Dr. Asha Rose Migiro: The next president?

Hivi huyu Rose hata Ubunge anaweza...!? Hivi ni mbunge wa jimbo au kuteuliwa...!!? Maana ni makapi kabisa...!!!
 
Mtake msitake, hii nchi kuongozwa na mwanamke BADO sana. Yaani BADO! Hamna bifu hapa, ila masuala nyeti hawa viumbe hawawezi.
Migiro anappteza muda.
Rais wa kwanza kwa kike hapa Tz bibi na babu zake bado hawajazaliwa.
 
no thanks we don't want women to bee prezdaa by this tym we have many things to run away dola sasa yaelekea 2500 try next tym
 
Mtake msitake, hii nchi kupngozwa ma mwanamke BADO sana. Yaani BADO! Hamna bifu hapa, ila masuala nyeti hawa viumbe hawawezi.
Migiro anappteza muda.
Rais wa kwanza kwa kike hapa Tz bibi ma babu zake bado hawajazaliwa.

Hii kitu wamaasai kwao ni dharau kubwa sana.
 
Unaposema mda umefka wa kuongozwa na mwanmke unamaanisha nn? hakna kitu kama hicho hao ni wasaidiz tu na sio kuongoza!
 
Sio kawaida yetu kubandika hapa mambo ambayo ni tetesi.Leo naomba iwe siku tofauti kwani zipo tetesi zingine ambazo zinakuwa “interesting” kupita kiasi…at least kwetu.Kuna tetesi kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr. Asha Rose Migiro,huenda akajitupa katika kinyang’anyiro cha kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.

If this is true then CHADEMMA kwishneei 2015

EASY TO BE REMOTED "" na le family that was the most wanted matter to celebrate forever ever""
 
Sito shangaa kama ccm kumchagua huyo mama kwa zengwe kama la mama makinda, lakini rais wa nchi ni Dr slaa
 
Watanzania hatujali kama Raisi ni mwanamme au mwanamke,tunachojali ni mtu anaweza ku-deliver.Kama ni mwanamke au mwanamme ni concern ya wale wenye interest ya uume au uke,na tunawajua!
Sio kawaida yetu kubandika hapa mambo ambayo ni tetesi. Leo naomba iwe siku tofauti kwani zipo tetesi zingine ambazo zinakuwa “interesting” kupita kiasi at least kwetu. Kuna tetesi kwamba Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr. Asha Rose Migiro huenda akajitupa katika kinyang’anyiro cha kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi wa mwaka 2015.

Tetesi hizo zinatiliwa utambi na kinachoonekana wazi kwamba huenda sasa muda umefika kwa Tanzania kupata Rais mwanamke kwani upande wa kiumeni umeonyesha ulichoweza kwa miaka takribani 50 sasa tangu Uhuru.

If this is true then CHADEMA kwishneei 2015
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom