Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

uko sahihi mkuu.me sio kwamba napingana na wewe au vipi but huwa sipendi sana hii tabia.mbowe katumia pesa ya umma kwenda kustarehe na mtu wake ughaibuni lijitu linakuja linakujibu mbona mwigulu naye kafanye hivyo!!!!so what?kwamba coz mwigulu kafanya(actually ni kosa) ndio ihalalishe kufanya mbowe?(point of correction:natambua kuwa katibu wa bunge ameweka sawa hii issue so sio kwamba namtuhumu mbowe itz just an example).kwa nini cdm wasiwe tofauti?kwa nini wahalalishe maovu yao coz tu wa ccm nao wamefanya?
kwenye hiyo issue yako ya upinzani kuingia madarakani sahau.......majitu ya nchi hii hayatabiriki anytime yanaweza kubadilika.we subiri hapa uone 2015 ccm wanamweka lowassa(huyu huyu ambaye wengine tulitamani afe tu kwenye skendo ya richmond tukamwita majina ya kila aina and trust me kama angesimamishwa kugombea hata udiwani na mimi ningembwaga kwa mbaaali sana) wanampamba kwa nyimbo na ngonjera mijitu yotee inampigia kura.Raia wa nchi hii mkuu wanakera sana yaani hadi inauma kufiria.kiukweli ccm wameshindwa na watanzania tulio wengi tunahaha kuangalia mbadala wake but kwa upande mwingine huko tunakotarajia kupata mbadala nako mambo hayaendi sawa ni mvurugano tupu.i wish kungekuwa na craiteria za kupata viongozi but kule sifa kuu ni nani unamsapoti na kwa wakati gani basi.

mkuu umeelimika kidogo? manake naona unakuwa mzito kweli kuelewa. achana na chemba la mavi, mamvi, slaa, zito sijui nani, hao ni watu kaka, wanapita...ongelea mfumo. nchi ni mifumo (systems) si watu, kwa maana nyingine nchi ni taasisi si kikwete wala mbowe. mifumo ikiwa imara halafu wewe chicco ukaiba utashughulikiwa na mfumo. likewise na moshdar akiiba mfumo utamwadhibu kwa uzito na kwa haki ile ile kama ulivyofanya kwa Chicco, vinginevyo ukitaka kupindisha hutaweza coz systems zitakataa. sasa ninyi ccm hamtaki kujenga mifumo imara, mnataka mifumo ibaki kisaniikisanii tu ili akibaka kapuya tumpigie makofi, lakini akizini slaa tumuulie mbali.

vinginevyo hapo kwenye red huna lolote zaid ya kutumia lugha ya kutugonganisha sisi wanamapinduzi wa cdm na kutufanya tujione, wrongly, kuwa sisi ni dhaifu na tumeparanganyika. ndicho mnachofanya ma-ccm. bahati mbaya kwenu na nzuri kwetu ni kuwa mbinu mnazotumia ni za ki-analog mnooooo.

enway, kitu ambacho sijakielewa na ambacho bado nakitafiti ni kuwa kwa nini magamba, kimakosa sana, mna-underate uwezo wa cdm na hivi mnakuwa mnatumia vitekiniki dhaifu sana kwenye gemu? hivi kwa kiwango cha kina mbowe kweli, tuwe wa kweli, unaweza kutumia vitekniki vya kinyonge kama hivi vya magamba na masalia na ukawaangusha kweli? kweli magamba ndo mnavoaamini? mmefanya analysis zenu vizuri kwel nyie? embu acheni kucheza makida bhana nyie!

hivi, for instance, hii plan ya dakitari Kitila, from designing to implementation, ilikuwa sahihi kweli kutumiwa na mtu msomi wa kiwango cha Kitila? hivi hata kama aliamini kuwa alichokuwa anafanya ni sahihi, je, hakuona kabisa njia nyingine effective zaidi - hata kama iwe ya siri kama hiyo aliyotumia - kuliko hiyo aliyotumia? kwa nini mnakuwa na plans dhaifu sana ukilinganisha na ubora wa mpinzani wenu? ni kwa bahati mbayaaaaa au ni kwa kutokuelewa?! ni uwezo wa kufikiri na kupima umekuwa mdogo mnooooo au ni ulevi wa kukaa madarakani mda mrefu mno bila upinzani wa uhakika kama huu wa cdm? au ndo kuzeeka kwa ccm?

well, sjajua bado.
 
