toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 282
hata uchaguziii ukirudiwa ccm.....itashinda tena uchaguzi igunga na tutatumia propaganda zifuatazo
1.chadema ni chama cha udini
2.chadema chama kimejaaa ukabila
3.chadema wanahusika na mafuriko ya dar
4.viti maalumu.....vya kikukoooooooo
so lazima wanachi watatuelewaaaaaaa
1.chadema ni chama cha udini
2.chadema chama kimejaaa ukabila
3.chadema wanahusika na mafuriko ya dar
4.viti maalumu.....vya kikukoooooooo
so lazima wanachi watatuelewaaaaaaa