drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
wakuu tangu habari za baba wa loliondo zianze serikali imepata nafuu ya kuandamwa juu ya dowans mana magazeti yote na tv na redio ni babu tu vichwa vya habari mitaani, kwenye daladala kote ni babu akuna anaeongelea ufisadi tena.
au ni mbinu yao kumaliza mada wtu wakija kuzinduka mtaambiwa dowans wallipwa cku nyingi sana awatudai tena tunaipongeza serikali kwa kutatua jambo hili kwa haraka.
au ni mbinu yao kumaliza mada wtu wakija kuzinduka mtaambiwa dowans wallipwa cku nyingi sana awatudai tena tunaipongeza serikali kwa kutatua jambo hili kwa haraka.