya moyo , miaka 20 iliyopita uliona hata mchanga au kokoto ?

Mzee Mengi badala ya kutuona mazuzu ni vema basi ukakamilisha miradi uliyotueleza mwanzo kabla ya kukurupukia mengine .
Awamu hii inaweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara kufanya mambo ambayo tuliamini hatuna huwezo wa kuyafanya.

Tofauti na awamu iliyopita, “Watanzania uwezo wetu ni wakuwekeza kwenye viwanda vya juisi”!
 
Sidhani kama kuna mfanyabiashara mkubwa mwenye imani kubwa na Tanzania ya viwanda kama ndugu Reginald Mengi.
Mengi anatarajia kuanza kutengeneza/kuassemble magari hapa nchini.

Wakati wapinzani wakidai serikali inaua biashara,kwa kipindi cha miaka 3 ya JPM,mfanyabiashara Mengi amewekeza zaidi ya bil 100 kwenye ujenzi kiwanda cha madawa, anatarajia kufungua kiwanda cha simu na sasa anaingia kwenye Magari.

Swali la msingi tujiulize kati ya Mengi aliye kwenye game la biashara kwa zaidi ya miaka 40 na mchungaji Msigwa aliekuwa mchungaji kwa zaidi ya miaka 10 ni nani hasa anaweza kuona uchumi unayumba kwa usahihi?.

Tanzania ya viwanda.
View attachment 940512View attachment 940513

Ongera Mzee Mengi kwa kutuonyesha Watanzania tunaweza mambo tofauti na tuliyozoea!
 
Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Mengi, amesema anaiunga mkono falsafa ya Rais Dk. John Magufuli, ya uchumi wa viwanda kwa kuanzisha kiwanda cha kuunda magari, kitakachozalisha ajira zaidi ya 1,500 kwa Watanzania hapa nchini.

Amesema kiwanda hicho kinatarajiwa kuanza kuuza mabasi ya abiria na magari ya mizigo kuanzia tani 2.5 mpaka tani 28, mapema Oktoba mwakani, na baadaye mwaka 2022 kitaanza kuzalishwa magari madogo ya kutembelea.

Dk. Mengi ametoa kauli hiyo leo Nov. 20 jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba wa makubaliano (MoU), kati ya kampuni yake IPP Automobile na Yongsan Glonet Corporation ya nchini Korea inayozalisha magari aina ya Daewoo na Hyundai.

Amesema kiwanda hicho kinachotarajiwa kuanza kazi Januari mwakani, eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam, kitaunda takriban magari 1,000 kwa mwaka ambayo yatauzwa ndani ya Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania.
c675b7dede8acc0339e2e963464c05b2.jpeg
 
Back
Top Bottom