Nilikuwa namuheshimu sana Huyu kitila mkumbo.sitakuheshimu tenaaa kumbe ni msaliti we we.hakuna chama duniani kinaweza kukubaliana na utaratibu million fanyaa.nawatema mate puuuuu
 
Watanzania tunayo kazi! Kama msomi wa level ya kitila(dr) anaweza kuchanganya mambo namna hii sijui tutegemee nini au jamii itegemee nini kwa ambao hatujaenda shule au wenye shule ya kawaida!? Ati viongozi wamejijengea kushabikiwa na wanachama ili hali yeye mwenyewe (anayeona mbali kama alivyonesha kwenye makala yake) anamshabikia zzk hada kumwandalia ushindi!! Kukaa kimya unapogundua umefanya makosa huwa ni uungwana mkubwa sana. Dr, ninapata shida kuelewa kama hayo uliyoandika umeyajua baada ya kuvuliwa cheo na baadaye uanachama au hata kabla ya masaibu hayo!
 
Katika mazingira haya tunahitaji sana mbadala wa CCM na CHADEMA.

watu wa Iramba Magharibi wanataka mbadala wa Ng'wigulu. anzia huko kwanza.

huku CHADEMA tuachie sisi tuliojiunga kwa kufuata sera za chama.
 
Watanzania tunayo kazi! Kama msomi wa level ya kitila(dr) anaweza kuchanganya mambo namna hii sijui tutegemee nini au jamii itegemee nini kwa ambao hatujaenda shule au wenye shule ya kawaida!? Ati viongozi wamejijengea kushabikiwa na wanachama ili hali yeye mwenyewe (anayeona mbali kama alivyonesha kwenye makala yake) anamshabikia zzk hada kumwandalia ushindi!! Kukaa kimya unapogundua umefanya makosa huwa ni uungwana mkubwa sana. Dr, ninapata shida kuelewa kama hayo uliyoandika umeyajua baada ya kuvuliwa cheo na baadaye uanachama au hata kabla ya masaibu hayo!

dokta bado anafikiri kwa kutumia akili za Zitto.
 
@Le Mutuz mbona hammsemi Prof Kapuya, kabaka kabinti kadogo, kalikoenda kuomba msaada wa school fees!!
Tena amekaambukiza ukimwi, mpaka USA kapigwa ban!!
Hao ndio MaCCM unao washabikia, wajomba zako!!
 
Kabisa mkuu Dr. Mkumbo anzisheni mi nitakuwa mwanachama wa mkoa wa Arusha hakikisheni ni mu wakweli na wawazi. Fanyeni haraka watanzania wanateketea kwa upotofu.

waanzishe chama chao cha wasaliti na wanafiki ili mjiunge nacho! teh teh teh teh teh
 
dokta bado anafikiri kwa kutumia akili za Zitto.

ni aibu sana, huu ni ushahidi wa wazi kuwa watanzania wengi elimu zetu ni za kukremu au kununua vyeti. nafikiri haina haja ya kushangaa kuwa inakuwaje wasomi wa Tanzania wanaingia mikataba ya aibu ya kiuchumi na nchi tajiri. ukiacha umaskini, tatizo kubwa ni elimu za kukremu na kununua vyeti.
 
