Dowans: Another Richmond in making?

Dowans: Another Richmond in making?

Yule mbunge wetu kijana anasemaje sasa!.Kwa kweli ameacha picha mbaya hasa kwenye kambi ya upinzani.
Itakuwa jambo jema kama ataacha siasa kwasababu kuna kila dalili amenaswa katika mtego wa mafisadi pengine kwa kujua au kwa kutokujua.inafaa aelezwe aache kudandia mambo bila kufanya utafiti wa kutosha.Sijui atawaambia nini watanzania waliokuwa wakimwamini kwa kiasi kikubwa kwamba ni mpiganaji mwenzao kumbe ni mganga njaa.

I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.

Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.

Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).
Nimesema hapo awali kuwa kwa kuwa Watanzania wamezoea kuwa na viongozi wala rushwa na waongo, itawachukua muda kukubali viongozi honest. Hata hivyo, muda huo utafika tu.

Hata hivyo, ni vema sana tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wengine. Kwamba leo mtu akiamua usivyotaka kanunuliwa? Je hayo maamuzi mengine hayawezi pia ya kununuliwa? Hapana, nadhani pale ambapo mwingine ana maamuzi tofauti ni vema kuheshimu maamuzi hayo bila kumwita kila aina ya majina mabaya.

Mimi binafsi, ninaamini kabisa kuwa hoja za TANESCO kuhusiana na suala la equipments hizi ni hoja zenye mshiko. Hoja za Kamati ya Nishati na Madini ni hisia za kisiasa.

Sio kweli kuwa TANESCO hawakuja katika kamati na alternatives. Walikuja na alternatives kadhaa na zote tulizijadili.

  1. Walieleza kushindwa kwa Kiwira kuzalisha 50MW mwezi huu na pia 150MW mwezi wa Septemba.
    1. Walieleza mradi wa Kinyerezi wa 240MW kushindwa kuanza kupitia PPP kufuatia wawekezaji kukosekana
      1. Walieleza mradi wa umeme wa upepo Singida kukwama
        1. Walieleza kuhusu mradi wa 300MW wa Mtwara.

          Katika hili mnawalaumu TANESCO bure tu. walitoa altrnative ya Dowans. walisema mbadala ni kununua mtambo mpya lakini walitahadharisha muda kwani mitambo mipya haipo tayari imetengenezwa na kuwekwa katika show room. Huwa inakuwa ordered kwa mtengenezaji na kuundiwa, kisha kufungwa na baadae kuwa commissioned ndio uanze kazi.

          Mwanakijiji alizungumzia umeme wa Zambia. Tunanunua umeme wa Zambia na ndio unatumika Sumbawanga. Umeme huu ni mdogo sana na ubora wake pia ni mdogo. Kimsingi nchi zote za SADC zina tatizo kubwa sana la Umeme isipokuwa (potentialities) Msumbiji, Tanzania na Congo DR.

          Mwanakijiji alizungumzia Stigler's gorge. Huu ni mkakati wa muda mrefu. It takes time kujenga hydro plant. Kule Kigoma wanajenga Malagarasi mini hydro, itachukua miaka 2 (8MW).

          Ni rahisi sana kuzungumza masuala haya lakini realities are different. Ninashauri baada ya mjadala huu wa TANESCO na DOWANS kuwa umekwisha (TANESCO wameumaliza) tuanze mjadala sober kuhusu 'energy sector' in Tanzania. Tuwe proactive na sio reactioneries.

          Power masterplan ipo. Haitekelezeki. Energy policy ipo. Tujadiliane baada ya kadhia hii ili tuone nchi yetu iendaje katika sekta ya Nishati.
    2. 2
 
Wakuu hivi huyo anayeitwa "consultant" aliyehakiki ubora wa mitambo hiyo mbona details zake hazitolewi????????

