Elections 2010 Dr Kimei kuwa kwenye kamati ya kuchangisha fedha za kampeni CCM ni sawa??

Kupinga ushiriki wa siasa kwenye mikutano ya mwaka ya wanahisa ndilo jambo sahihi kabisa la kufanya - kwani Dr Kimei anawajibika kwa wanahisa wa CRDB.
 
na katibu wa kamati ni D kweka yule project manager wa majengo pacha ya BOT. aliyeshtakiwa pamoja na liyumba. hii ndio CCM bana

Wapo hapo kimkakati kuweza kurudisha chenji walio chukua BOT, Huku wanasema wamewashughulikia mafisadi kumbe wanashirikiana nao na bila wao hawawezi kuishi hapa mjini!
 
katika gazeti la the citizen la leo 14.09.2010 kuna habari kuwa mkurugenzi mtendaji wa crdb bank ni miongoni wa wajumbe wa kamati ya kukusanya fedha kwa ajiri ya kuiwezesha ccm ishinde uchaguzi jimbo la kawe.
Tatizo langu kubwa ni kuwa crdb ni kampuni ambayo ni ya umma ikiwa pamoja na serikali ya tanzania na sidhani kama kweli hatakuwa na upendeleo wa kisiasa katika kutekeleza majukumu yake hasa wakati huu wa uchaguzi.... Kwa sababu lengo la pesa hizo ni kuisaidia ccm ishinde nadhani kama ikiwezekana kuwakwamisha washindani wake.
Na sheria za nchi zinakataza watumishi wa umma (crdb ni kampuni ya umma) kujihusisha na siasa namuomba kimei ajiudhuru kazi crdb ili kusudi aitumikie ccm bila kuvunja sheria.

Habari yenyewe iko hapa crdb boss admits ccm poll cash link
nafunga akaunti yangu ya crdb, niliyofungua mlimani branch o1j2....................................
 
Katika gazeti la The Citizen la leo 14.09.2010 kuna habari kuwa mkurugenzi mtendaji wa CRDB Bank ni miongoni wa wajumbe wa kamati ya kukusanya fedha kwa ajiri ya kuiwezesha CCM ishinde uchaguzi jimbo la Kawe.
Tatizo langu kubwa ni kuwa CRDB ni kampuni ambayo ni ya umma ikiwa pamoja na serikali ya Tanzania na sidhani kama kweli hatakuwa na upendeleo wa kisiasa katika kutekeleza majukumu yake hasa wakati huu wa uchaguzi.... kwa sababu lengo la pesa hizo ni kuisaidia ccm ishinde nadhani kama ikiwezekana kuwakwamisha washindani wake.
Na sheria za nchi zinakataza watumishi wa umma (CRDB ni kampuni ya umma) kujihusisha na siasa namuomba Kimei ajiudhuru kazi CRDB ili kusudi aitumikie CCM bila kuvunja sheria.

Habari yenyewe iko hapa CRDB boss admits CCM poll cash link

Hili ni tatizo tu kama anafanya kwa kofia yake ya MD wa CRDB, yaani kama anachangia as MD na sio kama Kimei. Otherwise, ana haki kabisa ya kushiriki mchakato wa uchaguzi kama mwananchi mwingine na kama mwanachama wa hicho chama chake. Tusiwafanye watumishe wa umma wawe wafungwa wa kisiasa, nao wana utashi hata kama wanaunga mkono vyama ambavyo vinaliangamiza taifa.
 
Hili ni tatizo tu kama anafanya kwa kofia yake ya MD wa CRDB, yaani kama anachangia as MD na sio kama Kimei. Otherwise, ana haki kabisa ya kushiriki mchakato wa uchaguzi kama mwananchi mwingine na kama mwanachama wa hicho chama chake. Tusiwafanye watumishe wa umma wawe wafungwa wa kisiasa, nao wana utashi hata kama wanaunga mkono vyama ambavyo vinaliangamiza taifa.

Ni sawa Mkuu Kitila. Shida ni kuwa mtu kama huyu anakuwa salama akisaidia CCM. Kama kusingekuwa na double standards basi ingekuwa poa.Unaweza kukumbuka mfano wa Prof Baregu. Angekuwa CCM bado naamini angepewa mkataba UDSM.

Pia tatizo jingine ni tabia yetu Watanzania kushindwa kujivua madaraka. Unakuta mtu yko kwenye night club lakini anataka kuwa-addressed kama Mh Mbunge, CEO wa kampuni n.k. Na hilo ndilo linawafanya watu washindwe kuamini kama Kimei atatimiza jukumu lake hilo bila kuiingiza CRDB. Halafu historia yake ya uhusika kwenye EPA inamtia madoa na kuleta mashaka juu ya mashaka.
 