mkuu umeelimika kidogo? manake naona unakuwa mzito kweli kuelewa. achana na chemba la mavi, mamvi, slaa, zito sijui nani, hao ni watu kaka, wanapita...ongelea mfumo. nchi ni mifumo (systems) si watu, kwa maana nyingine nchi ni taasisi si kikwete wala mbowe. mifumo ikiwa imara halafu wewe chicco ukaiba utashughulikiwa na mfumo. likewise na moshdar akiiba mfumo utamwadhibu kwa uzito na kwa haki ile ile kama ulivyofanya kwa Chicco, vinginevyo ukitaka kupindisha hutaweza coz systems zitakataa. sasa ninyi ccm hamtaki kujenga mifumo imara, mnataka mifumo ibaki kisaniikisanii tu ili akibaka kapuya tumpigie makofi, lakini akizini slaa tumuulie mbali.

vinginevyo hapo kwenye red huna lolote zaid ya kutumia lugha ya kutugonganisha sisi wanamapinduzi wa cdm na kutufanya tujione, wrongly, kuwa sisi ni dhaifu na tumeparanganyika. ndicho mnachofanya ma-ccm. bahati mbaya kwenu na nzuri kwetu ni kuwa mbinu mnazotumia ni za ki-analog mnooooo.

enway, kitu ambacho sijakielewa na ambacho bado nakitafiti ni kuwa kwa nini magamba, kimakosa sana, mna-underate uwezo wa cdm na hivi mnakuwa mnatumia vitekiniki dhaifu sana kwenye gemu? hivi kwa kiwango cha kina mbowe kweli, tuwe wa kweli, unaweza kutumia vitekniki vya kinyonge kama hivi vya magamba na masalia na ukawaangusha kweli? kweli magamba ndo mnavoaamini? mmefanya analysis zenu vizuri kwel nyie? embu acheni kucheza makida bhana nyie!

hivi, for instance, hii plan ya dakitari Kitila, from designing to implementation, ilikuwa sahihi kweli kutumiwa na mtu msomi wa kiwango cha Kitila? hivi hata kama aliamini kuwa alichokuwa anafanya ni sahihi, je, hakuona kabisa njia nyingine effective zaidi - hata kama iwe ya siri kama hiyo aliyotumia - kuliko hiyo aliyotumia? kwa nini mnakuwa na plans dhaifu sana ukilinganisha na ubora wa mpinzani wenu? ni kwa bahati mbayaaaaa au ni kwa kutokuelewa?! ni uwezo wa kufikiri na kupima umekuwa mdogo mnooooo au ni ulevi wa kukaa madarakani mda mrefu mno bila upinzani wa uhakika kama huu wa cdm? au ndo kuzeeka kwa ccm?

well, sjajua bado.
me na wewe tunatofautiana sehemu moja kubwa sana but naomba nikuelimishe kidogo,sio kila anaeikosoa cdm ni ccm,jifunze kufikiri kama great thinker.kiukweli kuna wengi sana mnatuchefua kwa hizo tabia zenu za kujifanya nyie tu ndio mnajuuuuuuua kuliko wengine!!!
 
me na wewe tunatofautiana sehemu moja kubwa sana but naomba nikuelimishe kidogo,sio kila anaeikosoa cdm ni ccm,jifunze kufikiri kama great thinker.kiukweli kuna wengi sana mnatuchefua kwa hizo tabia zenu za kujifanya nyie tu ndio mnajuuuuuuua kuliko wengine!!!

mkuu ukisoma maandishi yangu utaona kila mara nikimshauri zito aache u-superioty complex, siwezi kukubali nami tena nifanye kosa hilo hilo la zito. vinginevyo nitakuwa na tofauti gani na Kitila anayewashauri wana-cdm wasishabikie watu huku naye anamshabikia zito?

nayaheshimu mawazo yako mkuu lakini nayapinga kwa sababu si sahihi, si ya kujenga cdm na si ya kuijenga Tanzania mpya tunayoitaka.

yeyote anayeisaidia ccm, ama kwa maneno yake au kwa matendo yake, ama kwa uwazi au sirini na wakati huo huo akiidhoofisha CDM, ama kwa maneno yake au kwa vitendo vyake, ama kwa uwazi au sirini, basi kwa vyovyote vile mtu huyo ni adui mkubwa sana wa cdm na ni rafiki mkubwa sana wa ccm. hivi hawa lumumba wanaomshabikia zito huku unataka kuniambia wanampenda sana zito na cdm?

huwezi kuwa vuguvugu kwenye hii kitu mkuu, you are either hot or cold, your are either with us (cdm) or with the terrorist(traitors of cdm+ccm)
.

na ukishakuwa vuguvugu hakuna Kamanda yeyeto atakayeelewana na wewe. we are not negotiating with the terrorists, period mkuu.
 
