Sio kawaida yetu kubandika hapa mambo ambayo ni tetesi. Leo naomba iwe siku tofauti kwani zipo tetesi zingine ambazo zinakuwa "interesting" kupita kiasi at least kwetu. Kuna tetesi kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr. Asha Rose Migiro huenda akajitupa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015.
Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.
If this is true then CHADEMA kwishneei 2015
Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.
If this is true then CHADEMA kwishneei 2015