sijamshangaa Kimei na CRDB yake kwani unafikiri alizochangia za kwake? ni zile zilizoibwa EPA Kupitia account za CRDB
 
baada ya kuwa exposed na gazeti la citizen ambao nao inaelekea walipelekewa upupu. Sasa latest ni kuwa leo Bwana Kimei keshapokea barua toka kwa Bodi ya CRDB ambayo imeitisha kikao maalum cha dharura ili kujua impact ya hili sakata. Hapo bado kuna ile issue nyingine ya CRDB kula hasara isiyo na kifani ambayo bwana kimei aliomba bodi impe nafasi ya mwisho kuiturn around

tafuteni copy ya citizen la jana
 
wacha ile kwake...
Wameelimika vyema sijui ni kitu gani wanababaishwa nacho...?
Hawa jamaa sijui wataacha kujikomba lini...:mad2:
 
Dr. kimei ni kibaraka wa CCM kwani alifanikisha wizi wa Kagoda uliomweka madarakani JK (Nipashe 15/09/2010, uk. 4) na bado anajipendekeza CCM kwa kukusanya michango ya kampeni kule kawe (The Citizen, 14/09/2010, front page). Hivi sio anachukua pesa za CRDB na kusingizia kuwa ni michango ya wananchi?
 
kimei amekaa muda mrefu sana crdb mpaka anaiona kama kampuni ya baba yake. atolewe hapo apelekwe BRELA tuone jeuri yake
 
Hivi CEO wa CRDB, Dr. Kimei, kuchangisha michango sio kutumia vibaya CRDB? Hivi sio kweli anachukua humo CRDB na kuwapatia wagombea na kufadhili ubebaji wa wasikilizaji kwa malori? Hivi wanaochangia, wakienda kuomba mikopo hata bila vigezo watakosa kweli? Au haya ni maji ya shingo baada ya kuona mambo ya Kagoda aliyofanikisha yanarudi tena?
 
nadhani si kila kitu kimekatazwa kwenye sheria, CRDB licha ya kuwa bank ya umma pia kuna kitu chaitwa maadili ya utendaji,
hata kama Kimei sheria hambani ila as a matter of good practice nad good governance si sahihi kabia kujihusisha na masuala
ya kisiasa akijua bank yake imejaa wanahisa wa vyama tofauti, namshauri aachane haraka na ccm iende zake yenyewe, kama
ni kusaidia asaidie vyama vinavyohitaji msaada, ccm ipo madarakani karibu miaka 50 sasa, wamejibinafishia vitu vingi vya
serikali, wana vyanzo vingi vya mapato, kimei achana na ccm ndugu yangu....
 
Napenda James Mbatia ashinde kinondoni, Mdee amfuatie ili ateuliwe viti maalum chadema. Watu hawa wakiwa bunge bunge litanoga.

James Mbatia (Kawe)
H. Mdee (viti Maalum)
Hamad Rashid (Pemba)
F. Mbowe (Hai)
Ndesa Pesa (Moshi town
John Mnyika (Ubungo)
Rwakatare (Bukoba town)
Zitto Kabwe (though I no longer trust him)

Kwakuwa haivi na uongozi wa chama? au unajingine?
 
baada ya kuwa exposed na gazeti la citizen ambao nao inaelekea walipelekewa upupu. Sasa latest ni kuwa leo Bwana Kimei keshapokea barua toka kwa Bodi ya CRDB ambayo imeitisha kikao maalum cha dharura ili kujua impact ya hili sakata. Hapo bado kuna ile issue nyingine ya CRDB kula hasara isiyo na kifani ambayo bwana kimei aliomba bodi impe nafasi ya mwisho kuiturn around

tafuteni copy ya citizen la jana

Kama kweli hili limefanyika, nitashukuru na kuamini kuwa kweli bado kuna responsible Board of Directors. Nadhani, kama mkurugenzi kwenye kampuni ya "umma" asingekubali kujihusisha na masuala ya siasa kwani naamini kuna wateja wengi wa benki (mimi nikiwa mmoja wapo)wanakwazwa na uwepo wake kwenye mchakato wa kuchangisha pesa kwa ajiri ya chama cha siasa.
 
Kisheria Dr Kimei ana haki ya kushiriki katika shughuli za kisiasa na katiba ina mruhusu kwa vile hajavunja sheria.

Dr Kimei anashiriki kama yeye binafsi si kama CEO wa CRDB na shughuli hiyo ni kwa ajili ya maendeleo ya jimbo lake.

Nadhani kama suala ni la kimaadili basi nafikiri mawakili wa mahakama kuu hawakupaswa kujihusisha na siasa moja kwa moja
 
kumbe wanajamii mmesahau fedha za Epa ziliibiwa kupitia Bank gani CRDB.. Mnesahau kuwa hata CCM and serikali nao pia ni wezi kwani maofisi mengi ya serikali wanatumia CRDB badala ya NBC au NMB!!! Mfano TRA.....

huyu jamaa ni mwizi mtekelezaji mzuri wa wizi wa hela za serikali na nilazima afanye kazi ipasavyo kwani na yeye amefaidika na alifadika kwenye mgao....

Dr. Slaa atamaliza hili suala kwa uwazi na ukweli....
 
Back
Top Bottom