Mbona Dr mwenyewe ni mshabiki wa zito.. Kutufundisha kutokuwa washabiki wa viongozi hali wewe umeonyesha kwa uwazi mkubwa kuwa ni mshabiki wa kiongozi fulani tutaelewa kweli hilo somo.. Ubiri unachoishi

amesema kuwa yeye ni mshabiki wa ZZK?yeye aliona kuwa mtu anayeweza kukipeleka chama kwenye NEXT LEVEL ya kuchukua nchi ni ZZK,hiyo haimaanishi kuwa ni mshabiki wa ZZK.Kuona mtu fulani anafaa katika nafasi fulani ndio ushabiki?
 
amesema kuwa yeye ni mshabiki wa ZZK?yeye aliona kuwa mtu anayeweza kukipeleka chama kwenye NEXT LEVEL ya kuchukua nchi ni ZZK,hiyo haimaanishi kuwa ni mshabiki wa ZZK.Kuona mtu fulani anafaa katika nafasi fulani ndio ushabiki?


Teh teh, you cant have your cake and eat it. hii inaitwa kisebusebu na kiroho papo. huku wataka na kule wataka. unataka kitila aonekane hamshabikii zito lakini hapo hapo aonekane anamshabikia zito. magamba ni janga la nchi hii.
 
... Viongozi wa chama hiki wamefanya makosa mengi na makubwa hadi kusababisha mgogoro ufike ulipofika, lakini wanachama na mashabiki wa chama wamekuwa wakishwashangilia katika kila hatua walioifanya. Kwa hiyo lawama ya kwanza kwa wanachama na mashabiki ni pale walipokubali kugeuzwa kuwa mashabiki wa viongozi ndani ya chama badala ya kuwa mashabiki wa chama.

... Wamesahau kwamba wamejenga ufuasi kwa viongozi, na hivyo
watakapomfukuza Zitto atatimka na wafuasi wake na chama kitayumba. Wangekuwa na mtazamo mpana wa kimantiki, na kama wangekuwa ni watu wa kujifunza, viongozi wa CHADEMA wangelimaliza sakata la Zitto ambalo ...
Sasa kuwashabikia viongozi ni upofu, ila kumshabikia Zitto ni sawa tu!
 
Dr Mkumbo ametumia neo "ujinga' mara kadhaa katika article yake.


Nitarudia neo hilo hilo kuwa ujinga walioufanya yeye na wenzake ni kutokujua namna ya kuendesha siasa. Siasa inahitaji siyo tu ushaiwishi bali pia busara. Ukiwa na ushawishi mkubwa kama aliokuwa nao Mrema miaka ya tisini lakini ukawa huna busara kama Mrema alivyokuwa, basi huwezi kabisa kuendesha siasa. Ninaloona ni kuwa wao walifikiria ushawishi wa Zito bila kutumia busara kuwa ni njia zipi zinazotakiwa kufikia lengo hilo bila kuleta mtafaruku ndani ya uongozi wa chama. Ilibidi wajue kuwa ushindi wa Zito utawezekana tu ndani ya chama kilichoshikamana, siyo chama fragmented kama walivyokuwa na mkakati wa kukipeleka.

