Migiro: another JK on the move
Na pia huwezi kumpa mtu sifa ya Kutawala kwa sababu ni mwanamke.
.
Kisha huwezi kutupa nchi hata moja ilofanikiwa kwa sababu kiongozi wake ni mwanamke, nadhani hapa ndipo tunapokosea kupinga kitu, kisha ukatumia sababu hizo hizo kupitisha kingine. Asha Rose Migiro hana sifa yoyote ya Uongozi zaidi ya kuwa ametengenezwa na kujulikana sana toka ujio wa JK na alikuwa mtu wa karibu...
<br />anavyolegea vile, atatusaidia nini watz? kama wanataka waangukie pua, wamlete huyo ******. kwa habari ya udini, sidhani kama adha rose mingiro ni mwislam, nilikuwa najua ni mkristo...kama kuna mwenye fununu atuelezee vizuri.
<br />
<br />
c ndo maana akaitwa asha! Alibadili dini na kumfuata mumewe
Naomba niulize, hivi miaka 50 ya kutawaliwa na wanaume kwa maana ya kujitawala, na miaka 100 ya kutawaliwa na wanaume kwa maana ya tukijumlisha na enzi za ukoloni kuna jambo gani kubwa sana la kuonesha?<br />
<br />
Hivi watu mnajua kuwa mwaka 1961, sisi Tanzania, South Korea, Singapore, Dubai, Malaysia tulikua ni nchi zinazofanana kiuchumi. Hao wanaume wamefanya nini kwa kipindi chote hicho cha miaka 50 mpaka wenzetu wakapaa kiuchumi, sisi tumebaki tunamark time tu?... Binafsi simkwani hao uliotaja walichagua wanawake ndo wakaendelea? Acheni mambo yenu ya ajabu ya kujifanya mnatolea mfano nchi zingine wakati ni wezi wenzenu mnaowapigia chapuo ndo wanaoturudisha nyuma..****** mmeshathibitisha kashindwa mmeanza kuleta uanamke! Tafuteni point zenye akili..hivi watu mliopo magamba mna cp nn?
[QUOTE kwani hao uliotaja walichagua wanawake ndo wakaendelea? Acheni mambo yenu ya ajabu ya kujifanya mnatolea mfano nchi zingine wakati ni wezi wenzenu mnaowapigia chapuo ndo wanaoturudisha nyuma..****** mmeshathibitisha kashindwa mmeanza kuleta uanamke! Tafuteni point zenye akili..hivi watu mliopo magamba mna cp nn?
Asha Migiro is still a neophyte in African politics.
<br />Hizi ni zaidi ya tetesi. Kwa sasa hivi wakubwa wanajipanga vilivyo, na UWT ndio wataongoza msafara wa kumnadi mara kipengele kitapopulizwa. Kuna kitu ambacho bado hakijakaa sawa, huyu mwanamama anapiganiwa na kambi zote mbili yaani kambi ya EL inamtaka na kambi ya mkuu wa kaya nayo inamtaka. Na wote wamewekeza kwenye kisingizio cha JINSIA yake. <br />
<br />
Kwangu mimi maswali ni haya; kwa jinsi ufisadi umeitafuna Tanzania na kulifanya taifa hili kuwa omba omba na kopa kopa, je Dr Migiro ndio jibu? Huyu mama kwa record tuliyonayo wakati akiwa waziri hapa, ana ubavu wa kupambana na matatizo tuliyonayo? Ana mshipa wa kufanya maamuzi magumu hata ndani ya chama chake let alone kwa nchi?<br />
<br />
Tunauziwa mbuzi kwenye gunia?
<br />Wamnadi wamuuze wampige bei,sisi hatujui hilo swala ni sisi wapiga kura ndio tutaamua,hatuangalii wanopokezana kijiti,kwa nia ya kulindana,ni afadhali wangemuandaa Magufuli kidogo ingeleta picha.
<br />Tunataka rais mwenye msimamo hasa katika kufanya maamuzi magumu..huyo mwanamke atatuletea giza kama Makinda...
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Du...you don't know half this woman. Huyu Mama ni injini ya uendeshaji na menejimenti pale UN, nguzo kuu ya KM wa Umoja wa Mataifa..<br />
<br />
Msemeni yooooote, lakini jambo moja ni dhahiri, Dr Migiro ni Kati ya viongozi makini sana ambao taifa letu limejaaliwa. Unlike many politicians we know and adore, she is not a populist leader, she is Conscientious with high level of integrity, reliability and tenacity. Kwa waliofanya naye kazi wizara ya Maendeleo ya Jamii na Foreign wanaweza ku testify hayo ninayoyasema.....wababaishaji wengi, wenye kupenda kufanya kazi kwa mazoea ( lazy fare and business as usual attitude) walimchukia sku zote kwasababu hana uvumilivu na element hizo.....kwenye administration yake mediocrity haina
She may be all that and more. But what worries some of us is her closeness to Kikwete. After Kikwete we do not want a Kikwete clone in the state house.<br />
<br />
Du...you don't know half this woman. Huyu Mama ni injini ya uendeshaji na menejimenti pale UN, nguzo kuu ya KM wa Umoja wa Mataifa..
Msemeni yooooote, lakini jambo moja ni dhahiri, Dr Migiro ni Kati ya viongozi makini sana ambao taifa letu limejaaliwa. Unlike many politicians we know and adore, she is not a populist leader, she is Conscientious with high level of integrity, reliability and tenacity. Kwa waliofanya naye kazi wizara ya Maendeleo ya Jamii na Foreign wanaweza ku testify hayo ninayoyasema.....wababaishaji wengi, wenye kupenda kufanya kazi kwa mazoea ( lazy fare and business as usual attitude) walimchukia sku zote kwasababu hana uvumilivu na element hizo.....kwenye administration yake mediocrity haina
Uzoefu gani? Hebu tueleze. Nakumbuka wakati Kikwete anagombea alipambwa sana kwenye magazeti kuwa amekomaa kisiasa. Tumeona ushahidi wa kukomaa kwake. Tusirudie makosa.Huyu mama anafaa sana kuwa Rais. Ana uzoefu mkubwa kuliko viongozi wengi wa sasa hivi TZ. Halafu siyo Fisadi. Hapa naona utapata kiongozi mwenye sifa.
Worse than *kwere. Wakifafanya kosa la kumpitisha Migiro, litakuwa ni bao la kisigino. Sisi ye2 macho, tusubiri wamlete huyo mwanamke tumchane chane tumtupe tumkumbatie na kumpa 5 Slaa our president.