Hivi mmesahau wakati ule Richmond wanajustfy uwezo wao? Walisema wanashirikiana na Pratt and whitney of which baadaye walipoombwa kutoa uthibitisho walishindwa sasa kwa nini tunasahau kirahisi namna hii. I'm so irritated kuanza kusikia kwamba huyu jamaa sasa anaitwa "consutant" wakati wahusika walisema simply kwamba ni mtaalamu. Au mimmi ndio sifahamu hhivi mtaalamu kwa kiingereza ni conultant?
 
Kasheshe:

kama bodi yake mwenyewe imekataa, hiyo ni professionalism gani unayoongelea?

Kitila,

Bodi ya TANESCO haikukataa. Kamati yetu ilipokutana na TANESCO mwenyekiti wa Bodi alikuwapo na swali hilo liliulizwa na kujibiwa kuwa Bodi haina tatizo.

Tatizo ni kuwa Kamati ya Nishati na Madini iliomba TANESCO wawapeleke wabunge 2 kutoka kamati hiyo kwenda Texas kutafuta mitambo. MD wa TANESCO akakataa.

Brother, suala hili limejaa hisia mno. I know you are a moralist, but objective. Study it more.

Bodi yao ingekataa, kamati yangu isingewasikiliza kabisa.

Tupo kwenye siasa za hatari sana katika Taifa. Hatari mno. I stand to be counted Kitila.
 
Mhe Zitto
Nina maswali mawili:
1. Kwa uelewa mdogo, kamati yako inahusika na usimamizi mahesabu na matumizi ya fedha za Serikali, Haya ya mitambo kamati yako inaingiaje?

2. Nakubaliana na umuhimu wa kununua mitambo ilikuboresha mfumo wa umeme Tanzania, huu uharaka umetoka wapi? Na kwanini mitambo ya Dowans? Unafuu au ubora wake ulishindanishwa na mitambo ipi na lini?

Naomba kutoa hoja.
 
Mheshimiwa Zitto,

Nimekusikiliza sana hoja zako katika suala hili na natambua uelewa wako mkubwa na daima unavyoweka mbele maslahi ya taifa lako.Nafahamu na kuamini kwamba wewe ni mtu safi lakini tunasumbuliwa ni kitu kimoja kikubwa hapa kwamba uamuzi wowote wa kununua mtambo wa Dowans japo utakuwa kwa maslahi ya taifa letu lakini watakaotoka na vicheko ni mafisadi behind Richmond and the so called DOWANS.

Kuna wakati tunapaswa kufanya maamuzi magumu na ya manufaa kwa taifa letu in the long-run japo in the short run tunaweza kuathirika.Nafikiri muda ambao tumeutumia kulumbana tununue au tusinunue toka December 2008 huko tayari miezi mitatu imepita na pengine kama tungekuwa tume-order mtambo ungekuwa almost umeshaundwa.

Tunahitaji kuchukua uamuzi sasa wa ku-order mtambo mara moja,inshallah hali inaweza isiharibike sana mpaka wakati mtambo utapokuwa tayari na kuwa commissioned.

Na ni wakati huo tunaweza kujadili vizuri namna bora ya kujipanga ikiwemo kuunganisha umeme wa Mnazi bay zaidi ya 300MW kwenye grid ya taifa.
 
Mwanakijiji alizungumzia umeme wa Zambia. Tunanunua umeme wa Zambia na ndio unatumika Sumbawanga. Umeme huu ni mdogo sana na ubora wake pia ni mdogo. Kimsingi nchi zote za SADC zina tatizo kubwa sana la Umeme isipokuwa (potentialities) Msumbiji, Tanzania na Congo DR.

Mwanakijiji alizungumzia Stigler's gorge. Huu ni mkakati wa muda mrefu. It takes time kujenga hydro plant. Kule Kigoma wanajenga Malagarasi mini hydro, itachukua miaka 2 (8MW).

Ni rahisi sana kuzungumza masuala haya lakini realities are different. Ninashauri baada ya mjadala huu wa TANESCO na DOWANS kuwa umekwisha (TANESCO wameumaliza) tuanze mjadala sober kuhusu 'energy sector' in Tanzania. Tuwe proactive na sio reactioneries.