Ingawa katiba inawapa uhuru wa kugombea nafasi yoyote ndani ya chama chenu, sidhani kama katiba pia inawaruhusu kufanya kampeini za uchaguzi muda wote. Lazima kutakuwa na window ya kufanya kampeini ili kusudi muda mwingine uwe unatumika kufanya kazi za chama. Ninadhani nyinyi mlianza taratibu za kampeini hizo mapema sana na hivyo kujenga mazingira ya kutoshirikiana na viongozi wenzenu mnaoona kuwa ni wapinzani wenu. Mazingira hayo yalikuwa yanaacha chama hakina solidarity kwenye uongozi tena bali kina wapiga kampeini tu. Nadhani ndiyo maana Zito alikuwa hatekelezi majukumu yake kama Naibu Katibu Mkuu na kila mara akawa anamwandikia barua Katibu Mkuu kama vile yeye mwenyewe ni outsider. Madai yenu yangekuwa na maana iwapo nyie mngekuwa siyo sehemu ya uongozi tena, kwa mfano iwao mngejiuzuru nyadhifa zenu ndani ya chama na kubakia wanachama wakawaida halafu mkaanza mikakati ya uchaguzi ujao, hakuna ambaye angewasogelea.


Busara kidogo ilitakiwa kuliko nguvu ya sheria na katiba pekee mnayotumia kama utetezi; ingawa sheria inamruhusu mwanamme yeyote ambaye hajaoa kufunga ndoa na mwanamke yeyote yule ambaye hayuko ndani ya ndoa, busara zinazuia watu wasifunge ndoa na dada zao.

Udhaifu wa Chadema leo ni matokeo ya mchango wenu katika uongozi wa chama hicho.
 
Tutahitaji mbadala wa cdm na ccm baada ya cdm kutawala else hii statement inatoka kwa mtu shabiki wa ccm asiyejua utafiti wa kulinganisha ukinzani
 
Nimerudia kusoma andiko lako na kufanya tafakuri ya kina.kifupi niseme hivi,inaanza kuwa kawaida kwa wasomi na wasomi wakati kuto itendea haki elimu.Elimu haina kawaida ya kutoa nusu ukweli,ina kawaida ya kujipambanua kwa ukweli halisi na si vinginevyo. Wapi napata shida kukuelewa ni pale unapo sema watu wanapenda viongozi badala ya kukipenda chama! nini maana yake? kimsingi watu wanakuwa na wazo,wazo lile wanaliandikia muongozo yaani KATIBA na ndio wanaanzisha chama.Namna watakavyo kiuza kwa wananchi ndivyo kinavyo weza kupata wafuasi wengi au wachache.kwanza watu hufurahia jinsi viongozi wanavyo wapa watu matumaini kwahiyo ni watu wanao kijenga chama na siyo kinyume chake.

Kwa msingi huo, ndio maana hata baba wa Taifa alipoona ccm wameanza kutoka kwenye misingi ya chama alicho kiasisi alitishia kujitoa kwani alijua anaushawishi mkubwa kwa watanzania.Ukija kwa ZZK umaarufu huo hana.humu jf kuliwahi kufanyika opinion poll juu ya nani yuko popular kati ya ZZK NA Dr Slaa.kura zilonesha kuwa Dr slaa yuko juu sana. wakati Dr alipata kura100,000 yeye alipata kura 24,000 tu.

kudhani kuwa ikiwa na elimu kubwa ndio kila kitu katika siasa hiyo ni dhana mbaya sana.uongozi ni kipaji ni zaidi ya elimu ya darasani. HE JOHN MAJOR,aliye kuwa waziri mkuu baada ya Bi MARGARET THARCHER,hakuwa na elimu ya chuo kikuu lakini aliiongoza Uingereza kwa mafanikio makubwa.vivyo hivyo hekima ya Mbowe imekivusha chama kwenye nyakati za shida na sasa kimekuwa tumaini jipya la wana wa nchi.

rai yangu kwa vijana ni kwamba duniani hakuna absolute democracy,every democracy is relative and within cetain baondaries.Haiwezekani kumkabidhi chama mtu ambaye anatia mashaka kwa mienendo yake.kama kweli vijana mnataka uongozi, anzisheni chama chenu kisicho na mipaka ya democracy halafu wanazuoni tujifunze kitu kutoka kwenu maana KUJIFUNZA HAKUNA MWISHO.
 
