DOWANS: Slaa ulituongopea!

Unajua slogan ya Jamiiforums ni "Forum for great thinkers". Tatizo la Forum hii sasa kuna hata vihiyo nao wanataka kuwa thinkers! Dr. Slaa kusema Dowans ni ya Kikwete ana maana zaidi ya hiyo. Ni kweli ni ya JK kwa maana bila serikali yake kukubali kampuni ambayo dalili zote ni ya kitapeli ina maana ni "yake". Hao waliotajwa hapo wote ni geresha wenyewe wapo na wanajulikana kma alivyosema Samuel Sitta. Mbona Kagoda ilisemekana ni kampuni ya kina Komuhendo lakini ni ukweli nyuma yao kuna kigogo mmoja? Nini tofauti ya Dowans na Kagoda? Nauliza.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

hivi kwa akili ulitegemea ngeleja ataje jina na kikwete hata kama limo. Una waimu wewe
 
Jamani naomba wanasheria watusaidie katika hili,hakuna jinsi ya kufungua kesi sisi kama wananchi kupinga uamuzi wa serikali kuilipa Dowans?
Coz ni ukweli ulio wazi kwamba hali zetu kiuchumi ni mbaya sana na wakilipa hii pesa si itakuwa balaa zaidi!
 
Wewe chakazwa, unavunja sheria kama hujui kwa ko comment kwako juu ya kesi iliyoko mahakamani, do you want to bias the judges?
Umewahi kusikia hii: Innocent untill proven in the court of law guilty. It is also possible that nyinyi wa chadema ndio mlioingiza hizo kura feki ili ku discredit legality ya uchaguzi.


uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho, subiri wakati wa kesi ya makongoro mahanga wa segerea ndio utaujua ukweli. Ndipo mtakapo sema yale mabox ya karatasi za kura yalidondoka toka mbinguni.
 
jamani mbona na sisi tunashindwa kuelewa hii habari, hakuna majina ya wamiliki yaliyotajwa na Ngereja
hebu tuisome hii habari
" Aidha Ngeleja aliwataja wamiliki wa Dowans Tanzania Ltd, na hisa wanazomiliki katika mabano kuwa ni Dowans Holding S.A ya Costa Rica (81) na Portek Systems and Equipment (PTE) LTd (54)."

hapo juu kawataja wamiliki tu bila kuwataja majina na hapa chini

Aidha Waziri Ngeleja huku akirejea barua ya Wakala wa Usajili wa Kampuni (Brella), aliwataja wakurugenzi na nchi wanazotoka kuwa ni Andrew James Tice (Canada) na Gopalakrishnan Balachandaran (India).

Wakurugenzi wengine kwa mujibu wa Waziri Ngeleja ni Hon Sung Woo (Singapore), Guy Picard (Canada), Sulaiman Al Adawi (Oman) na Stanley Munai (Kenya).


hao walitajwa majina ni wakurugenzi tu na wanaweza kuwa sio wenye hizo campuni
swali linabaki palepale nani ni wamiliki wa Dowans?




Big up nimepende analysis yako
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!
This is how naive Tanzanians are.... noting that you are way back, i mean ancient... far than the farthest i just advice you to read this one as an amusement to you and all yours
I am not scared, and if Invisible and moderators have an ounce of muscle, they can go ahead and ban me for life!

Yes I said it loud, NGELEJA can go and F@c& himself and so are those who he goes in bed with!

Can you believe this bull$hit of telling us tha tunawafahamu owners of Dowans?

The whole contract with Richmond was bogus and now unawadanganya Watanzania kwua you are going to pay Dowans half of the amount declared we should pay them by ICC? Really?

Does the Serikali of Tanzania think everyone is as dumb and stupid as most officials are?

Can they tell us when did the so called owners come to Tanzania to incorporate Dowans at Brela? Which country did these people reside and which Tanzanian embassy did they obtain their Visas from?

Can they show us the faces of these people so we can ask Interpol and other organizations to track them down for us?

Does Ngeleja being the spoke person of Serikali realizes that his admission of knowing these guys or true owners of Dowans is putting our Serikali in jeopardy for future lawsuits?

Who in the Ph@&^*g Serikali came to a conclussion that we can give Watanzania Vitumbua and they will have to eat them penda wasipende?

Yes, I am freakin pissed off and if anyone asks why Mchungaji you are cursing out, I will tell them to join mduara with Ngeleja and p@#& themselves.

Najua wengine ni madaboajenti, kawaambieni mabwana zenu of what I have said and I would simply say bring it on. Kama ya Arusha mnayaona ni trla, basi Sinama nzima na steringi watakuja ule mkao wa bwijampola!

Huu ni wizi wa mchana na ni sawa na mtu kuambiwa bon'goa halafu ukachezewa mchezo mbaya.