Power masterplan ipo. Haitekelezeki. Energy policy ipo. Tujadiliane baada ya kadhia hii ili tuone nchi yetu iendaje katika sekta ya Nishati.
Naam ipo haja ya kuanza kuzungumzia Nishati kwa ujumla wake hapo Tanzania. Lakini mara nyingi inapofikia hatua kama hiyo michango huwa ni michache na mada hufa taratibu. Mada nyingi zenye kujadiliwa kwa nguvu zote ni zile zenye kutoa shutuma tu.

Zaidi umeonya kuwa masterplan ya umeme haitekelezeki, itakuwa ni jambo la msingi kujua ni kwa nini haitekelezeki, na kama kuna hatua zozote mkononi za kuwa na masterplan mpya inayoendana na hali halisi ya Mazingira duniani kwa sasa.
 
Mh. Zitto wewe umefanya makosa makubwa sana sababu hujasaidia wananchi. Tulikuambia toka mwanzo kuwa DOWANS is a NO NO. Sasa kama kweli ungekuwa unataka kutusaidia wananchi badala ya maelezo mengi, barua yako kwa Mh. Ngeleja ingekuwa na point moja muhimu tu::

1. Tanesco waongee na makampuni makubwa yanayotengeneza Generators duniani kama Wartsila, GE ASAP ili waangalie uwezekano wa upatikanaji wa generator za Gas za MW 200 kwa gharama isyozidi $120million, na ndani ya miezi say 8, halafu wapeleke hizo taarifa kwenye kamati ya Madini na Nishati haraka iwezekanvyo, ili taifa lijue once and for all the truth behind upatikanaji wa New Generators kama PPRA inavyosema.

Sasa wewe mwenzetu umejaa maneno mengi sijui hiki sijui nilisema vile, acha hizo mkuu umeshaanguka kwenye ili tugange yajao na tutakufuatilia kwa karibu mno kuanzia sasa ili umma nao uweze kujua, sio unabeba majonzi yetu halafu unayabwaga kwa wakati unaoamua wewe bila kuturidhisha.


Ebu nikuulize Mh. Zitto umegain nini kwenye ili sakata zaidi ya kutuletea majonzi bila sababu?? Tulikuambia toka mwanzo Price unayotaka kupay ni kubwa mno bila faida yoyote kwako wala kwetu, sababu sasa Umeanguka na hizo generator hazijanunuliwa, yaani Big Loss juu ya Big loss.

Halafu unasema eti bodi ya Tanesco ilikubali ili, so kama Bodi imekubali Dowans na Waziri kakubali dowans na wewe umekubali dowans, na sheria zote za nchi zinakubali kununua dowans, Sasa VIPI TENA TANESCO IMEGHAIRI KUNUNUA DOWANS?? Acha hizo mkuu!

Anyways, kwa hili nakusamehe RASMI na nitaendelea kukuunga mkono 100% nikiamini umelearn lesson na utatumia misaada unayopata hapa kwa sababu mara nyingi JF in totality uwa inakuwa karibu mno na ukweli wa mambo.
 
Kitila,

Tatizo ni kuwa Kamati ya Nishati na Madini iliomba TANESCO wawapeleke wabunge 2 kutoka kamati hiyo kwenda Texas kutafuta mitambo. MD wa TANESCO akakataa.

Hawa Wabunge wawili wana utaalamu wowote katika mitambo ya kuzalisha umeme? Au walikuwa wanataka kusafiri tu kama Wabunge lakini hawana utaalamu wowote kuhusiana na mitambo ya kuzalisha umeme?
 
