Hapo umenenaFanyeni kazi U-rais bado.
Hapo umenenaFanyeni kazi U-rais bado.
Kwenye bold kweli mmejipanga kama mtoa hoja alivyosema(sio kawaida yenu), lakini ni ndoto kusema eti kambi mbili za mahasimu zinamkubali hiyo labda jaribu kuja vingine tifu tifu lenyewe bado ndiyo linatoa vumbi wewe unakuja na conclusion hapana.Hizi ni zaidi ya tetesi. Kwa sasa hivi wakubwa wanajipanga vilivyo, na UWT ndio wataongoza msafara wa kumnadi mara kipengele kitapopulizwa. Kuna kitu ambacho bado hakijakaa sawa, huyu mwanamama anapiganiwa na kambi zote mbili yaani kambi ya EL inamtaka na kambi ya mkuu wa kaya nayo inamtaka. Na wote wamewekeza kwenye kisingizio cha JINSIA yake.
Kwangu mimi maswali ni haya; kwa jinsi ufisadi umeitafuna Tanzania na kulifanya taifa hili kuwa omba omba na kopa kopa, je Dr Migiro ndio jibu? Huyu mama kwa record tuliyonayo wakati akiwa waziri hapa, ana ubavu wa kupambana na matatizo tuliyonayo? Ana mshipa wa kufanya maamuzi magumu hata ndani ya chama chake let alone kwa nchi?
Tunauziwa mbuzi kwenye gunia?
<br />Tanzania hatujawa na Indira Gandhi, hatuna Margaret Thatcher, hatuna Elen Sirleaf. Bado!
Hasa sisi wanawake(samahani) 'siwezi kuongozwa na mwanamke mwenzangu'(inferiority complex) hiyo mentality bado ipo sana wasiidharau.<br />
<br />
Watanzania hatutakubali kutawaliwa na kimada wa fulani. Inatosha
<br />Mingiro hatashinda believe me or not nafikiri hamjui tabia za wanawake hasa wa kitanzania atazikosa kura zao usiniulize kwanini.
wewe zezeta ungejua wala usingeandika hizi pumba zako hapa. Huo udini wa Kikwete ni upi? au wewe ndo mdini? sidhani huyo JK kama hata hizo swala 5 anazifuta. Ila sema tu kwa sababu ni muislam basi ni mdini. Ama kweli wewe ni Bwe.ge.Kwa mtu makini atabaini hizo jitihada za chini chini za kum-promote Dr. Migiro. Kama alivyosema mwandishi mmoja wa makala wa gazet la Raia Mwema, huyu mama mkwele atamnadi kwa gear ya 'sasa ni zamu ya akina mama' lakini nia iliyofichika ambayo watanzania wengi bado hawajaibaini ni 'udini'. Mkwele nimesoma nae namjua sana kuhusu eneo hili. Ngoja tusubiri tuone mambo.
Tusijidanganye mda haujafika kwa Tanzania kuongozwa na RAIS MWANAMKE TENA WA CCM, USPIKA UMETUSHINDA URAIS TUTAUWEZA?? LABDA UMAKAMU WA RAIS TN AWE ANATOKA UPINZANI.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Si tu atazikosa kura za wanawake,bali hata za wanaume kwani maeneo mengi ya vijijini kuna nguvu kubwa ya mfumo dume!
Karibu Migiro tutakupa wizara mpya ya kuboresha maendeleo ya wanawake!Sio kawaida yetu kubandika hapa mambo ambayo ni tetesi.Leo naomba iwe siku tofauti kwani zipo tetesi zingine ambazo zinakuwa interesting kupita kiasi at least kwetu.Kuna tetesi kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr. Asha Rose Migiro,huenda akajitupa katika kinyanganyiro cha kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.
If this is true then CHADEMMA kwishneei 2015
Sio kawaida yetu kubandika hapa mambo ambayo ni tetesi.Leo naomba iwe siku tofauti kwani zipo tetesi zingine ambazo zinakuwa "interesting" kupita kiasi…at least kwetu.Kuna tetesi kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr. Asha Rose Migiro,huenda akajitupa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande
wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.
If this is true then CHADEMMA kwishneei 2015
Mingiro hatashinda believe me or not nafikiri hamjui tabia za wanawake hasa wa kitanzania atazikosa kura zao usiniulize kwanini.
<br />Mingiro hatashinda believe me or not nafikiri hamjui tabia za wanawake hasa wa kitanzania atazikosa kura zao usiniulize kwanini.