DPP epuka kushitaki ovyo kesi za Uhaini na Ugaidi Kisiasa, Waharifu wanaweza kutumia mwanya huo kuyatenda kweli

DPP epuka kushitaki ovyo kesi za Uhaini na Ugaidi Kisiasa, Waharifu wanaweza kutumia mwanya huo kuyatenda kweli

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,773
Reaction score
35,992
DPP nakuonya mno Kwa uzalendo wangu na ujuzi wangu kidogo kwenye mambo ya usalama

Kumezuka tabia ya kushitaki ovyo mahakamani haya makesi ya Uhaini na Ugaidi na kuutangaza kwenye media ili hali ni mambo ya Kisiasa na yapo wazi hivo

Haya matendo ni mabaya mno hakuna nchi inayataka hata kuyasikia

DPP hekima ukiongeze, najua unafanya hivi ili kuwafurahisha mafisadi na wahuni tu

Leo nimeona umepeleka majalada 145 ya kesi za uhaini na ugaidi, Kwa takwimu inasemekana Kuna kesi zaidi ya 200 za ugaidi.
Kwamba TANZANIA ina magaidi 200+

Yaani Leo unamshitaki mrembo Niffer kama gaidi? Hivi siku ukikutana na gaidi kweli itakuwaje
Ati Niffer ni mhaini, hivi Niffer Kwa akili ya kawaida anaweza kupindua serikali?

Mmeshitaki Lissu na Heche Kwa makosa kama hayo mkijua ni mambo ya Kisiasa tu

Hapa hao magaidi wanaweza wakatumia mwanya huo kuja kudhuru Watanganyika na kuwauwa na mkapata kesi za uhaini na ugaidi kweli sio hizi za kupika

Mnashindwa hata kumbambikia kesi zinazoendana kama Robbery

DPP acha huo mchezo wa kipumbavu
Usitumie siasa kucheza na masuala ya usalama wa TANZANIA

TANZANIA hapa ni nyumbani kwetu sote
 
Wanafikiri yanayotokea kwenye nchi zingine hayawezekani kutokea hapa. Haya maandamano yamenifundisha mambo mengi sana.

Nimejifunza Tanzania hatuna jeshi, ni nchi ambayo inaweza kuvamiwa kirahisi kabisa

Nimejifunza wengi wa wanaoitwa waasi au magaidi, ni propaganda tu zinatumika kuwachafua. Kimsingi wale jamaa wengi wao wanapigania haki baada ya uvumilivu kufika kikomo.
 
DPP nakuonya mno Kwa uzalendo wangu na ujuzi wangu kidogo kwenye mambo ya usalama

Kumezuka tabia ya kushitaki ovyo mahakamani haya makesi ya Uhaini na Ugaidi na kuutangaza kwenye media ili hali ni mambo ya Kisiasa na yapo wazi hivo

Haya matendo ni mabaya mno hakuna nchi inayataka hata kuyasikia

DPP hekima ukiongeze, najua unafanya hivi ili kuwafurahisha mafisadi na wahuni tu

Leo nimeona umepeleka majalada 145 ya kesi za uhaini na ugaidi, Kwa takwimu inasemekana Kuna kesi zaidi ya 200 za ugaidi.
Kwamba TANZANIA ina magaidi 200+

Yaani Leo unamshitaki mrembo Niffer kama gaidi? Hivi siku ukikutana na gaidi kweli itakuwaje
Ati Niffer ni mhaini, hivi Niffer Kwa akili ya kawaida anaweza kupindua serikali?

Mmeshitaki Lissu na Heche Kwa makosa kama hayo mkijua ni mambo ya Kisiasa tu

Hapa hao magaidi wanaweza wakatumia mwanya huo kuja kudhuru Watanganyika na kuwauwa na mkapata kesi za uhaini na ugaidi kweli sio hizi za kupika

Mnashindwa hata kumbambikia kesi zinazoendana kama Robbery

DPP acha huo mchezo wa kipumbavu
Usitumie siasa kucheza na masuala ya usalama wa TANZANIA

TANZANIA hapa ni nyumbani kwetu sote
Ngoja sisi tuendelee kutazama
 
Wanafikiri yanayotokea kwenye nchi zingine hayawezekani kutokea hapa. Haya maandamano yamenifundisha mambo mengi sana.

Nimejifunza Tanzania hatuna jeshi, ni nchi ambayo inaweza kuvamiwa kirahisi kabisa

Nimejifunza wengi wa wanaoitwa waasi au magaidi, ni propaganda tu zinatumika kuwachafua. Kimsingi wale jamaa wengi wao wanapigania haki baada ya uvumilivu kufika kikomo.
Umesema kweli mkuu
 
Uhaini na ugaidi vinapigiwa chapuo sana! Kuna kitu sio bure
Wanalenga mashtaka ambayo hayana dhamana ili wawatese watu ambayo ni dhahiri hawajafanya hayo makosa wanayotuhumiwa nayo. Uhaini ni shtaka zito sana kulisikia tu inatisha ndio maana ukiona watuhumiwa wa uhaini huwa ni wanajeshi, lakini hapa kwetu eti muhaini ni niffer ambaye hata bastora hajui inashikwaje
 
Back
Top Bottom