Dkt. Kimei amshukuru Rais Samia miradi ya maendeleo Vunjo

MTANZANIA620

Member
Jun 20, 2023
34
30
Mbunge wa jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Kimei ambaye ni mkurugenzi mtendaji mstaafu wa benki ya CRDB aliyeipa benki hiyo mafanikio makubwa sana amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kulipa jimbo analoliwakilisha miradi lukuki ya maendeleo kuliko wakati mwingine wowote.

Dkt Kimei amesema Rais Samia ameonesha umahiri mkubwa katika kutafuta, kupanga na kusimamia fedha za maendeleo kwa kuzingatia vipaumbele vinavyowagusa wananchi walio wengi moja kwa moja.

Akiitaja miradi hiyo Dkt Kimei amesema;

1. Ujenzi wa shule mpya ya sekondari Njiapanda kata ya Njiapanda shilingi takribani milioni 700

2. Mradi Mkubwa wa maji wa shilingi bilioni 2.3 kutoka chemchem ya Miwaleni kwenda kata ya Njiapanda ambao umekamilika na unatoa huduma

3. Ujenzi wa zahanati ya Kilototoni kata ya Njiapanda ambayo imekamilika na inatoa huduma

4. Ukamilishaji na ukarabati wa zahanati za Mabungo, Leghomulo, Matala, Kochakindo na Kisao kila moja milioni 50 isipokuwa Kisao.

5. Ujenzi na upanuzi wa vituo vya afya Marangu Hedikota, Kirua Vunjo na Kahe kila moja shilingi milioni 500

6. Mradi mkubwa wa maji wa vijiji 11 vya kata za Marangu Magharibi (Vijiji 7) na Marangu Mashariki (vijiji 4)

7. Ukarabati wa shule 26 za msingi kupitia shirika rafiki la Help Up toka nchini Israel kwa wastani wa shilingi milioni 25-30 kwa kila shule. Baadhi ya shule hizo ni Himo, Korona, Makuyuni, Saghana, Matala, Maweni, Lyasongoro, Ashira, Kiterini, Kimbogho, Samanga, Ghona, Mabiranga, Dr Shein, Njiapanda nk

8. Ujenzi wa madarasa shule za msingi Mulo (madarasa 7), Msufini (madarasa 6), Mrumeni (Madarasa 3) nk

9. Ujenzi wa shule ya msingi mpya kata ya Njiapanda inayojengwa eneo la Muungano sekondari

10. Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Kilema-Mandaka, Himo-Sokoni na Lyamwombi kwenda Lombeta

11. Mradi wa maji kata ya Mwika Kaskazini shilingi bilioni 1.7 na Mwika Kusini shilingi milioni 860

12. Mradi wa umeme wa REA kwenye visima vya maji kama vile Ghona, Soko na Kyomu walimzawadia kata ya Kahe Mashariki pamoja na Kisangesangeni, Mawala, Mikocheni kata ya Kahe

13. Mradi wa umeme wa REA Masia (Yamu), Mawala (Kahe), Mawanda nk

Ama kweli CCM, Kimei na Samia tuwape
maua yao wanafanya kazi nzuri sana, wanastahili kuendelea kuwaamini na kuwasemea ili waendee kuungwa mkono

#KimeiSalutiKwako #SamiaSalutiKwako
 
Huyu mpaka leo hajalamba uteuzi, basi ajiandae kupumzika na kucheza na wajukuu.
 
Mbunge wa jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Kimei ambaye ni mkurugenzi mtendaji mstaafu wa benki ya CRDB aliyeipa benki hiyo mafanikio makubwa sana amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kulipa jimbo analoliwakilisha miradi lukuki ya maendeleo kuliko wakati mwingine wowote.

Dkt Kimei amesema Rais Samia ameonesha umahiri mkubwa katika kutafuta, kupanga na kusimamia fedha za maendeleo kwa kuzingatia vipaumbele vinavyowagusa wananchi walio wengi moja kwa moja.

Akiitaja miradi hiyo Dkt Kimei amesema;

1. Ujenzi wa shule mpya ya sekondari Njiapanda kata ya Njiapanda shilingi takribani milioni 700

2. Mradi Mkubwa wa maji wa shilingi bilioni 2.3 kutoka chemchem ya Miwaleni kwenda kata ya Njiapanda ambao umekamilika na unatoa huduma

3. Ujenzi wa zahanati ya Kilototoni kata ya Njiapanda ambayo imekamilika na inatoa huduma

4. Ukamilishaji na ukarabati wa zahanati za Mabungo, Leghomulo, Matala, Kochakindo na Kisao kila moja milioni 50 isipokuwa Kisao.

5. Ujenzi na upanuzi wa vituo vya afya Marangu Hedikota, Kirua Vunjo na Kahe kila moja shilingi milioni 500

6. Mradi mkubwa wa maji wa vijiji 11 vya kata za Marangu Magharibi (Vijiji 7) na Marangu Mashariki (vijiji 4)

7. Ukarabati wa shule 26 za msingi kupitia shirika rafiki la Help Up toka nchini Israel kwa wastani wa shilingi milioni 25-30 kwa kila shule. Baadhi ya shule hizo ni Himo, Korona, Makuyuni, Saghana, Matala, Maweni, Lyasongoro, Ashira, Kiterini, Kimbogho, Samanga, Ghona, Mabiranga, Dr Shein, Njiapanda nk

8. Ujenzi wa madarasa shule za msingi Mulo (madarasa 7), Msufini (madarasa 6), Mrumeni (Madarasa 3) nk

9. Ujenzi wa shule ya msingi mpya kata ya Njiapanda inayojengwa eneo la Muungano sekondari

10. Ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Kilema-Mandaka, Himo-Sokoni na Lyamwombi kwenda Lombeta

11. Mradi wa maji kata ya Mwika Kaskazini shilingi bilioni 1.7 na Mwika Kusini shilingi milioni 860

12. Mradi wa umeme wa REA kwenye visima vya maji kama vile Ghona, Soko na Kyomu walimzawadia kata ya Kahe Mashariki pamoja na Kisangesangeni, Mawala, Mikocheni kata ya Kahe

13. Mradi wa umeme wa REA Masia (Yamu), Mawala (Kahe), Mawanda nk

Ama kweli CCM, Kimei na Samia tuwape
maua yao wanafanya kazi nzuri sana, wanastahili kuendelea kuwaamini na kuwasemea ili waendee kuungwa mkono

#KimeiSalutiKwako #SamiaSalutiKwako
Bladifakem Kimei, takataka jitu zima na PhD eti linamshukuru samia , samia ana pesa za kujenga miradi? Stupid
 
Mbunge wa jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ametoa ahadi ya kugharamia mahitaji yote kwa wanafunzi watakaofaulu kwa daraja la kwanza na pili na kupangwa kuendelea na masomo ya kidato cha 5&6 huku akiahidi kuikabidhi shule ya sekondari Himo printer na photocopy machine.

Wananchi walio wengi walifurahishwa na juhudi zake katika kuunga mkono elimu kwani ni miaka takribani mitatu amefanikisha ukarabati wa shule chakavu za msingi takribani 26 katika jimbo hilo kwa wastani wa shilingi milioni 750.

Rekodi ya utendaji wa matokeo ameihamishia Jimboni baada ya utumishi wake wa miaka takribani 20 katika benki ya CRDB
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ametekeleza ahadi yake ya kujenga kivuko kinachounganisha vijiji vya Lekura na Mkolowony kata ya Mamba Kusini kinachogharimu shilingi milioni nane kama alivyoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Pongezi kwa kamati ya Maendeleo ya kata ya Mamba Kusini ikiongozwa na diwani wa kata hiyo Mheshimiwa Elirehema Tesha kwa uratibu na usimamizi wa mradi.

Kazi hiyo inatarajiwa kukamilika kabla ya mwisho wa mwezi huu wa kumi. Kukamilika kwa kivuko hiki kutakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa vijiji hivyo.

#SiasaNiMaendeleo #MaendeleoKwaVitendo #KaziIendelee
IMG-20231014-WA0006.jpg
IMG-20231014-WA0007.jpg
IMG-20231014-WA0005.jpg
 
Ujenzi wa shule mpya ya msingi katika eneo la Muungano sekondari inakwenda kuwanufaisha wananchi wa maeneo ya Darajani na Faru kata ya Njiapanda ambao watoto wao wanatembea umbali mrefu kufuata shule hali iliyokuwa hatarishi kwa usalama wao hali iliyolazimu wazazi/walezi kupangiana ratiba za kuwapelekea watoto shule na kuwapokea na baadhi kugharamia usafiri wa bodaboda kuwapeleka na kuwarejesha watokapo shule.

Kwa nyakati tofauti wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020 Wananchi walieleza uhitaji wa shule ya msingi katika eneo hilo na waliokuwa wagombea wa CCM katika nafasi ya udiwani na ubunge wakati huo Mheshimiwa Loveness Mfinanga pamoja na Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei waliahidi kuipokea changamoto hiyo na kuitafutia utatuzi.

Miaka takribani mitatu tangu uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais kufanyika ahadi hiyo inatekelezwa na Januari 2024 itapokea wanafunzi. Ukiona vyaelea jua vimeundwa, Tunamshukuru Rais wetu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa serikali anayoiongoza kwa kuendelea na utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM kwa kishindo.

Hakika haya ni maendeleo kwa vitendo!

#SiasaNiMaendeleo #MaendeleoKwaVitendo #KaziIendeleeView attachment 2782060View attachment 2782061View attachment 2782063View attachment 2782062

IMG-20231013-WA0042.jpg
 
Kupata kicgekesho kingine cha kimei, tunabonyeza namba ngapi🤣😂??
 
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei ametekeleza ahadi yake ya kujenga kivuko kinachounganisha vijiji vya Lekura na Mkolowony kata ya Mamba Kusini kinachogharimu shilingi milioni nane kama alivyoahidi wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020.

Pongezi kwa kamati ya Maendeleo ya kata ya Mamba Kusini ikiongozwa na diwani wa kata hiyo Mheshimiwa Elirehema Tesha kwa uratibu na usimamizi wa mradi.

Kazi hiyo inatarajiwa kukamilika kabla ya mwisho wa mwezi huu wa kumi. Kukamilika kwa kivuko hiki kutakuwa msaada mkubwa kwa wananchi wa vijiji hivyo.

#SiasaNiMaendeleo #MaendeleoKwaVitendo #KaziIendeleeView attachment 2782052View attachment 2782053View attachment 2782055
Amepima upepo kwa kukutuma uje uki trendishe, sasa kwa comments hizi za wadau, lazima aiteshe press ya kukikataa😃😃
 
Tunamkaribisha sana Matala Sekondari kuna maabara imekwama pale imeishia kwenye msingi tangu mwaka 2014 pia kuna tofali zaidi ya 2000 zinaozea pale tu muheshimiwa Mbunge hakuna kinachoendelea karibu sana ukwamue iyo mahabara

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kimei hajui majukumu ya mbunge. Mbunge siyo mfadhili.

Mbunge ni muwakilishi wa wananchi ktk kikao cha taifa kinachojdili
*mipango ya taifa,
*mgawanyo wa keki ya taifa
*mjadala juu ya matumizi ya Kodi inayokusanywa.
*na kutunga sheria
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom