Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts
Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti
Unasema JK own DOWANS lete ushahidi
This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu
mzee mwanakijiji kwamwambia majambo THANKS eti kwamba post yake ni useful.Utumbo mtupu.
Na pengine watu hawakumwelewa Dr Slaa,,,Dr alihoji kwamba kwa sababu Mkataba wa Dowans unapitishwa na baraza la mawaziri ambapo kikwete /raisi ni mwenyekiti wake hivyo anapaswa kuwajibika kwa lolote litakalotokea.Na wakati anasimamia maamuzi haya alijua fika kwamba ni hatua za kurithi mkataba feki wa Richmond by yeye akawapa go ahead.
Sijaona mantiki ya kumshambulia Dr wa ukweli Wilbroad Peter Slaa