I can't believe w=these MOFOs can dare to pull this one, eti hawa ndio wamiliki wa Dowans na tutawalipa hizi shilingi!

I am moving to Mars, where there are no human beings but dust and some funny looking particles and matters that have better mental capacity than Serikali ya Tanzania!
 
nadhani tuwatafute hao watu waliotajwa tuone kama kweli wana exist, napia hizo kampuni kama zipo. Ikiwezekana haulizwe kama wanajua chochote kuhusu DOWANS, maana ile kampuni ya Port nini sijui iliyotajwa, kwenye website yao hakuna neno DOWANS.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!


Ngeleja, jana amewataja wakurugenzi wa Dowans lakini hakutaja wamiliki wake. Wakurugenzi siyo lazima wawe wamiliki. Kwenye umiliki aliyataja makampuni, ambayo nayo hakuwataja wamiliki wake. Serikali kwa kupitia Ngeleja , bado hawajatutajia wamiliki wa Dowans, kwa nini wataje wakurugenzi badala ya kutaja wamiliki?

Dowans walinunua mitambo ya kuzalishia umeme kwa kuchukua mikopo kutoka kwenye mabenki ya hapa nchini (local banks). Hakuna mwekezaji wa nje anayeweza kutoka huko kwao aje akope kwenye mabenki ya ndani ya nchi anayokwenda kuwekeza.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

Slaa anakuonyesha mwanga ama njia hivyo ni jukumu lako kuangalia mambo kwa mapana yake. Matokeo ya kulipa hizo pesa ni kua tunafilisiwa nchi nzima tokana na ufisadi na uwajibikaji duni wa JK na CCM yao. Kwako wewe kulipa hizo pesa ni job well done by JK, TANESCO na serikali ya CCM lakini aliyesababisha hiyo hasara ama hayo madai nani?

JK na CCM yao ni wa kuondolewa mara moja, wameshatufisadi vya kutosha. Tukishalipa hizo pesa halafu inakuwaje? umeme haupo na pesa imeliwa na wajanja wa CCM. Tukilala 2015 watatuletea DOWANS nyingine hawa. Haingii akilini unawatenganisha vipi DOWANS na JK (CCM) ama JK na CCM yao watakwepaje kuwajibika na hili la DOWANS, naamini wananchi tutakula nao sahani moja mpaka CCM ifutwe.
 
Ngeleja, jana amewataja wakurugenzi wa Dowans lakini hakutaja wamiliki wake. Wakurugenzi siyo lazima wawe wamiliki. Kwenye umiliki aliyataja makampuni, ambayo nayo hakuwataja wamiliki wake. Serikali kwa kupitia Ngeleja , bado hawajatutajia wamiliki wa Dowans, kwa nini wataje wakurugenzi badala ya kutaja wamiliki?

Dowans walinunua mitambo ya kuzalishia umeme kwa kuchukua mikopo kutoka kwenye mabenki ya hapa nchini (local banks). Hakuna mwekezaji wa nje anayeweza kutoka huko kwao aje akope kwenye mabenki ya ndani ya nchi anayokwenda kuwekeza.

Haaa wacha bana!!! hiiiiiii
 
Hivi hizi kampuni ambazo zimechukua hela nyingi na zinaenda kulipwa mabilioni ya fedha za tanzania zinaweza kukosa hata website!!!!!!!!maana they are no where to be found......hii ni dalili kuwa hazipo au hazitaki kupatikana........Serikali inatakiwa ijue kuwa hii sio karne ya zamani watu tumesoma na tuna akili ya kufikiri..hawawezi kusema jambo na sie tukalibeba kama lilivyo lazima tulitafutie ukweli.
SERIKALI YA JAMHURI WA TANZANIA TUNAOMBA UKWELI NA SIO KUTUDANGANYA KAMA WATOTO....
 
Am down with ur comments cause its seems haumjui Slaa vizuri. Go back to references na ona mangapi aliyoyasema na Serikali kujitokeza kifua mbele kukanusha na kutoa ushahidi feki kwamba kilchosemwa ni uongo mtupu but at the end serikali imeumbuka. kwa kukusaidia rejea yafuatayo:

1. List of Shame ( Orodha ya Mafisadi)
2. Richmond 1st Scandal
3. Usalama wa taifa kuuingilia chaguzi

na mengine mengi
 
nimemgoogle
Andrew James Tice’s Summary

Award winning senior global banking executive with 25 years’ proven success in international markets. I provide personalized financial services to a small number of transnational families.

At Deutsche Bank I oversaw the trust & fiduciary business for the Middle East & Africa. There I managed a wide variety of fiduciary structures in Mauritius, Guernsey, Singapore and Cayman. I also represented DB’s private banking business on the UAE executive committee.