Dr Mkumbo ametumia neo "ujinga' mara kadhaa katika article yake.


Nitarudia neo hilo hilo kuwa ujinga walioufanya yeye na wenzake ni kutokujua namna ya kuendesha siasa. Siasa inahitaji siyo tu ushaiwishi bali pia busara. Ukiwa na ushawishi mkubwa kama aliokuwa nao Mrema miaka ya tisini lakini ukawa huna busara kama Mrema alivyokuwa, basi huwezi kabisa kuendesha siasa. Ninaloona ni kuwa wao walifikiria ushawishi wa Zito bila kutumia busara kuwa ni njia zipi zinazotakiwa kufikia lengo hilo bila kuleta mtafaruku ndani ya uongozi wa chama. Ilibidi wajue kuwa ushindi wa Zito utawezekana tu ndani ya chama kilichoshikamana, siyo chama fragmented kama walivyokuwa na mkakati wa kukipeleka.

Ingawa katiba inawapa uhuru wa kugombea nafasi yoyote ndani ya chama chenu, sidhani kama katiba pia inawaruhusu kufanya kampeini za uchaguzi muda wote. Lazima kutakuwa na window ya kufanya kampeini ili kusudi muda mwingine uwe unatumika kufanya kazi za chama. Ninadhani nyinyi mlianza taratibu za kampeini hizo mapema sana na hivyo kujenga mazingira ya kutoshirikiana na viongozi wenzenu mnaoona kuwa ni wapinzani wenu. Mazingira hayo yalikuwa yanaacha chama hakina solidarity kwenye uongozi tena bali kina wapiga kampeini tu. Nadhani ndiyo maana Zito alikuwa hatekelezi majukumu yake kama Naibu Katibu Mkuu na kila mara akawa anamwandikia barua Katibu Mkuu kama vile yeye mwenyewe ni outsider. Madai yenu yangekuwa na maana iwapo nyie mngekuwa siyo sehemu ya uongozi tena, kwa mfano iwao mngejiuzuru nyadhifa zenu ndani ya chama na kubakia wanachama wakawaida halafu mkaanza mikakati ya uchaguzi ujao, hakuna ambaye angewasogelea.


Busara kidogo ilitakiwa kuliko nguvu ya sheria na katiba pekee mnayotumia kama utetezi; ingawa sheria inamruhusu mwanamme yeyote ambaye hajaoa kufunga ndoa na mwanamke yeyote yule ambaye hayuko ndani ya ndoa, busara zinazuia watu wasifunge ndoa na dada zao.

Udhaifu wa Chadema leo ni matokeo ya mchango wenu katika uongozi wa chama hicho.

mkuu umehit poa sana. wachambuzi wanaijua sana hii kitu. wadhungu wanaiita hiyo ni "window of opportunity" yaan ni a brief time period in which an opportunity exists. it is a short time period during which an otherwise unattainable opportunity exists. After the window of opportunity closes, the opportunity ceases to exist. Since good deals on real estate, business offers, etc. do not exist forever, the window of opportunity is the ideal time to act. (msisitizo ni wangu)

sasa naona kina dakitari wangu na zito wake wao wanapuyanga tu, hawajui nini kifanyike lini. sijui ndo tamaa zamadaraka, sijui ndo kununuliwa na mafisadi hata haieleweki. inawezekanaje kwa docta mzima jamani?
 
Teh teh, you cant have your cake and eat it. hii inaitwa kisebusebu na kiroho papo. huku wataka na kule wataka. unataka kitila aonekane hamshabikii zito lakini hapo hapo aonekane anamshabikia zito. magamba ni janga la nchi hii.
Kitila anashabikia itikadi, anashabikia mabadiliko, ana ndoto ya kuona mabadiliko ya kweli yanatokea ndani ya nchi hii.sasa kama una imani na mtu fulani kuwa ndiye dereva anayeweza kulifikisha gari unalosafiria salama kule uendako,ni dhambi ama ni ushabiki kusema kuwa fulani ndio awe dereva?
 
Back
Top Bottom