Kwa sera hii ya dharura hivyo, unaingia kwenye mkataba mbovu, tunaweza kuilinganisha na mfungwa jela mwenye ukame aamue kubaka, kwa hao wanaoshinikiza tanesco wanunue mitambo bomu ili kikidhi kiu ya umeme basi hila la mfungwa kubaka wahalalisha, hiyo maste plan kwa nini isitekelezeke kama inalipa? tatizo viongozi wengi wakienda kwenye majadiliano wanaeweka private interest mbele? Kama Uganda wameweza kujenga 3 dams at go why not us. Kama Sudan matatizo yao wemeweza why not Us. Mimi nina shanga watu na akili na usomi wao wanashindwa kutetea na kutekeleza kitu. Kama tuko seriou leo hii Serikali ikiitisha mkutano or Bid ya kujenga Stigler , watakuja wachina, warusi , wasweden etc, because it will pay. lakini hizi short cut ndio maana leo hii tunazungumzia kuduma kwa elimu, viwanda, biashara na ustaarabu mwingine, a singe thing umeme. na huyo anayesama itachukua muda kujenga, anashindwa kuelewa hiyo ndio dawa, sio kukimbizana na DB shapriya kachelewesha , mara agreko, mara artumas, mara Barrick kajitoa etc etc
 
I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.

Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.

Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).
Nimesema hapo awali kuwa kwa kuwa Watanzania wamezoea kuwa na viongozi wala rushwa na waongo, itawachukua muda kukubali viongozi honest. Hata hivyo, muda huo utafika tu.

Hata hivyo, ni vema sana tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wengine. Kwamba leo mtu akiamua usivyotaka kanunuliwa? Je hayo maamuzi mengine hayawezi pia ya kununuliwa? Hapana, nadhani pale ambapo mwingine ana maamuzi tofauti ni vema kuheshimu maamuzi hayo bila kumwita kila aina ya majina mabaya.

Mimi binafsi, ninaamini kabisa kuwa hoja za TANESCO kuhusiana na suala la equipments hizi ni hoja zenye mshiko. Hoja za Kamati ya Nishati na Madini ni hisia za kisiasa.

Sio kweli kuwa TANESCO hawakuja katika kamati na alternatives. Walikuja na alternatives kadhaa na zote tulizijadili.

  1. Walieleza kushindwa kwa Kiwira kuzalisha 50MW mwezi huu na pia 150MW mwezi wa Septemba.
    1. Walieleza mradi wa Kinyerezi wa 240MW kushindwa kuanza kupitia PPP kufuatia wawekezaji kukosekana
      1. Walieleza mradi wa umeme wa upepo Singida kukwama
        1. Walieleza kuhusu mradi wa 300MW wa Mtwara.

          Katika hili mnawalaumu TANESCO bure tu. walitoa altrnative ya Dowans. walisema mbadala ni kununua mtambo mpya lakini walitahadharisha muda kwani mitambo mipya haipo tayari imetengenezwa na kuwekwa katika show room. Huwa inakuwa ordered kwa mtengenezaji na kuundiwa, kisha kufungwa na baadae kuwa commissioned ndio uanze kazi.

          Mwanakijiji alizungumzia umeme wa Zambia. Tunanunua umeme wa Zambia na ndio unatumika Sumbawanga. Umeme huu ni mdogo sana na ubora wake pia ni mdogo. Kimsingi nchi zote za SADC zina tatizo kubwa sana la Umeme isipokuwa (potentialities) Msumbiji, Tanzania na Congo DR.

          Mwanakijiji alizungumzia Stigler's gorge. Huu ni mkakati wa muda mrefu. It takes time kujenga hydro plant. Kule Kigoma wanajenga Malagarasi mini hydro, itachukua miaka 2 (8MW).

          Ni rahisi sana kuzungumza masuala haya lakini realities are different. Ninashauri baada ya mjadala huu wa TANESCO na DOWANS kuwa umekwisha (TANESCO wameumaliza) tuanze mjadala sober kuhusu 'energy sector' in Tanzania. Tuwe proactive na sio reactioneries.

          Power masterplan ipo. Haitekelezeki. Energy policy ipo. Tujadiliane baada ya kadhia hii ili tuone nchi yetu iendaje katika sekta ya Nishati.
    2. 2

Mpenzi Zitto, mbona kama sehemu ya maelezo yako umeandika kama umetekwa nyara? Uko wapi? Naona kama ume-cut na ku-paste sehemu ya mwisho ya maelezo yako, nani kakuandikia na kukulazimisha kusema haya unayoyasema? Kumbuka hii ni vita na wakati wa vita ya Kagera tulifunga mikanda kwa miezi 18, sasa tuko VITANI na TUNAWASIWASI MWENZETU UKO MATEKA, Hadi tutakapokuona HADHARANI ndipo nitaanza kuamini maneno yako.
 
aaahaaaa.. na wewe pia umo kwenye wanaochambua mambo kwa kina.

Bora mimi siku zote naweka mbele maslahi ya nchi mbele kuliko wewe ambaye siku zote unatetea ufisadi.
 
Anayefikiri Dr. Idrisa alikaa board room mwenyewe kusema mitambo ya DOWANS inunuliwe ana miwani ya mbao na masikio yenye vigingi...

Kauli ya Dr. Idrisa ni ya TANESCO.... na ni vyema muwe na kawaida ya kuheshimu proffesional za watu....

Historia ya TANESCO kuto-invest kwa muda mrefu inafahamika... sasa sijui mwataka nini

Ha ha ha eti tuheshimu professional ya fisadi Idrissa Rashid!!!! Hilo tumekuachia wewe la kuheshimu professional ya fisadi. Sisi wengine tunatetea maslahi ya Taifa. Tumechoka na maamuzi mbali mbali ya kifisadi fisadi yanayofanywa na wanaojiita viongozi ndani ya serikali au mashirika ya umma.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 77 (24 members and 53 guests)

Nao ni:
Mbalamwezi, August, Bubu Ataka Kusema, Edo, izihaka, Jamberi, jambotemuv, Kaniki1974, kimweri, Kipimapembe, Mag3, Mfuatiliaji, Midas Touch, moelex23, Mtindiowaubongo, Mzalendohalisi, Ndanda to Lomwe, Ngongo, Nurujamii, Recta, semilong

Watanzania wa leo sio wa juzi jamani!
 
Hata Lowasa alilia saana, alinyanyswa saana, na alizalililshwa, sasa tuna taka mapinduzi/maendeleo ya kweli
 
Last edited:
Mkandara;

Kimantiki tupo pamoja.

Keil;

Analysis nzuri, ukirudia tena posting yangu mojawapo hapo juu. Utaona nimeshindwa kuelewa kwanini Dr Idrissa amekuja na idea moja tu ya kununua mitambo ya Dowans. Nilitegemea angekuja na ni nini thamani ya kuagiza mitambo toka nje na timeframe itakayochukua.

Mie sipo upande wowote najaribu tu kucheck hali halisi.

Hii issue ipo kisiasa zaidi ndugu zangu!

Wasalaam

FP

Unachosema ni kweli lakini kiongozi mkuu wa Shirika nyeti kama TANESCO anayenawa mikono yake kwamba asiulamiwe pindi nchi itakapoingia gizani kwa sababu Watanzania wamekataa mitambo ya Dowans isinunuliwe maoni yangu hatufai. Baada ya kujitoa katika ununuzi huo wa mitambo ya Dowans, Idrissa alitakiwa aje na solution nyingine ambayo itahakikisha nchi haingii gizani lakini yeye kaamua kukaa pembeni. Hasara kwa nchi kama tutaingia tena gizani ni kubwa mno na uamuzi wake wa kutofanya chochote ni sawa kabisa na uhujumu wa uchumi.
 
Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).

Uongozi ni kitu gani?

Yaani mnataka kutubabaisha uongozi-uongozi, upuuzi mtupu! Nadhani ninyi wanasiasa mmekula ya mbuzi sasa mnaota mapembe na kujiona mnajua kila kitu na kuweza kutuburuza tu. Hata haya majadiliano ya hapa JF unayaita 'hisia' na 'hot air'!

Sasa tumeshaanza kukufahamu Mheshimiwa.

