Dr. Kitila
Sikubahatika sana Kusoma mabandiko yako yoyote Kwa undani Na Kwa mantiki hiyo sijawahi kuccoment negative wala positive Kwenye maelezo yoyote yanayo kuhusu. Nina principle ya kutomwongelea Mtu kabla ya Kujua uwezo wa fikra zake. Sisi tunaoamini NENO la Mungu linasema
Luka 5:45--Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.
Sasa Kama Bandiko Hili ndio Picha ya Yale yaujazayo Moyo Wa Dr. Kitila Basi SINA shaka wala dukuduku tena Kwamba ilipaswa Kweli aondolewe.
Labda Dr Kitila Uelewe Dhima ya Chama Cha Kisiasa, Na KUSUDIO la Chama CHOCHOTE kuongoza DOLA, sio mambo ya ujingajinga, ubinafsi Na SHAUKU au Tamanio binafsi la Mtu au kikundi flan Cha watu. Na pia wanayekuita Dr Uelewe pia Dhima ya Kiongozi au Mwanachama wa Chama Chochote Cha Kisiasa Chenye mtazamo Na Kusudio la kishika Dola sio KUSINDIKIZA, huelekeza kutumia Akili zake, nia Yake, Elimu Yake Na hata Muda wake kuchochea vuguvugu Hilo la mageuzi Kwa bidii Na sio kila anapogeuza pillow kitandani mwake anawazia Uongozi huu ni Ugonjwa wenye kutu mbaya sana. What is chairmanship?!??! ..
Wakati Mwingine sikatai unaweza kuchochea vuguvugu hili la Mageuzi, lakini ukahisi hawakuelewi au hawakuamini au wanakupuuza, lazima ukifanyie introspect .. Kwanini hawanielewi.. Ni aina ya uzembe wa kufikiri kuamini your are always 100% parfect and these fellows ate fools..
Lakini pia Kama unaamini my fellow are cup of fools thats why they anderstand not my smart plan, kwanini ung'ang'anie Kuwa Na unaoamini ni wajinga!!? . Kwanini usijiondoe weye mstaarabu ukaanzisha kile chako unachoamini kiko sahihi .. Utauza sera zako yamkini watu wakaziamini Na kukuunga mkono.. Unless uwe Na Tatizo ..unapoanza kuwapinga, kuwakosoa wale unaoamini hawako sawa unadhani nani Hayuko Sawa.
Mwalimu wangu wa Hesabu nayemweshimu sana Marehemu Prop.Shayo alianzisha Chama Chake, Demokrasia Makini Sitaki kuongelea alifaulu au alifeli lakini alianzisha Chama chake kivyake, Sheria Za Kuanzisha Chama Cha Kisiasa Tanzania ziko wazi ANZA CHAKO FANYA YAKO FUJO YA NINI, Makelele ya NINI??!????!
MBAYA zaidi unatumia Vibaya Kurasa Za Magazeti Kufanya political pollution ..! Ungedadavua kwanini mliamua kuandaa waraka kinyume Na Taratibu Za Chama Chenu?!Na kwanini mlikwenda kinyume Na tararibu zenu mwenyewe, Je demokrasia ya VYAMA vingi ni Kufanya kila ukitakacho Ndani ya Chama Kwa jina la Vyama vingi?!?
Ungeeleza Nani Na wapi Alinyimwa nafasi ya Kugombea uongozi mahali Fulani Na Kwa nini!? Na yamkini Sababu hiyo iliwapelekea kuandaa waraka ule!?!?? Lakini Cha zaidi ungeeleza Kama kuna kifungu Ndani ya KATIBA ye Chama Chenu kilichotoa mwanya wa ninyi kufanya kile mlichokifanya? Lakini zaidi sana jiulize mwenyewe Je Kama wewe utakuwa Mwenyekiti wa Chama flani Je utapendelea team yako ya Kazi nayo ikawa inatengeneza side-mastermind Na Fukuto mbalimbali..!?
Lakini Mwisho umetumia 96% ya Waraka wako Kumtetea mwanachama mwenzako wala sio wewe huu ni udhaifu mkubwa unaotoa upenyo mtu ku-smell something fishy around.. Jitambue .. Nyuma kuna Jamii Kubwa ya Watanzania wanaotaka Mageuzi.. Utaingizwa wewe Na ukoo wako wote Na jamaa Za nyumba yako Kwenye record Za wasaliti wa mageuzi..