DP World kuanza mchakato wa kuajiri, Wafanyakazi wa TPA wadaiwa kutakiwa kuchagua kwenda DPW au kubaki TPA

Hapo aya ya mwisho ndo umeua kabisa eti kutransfer expert we toka lini Tanzania ikawa na maexpert ..au unazungumzia hawa wazembe na wala rushwa wazee wa ten percent
 
Kama mfanyakazi wa TPA umesoma hadi chuo kikuu, ni bora uhamie DPW maana naamini hata maslahi na uzito wa CV utaongezeka...
 
Baada ya kusitisha mkataba wa ajira na TPA wapo watakaoajiriwa na DP WORLD na wapo watakaoachwa.
 
Kama mfanyakazi wa TPA umesoma hadi chuo kikuu, ni bora uhamie DPW maana naamini hata maslahi na uzito wa CV utaongezeka...
Mkuu kwanza unatakiwa kusitisha mkataba wa ajira na TPA, ndipo DP WORLD waangalie sifa za mfanyakazi wanayemtaka kumuajiri, kwa hiyo unaweza ukasitisha ajira TPA na usiajiriwe DP WORLD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…