MCHUMIA NCHI
Member
- Nov 22, 2011
- 96
- 9
Post zako zimekaa ki..nge..se na inavyo onyeshe wewe utakua ga sh..o,tunazungumzia issue ya Dr Dau na viwanja kule Mafia,watu wanakueleza ukweli kua Dr Dau ni mdini wewe unaleta story za CHADEMA,Kua na MAJITU ya type yako humu JF ni tatizo kubwa sana.Dr Dau ni mtu makini sana na mchapakazi.Tatizo ninaloliona ni kwa baadhi ya watu kuwaandama viongozi waislam hasa wale wachapakazi bila hoja za msingi.Sijasikia mtu akilaumu uchapaji kazi wa Dr Dau zaidi ya hoja butu ati ni mdini.Dau ameongoza NSSF kwa mafanikio makubwa sana na naona watu wa aina yake kama yule wa NHC ndio wa kuwapa nchi.Maana tayari kuna kitu tangible wamefanya na tumekiona.sio tunashabikia MAHABUSU kila kukicha wale wa CDM ati CV zao wamejitoa mhanga kuwa wajelajela.upuuzi huu ndg zangu ktk imani ya ujamaa.