Prior to Duetsche Bank, I was Managing Director at Royal Bank of Canada Middle East Region. There I led the complete re-engineering of the banks business around three distinct segments. At RBC we formed distribution alliances with four Gulf-based regional banks.

Together with my colleague Laurence Black, we founded the Society of Trust and Estate Practitioners (STEP) Arabia Chapter. During that period we were recognized as the Best Trust Services Provider by Euromoney Magazine in 2004.
Andrew James Tice’s Specialties:

Trusts, Companies & Foundations for Family offices.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

Unashangaza kabisa, Mzee Mkapa alipokuwa anamiliki kiwila na kufanya biashara akiwa IKULU si alikana , na wale wote walioambiwa na serikali kutaja mali zao mbona hawajatekeleza si wanangoja wabadilishe majina, Brela inamilikiwa na nani nigharama gani kuamisha file la wamiliki, hata tarsihi mmjoja anatosha. Computer inaongozwa na watu kuwa na kumbu kumbu hivyo kufuta na kuongeza ni rahis vivyo hivyo hebo!!!
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!

Mkurugenzi wa Brela, EL, Mkurugenzi Usalama wa Taifa, Mkurugenzi EWURA....classmates Mirambo Sec and Best Friends of JK and Rostam. Shut up your f£"&n mouth and stop accusing Slaa. Pumbavu
 
defaule_contect_head.jpg

Mr. gopalakrishnan balachandran javascript:alitalkEncryptNew('8pctgRBMALOzUTmgTfONQBFzC6cZOKdP','1','106850030')G Balachandran



Message: Enter your inquiry details such as product name, color, size, MOQ, FOB, etc.


Enter between 20 to 3,000 characters, English only.

Send
1


Sourcing Products & Suppliers on Alibaba.com
Search Products Enter the product you are looking for in the Search Bar and click Search

Contact Suppliers Click Contact Now to send an inquiry or I'm online, Chat now to chat online

Check Messages Check quotes & messages from suppliers in your email inbox or Message Center

Click here to learn more

Related Products

  • <LI id=tab-supplier class="productCycleTab current">This Supplier
  • This Country

jamun
jamun fresh fruit from Gujarat India



aluminium extrusions scrap
aluminium extrusion 6063 scrap - 200MT either spot or in contract buying.. Please quote origin, CIF, soft copy offer etc.



raw cashew kernels
raw cashew kernels from Tanzania 46 and above 50 out turn




cashew kernel importers
cashew kernels from Tanzania


View more
 
hapo mimi huwa ndio najiulizaga hawa jamaa wa UWT, wapo kwa maslahi ya nani, nadhani hii issue ni sensitive kwa usalama wa taifa, fedha za wanachi haziwezi kutoka hivihivi kwa mambo ya kizushi na ya kutengeneza
sidhani kuwa hawa jamaa wana kazi moja tu ya kumlinda JK na kufatitilia wapinzani nina uhakika kuwa hata hili pili lipo kwao kwa kiasi fulani na wangelishughulikia hili jambo kwa maslahi ya taifa

Nakubaliana nawe kuwa ni issue sensitive kwa usalama wa taifa ndiyo maana serikali inajitahidi kuichukulia kwa tahaddhari ya hali ya juu, maana ikikurupuka kutaja mkondo halisi wa wahusika wa hii dili nchi itakuwa unstable mara moja.
 
Majina ya owners wa Dowans jana yametolewa na sijaona jina la JK kama ilivyodaiwa na Slaa. Slaa kama kiongozi wangu shupavu amenivunja sana moyo. I need a leader I could trust na sio kiongozi mwenye Jazba na anyezungumza bila ya kuwa na facts.......kamushitaki basi kama kasema uongo. Mimi sipendi kiongozi mwizi na muongo. mwizi wa kura!!

Hizi si zama za abuniasi kuambia uwongo ili mradi uandikwe kwenye magazeti vp kiongozi anayechekacheka tu na kuongea blabla

Unasema JK own DOWANS lete ushahidi.....lete ushahidi kama waliotajwa ndio kweli wamiliki. Eleza kwa nini hawakutajwa toka hapo!

This is disgusting na mimi sitaki kuwa na kiongozi ambaye alikuwa ni Mchungaji na mtu wa Mungu..... kwani katiba yetu inasemaje ama unaleta matakwa yako kwenye maslahi ya taifa. Ala kumbe wewe unapenda uongozwe na mtu wa shetani...sasa umempata!

Unless ana ushaidi mwingine so i stand to be corrected lakini majina ya waliotajwa jana sijaona jina la JAKAYA MRISHO KIKWETE!!!!!
............akili na mawazo yako ni potofu sana you cannot be corrected!!

 
Back
Top Bottom