<br />
<br />
Du...you don't know half this woman. Huyu Mama ni injini ya uendeshaji na menejimenti pale UN, nguzo kuu ya KM wa Umoja wa Mataifa..
Msemeni yooooote, lakini jambo moja ni dhahiri, Dr Migiro ni Kati ya viongozi makini sana ambao taifa letu limejaaliwa. Unlike many politicians we know and adore, she is not a populist leader, she is Conscientious with high level of integrity, reliability and tenacity. Kwa waliofanya naye kazi wizara ya Maendeleo ya Jamii na Foreign wanaweza ku testify hayo ninayoyasema.....wababaishaji wengi, wenye kupenda kufanya kazi kwa mazoea ( lazy fare and business as usual attitude) walimchukia sku zote kwasababu hana uvumilivu na element hizo.....kwenye administration yake mediocrity haina
Hakuna haki ya kutathimini maneno ya mtu mwingine tathmini maneno yako mwenyewe unless yanakuhusu wewe au omba ufafanuliwe. Mkuu unasoma ujumbe gani nawakilisha au unachunguza Mkandara kasema kitu gani na kutafuta makosa!..Tukubaliane kutokubaliana.. Nimesema Macho madogo.. nawe umeona labda ni tusi na kudhalilisha, sasa nambie nikisema macho makubwa ndio inakuwa sifa au? Na nani alotathinisha udhalilishaji huo! Acha tabia ya kujisikia mdogo mkuu wangu tuzame ktk mada ilotuleta hapa...Hakuchagulii mtu maneno ya kutumia, lakini haki ile ile inayokuruhusu wewe kusema utakacho iwe tusi au si tusi, ndio ile ile inayoniruhusu mimi kutathmini na kusema kuwa ni tusi, udhalilishaji au vyenginevyo
Kwa hiyo endelea na uhuru huo nami naendelea na wangu, haijalishi kama itaonekana ni kujishusha, kwa kuwa naamini huwezi kujishusha zaidi ya kisingizio cha Utanzania kuhalalisha dharau au tusi
Hakuna haki ya kutathimini maneno ya mtu mwingine tathmini maneno yako mwenyewe unless yanakuhusu wewe au omba ufafanuliwe. Mkuu unasoma ujumbe gani nawakilisha au unachunguza Mkandara kasema kitu gani na kutafuta makosa!..Tukubaliane kutokubaliana.. Nimesema Macho madogo.. nawe umeona labda ni tusi na kudhalilisha, sasa nambie nikisema macho makubwa ndio inakuwa sifa au? Na nani alotathinisha udhalilishaji huo! Acha tabia ya kujisikia mdogo mkuu wangu tuzame ktk mada ilotuleta hapa...
.. kama wewe hujadili majina na titles za watu! inshangaza kuona huna dalili hata chembe ya hatari inayoinyemelea tanzania! ungejua wala akili isingekutuma kuuliza habari za migiro na urais hapa!!
<br /><br /><br />
<br /><br />
c ndo maana akaitwa asha! Alibadili dini na kumfuata mumewe
Kabla sijasoma hata posts za wadau wengine humu ndani,, nataka tu niseme kwamba kama CCM WAKIMSIMAMISHA HUYU MAMA, basi Dr. Slaa njia nyeupe kabisa. Yaani bora ya Lowassa kuliko huyu,, TZ hii si nchi ya kuongozwa na mwanamke,, tumeshafika mahali pa kumtafuta dikteta awe kiongozi wetu,, huyu mama anaweza kuwa mzuri lakini si kwa wakati huu. Labda wampe uwaziri mkuu
kinachmfanya kila siku aje bongo ni nini?any way tuacheni kupiga kampen mda bado!ila kwa hakika watanzani wanahitaji elimu ya uraia.hasa daresalam ambako kuna wabunge wawili tu,Mdee & Mnyika na ni mjini bush vipi???
Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.
If this is true then CHADEMMA kwishneei 2015
<br />
<br />
asha hajabadili dini, walifunga ndoa ya serikalini, yeye anaitwa Asha rose shabani mtembei.
Sio kawaida yetu kubandika hapa mambo ambayo ni tetesi.Leo naomba iwe siku tofauti kwani zipo tetesi zingine ambazo zinakuwa interesting kupita kiasi at least kwetu.Kuna tetesi kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr. Asha Rose Migiro,huenda akajitupa katika kinyanganyiro cha kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.
If this is true then CHADEMMA kwishneei 2015