Shukrani
 
Mh. Zito

Nadhani ni vema kukubali sometimes kwamba binadamu wakati mwingine hufanya maamuzi mabaya kwa nia nzuri na hili ndilo lililotokea, sasa kwa wewe kuanza kwa kupiga kifua mbele kwamba kuna wale wanaokujua hata huko chuo kikuu hapa kwa lweli unazidi kuteleza, jiahadhari sasa hivi unaingizwa katika mtego wa kifisadi ambao utakuharibia credibility nzuri uliyojijengea katika ndugu yangu.

1. Na kama nchi isipoingia kwenye kiza je???
2. Ama ndo mafisadi watahujumu tukae kizani eli-mradi tu kuprove point kwama "si tulisema??"

Mimi kama mtaalam wa teknologia za umeme naamini kabisa inji
hii haitaingia kizani na kwamba bado tuna-mda wa kutosha kuagiza mitambo mipya, tuachane na siasa za kujitaftia umaarufu tu ili mradi eti uonekana unampinga daktari fulani..yapo maeneo mengine ya kujipatia umaarufu zaidi.
Rgds.



I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.

Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.

Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).
Nimesema hapo awali kuwa kwa kuwa Watanzania wamezoea kuwa na viongozi wala rushwa na waongo, itawachukua muda kukubali viongozi honest. Hata hivyo, muda huo utafika tu.

Hata hivyo, ni vema sana tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wengine. Kwamba leo mtu akiamua usivyotaka kanunuliwa? Je hayo maamuzi mengine hayawezi pia ya kununuliwa? Hapana, nadhani pale ambapo mwingine ana maamuzi tofauti ni vema kuheshimu maamuzi hayo bila kumwita kila aina ya majina mabaya.

Mimi binafsi, ninaamini kabisa kuwa hoja za TANESCO kuhusiana na suala la equipments hizi ni hoja zenye mshiko. Hoja za Kamati ya Nishati na Madini ni hisia za kisiasa.

Sio kweli kuwa TANESCO hawakuja katika kamati na alternatives. Walikuja na alternatives kadhaa na zote tulizijadili.

  1. Walieleza kushindwa kwa Kiwira kuzalisha 50MW mwezi huu na pia 150MW mwezi wa Septemba.
    1. Walieleza mradi wa Kinyerezi wa 240MW kushindwa kuanza kupitia PPP kufuatia wawekezaji kukosekana
      1. Walieleza mradi wa umeme wa upepo Singida kukwama
        1. Walieleza kuhusu mradi wa 300MW wa Mtwara.

          Katika hili mnawalaumu TANESCO bure tu. walitoa altrnative ya Dowans. walisema mbadala ni kununua mtambo mpya lakini walitahadharisha muda kwani mitambo mipya haipo tayari imetengenezwa na kuwekwa katika show room. Huwa inakuwa ordered kwa mtengenezaji na kuundiwa, kisha kufungwa na baadae kuwa commissioned ndio uanze kazi.

          Mwanakijiji alizungumzia umeme wa Zambia. Tunanunua umeme wa Zambia na ndio unatumika Sumbawanga. Umeme huu ni mdogo sana na ubora wake pia ni mdogo. Kimsingi nchi zote za SADC zina tatizo kubwa sana la Umeme isipokuwa (potentialities) Msumbiji, Tanzania na Congo DR.

          Mwanakijiji alizungumzia Stigler's gorge. Huu ni mkakati wa muda mrefu. It takes time kujenga hydro plant. Kule Kigoma wanajenga Malagarasi mini hydro, itachukua miaka 2 (8MW).

          Ni rahisi sana kuzungumza masuala haya lakini realities are different. Ninashauri baada ya mjadala huu wa TANESCO na DOWANS kuwa umekwisha (TANESCO wameumaliza) tuanze mjadala sober kuhusu 'energy sector' in Tanzania. Tuwe proactive na sio reactioneries.

          Power masterplan ipo. Haitekelezeki. Energy policy ipo. Tujadiliane baada ya kadhia hii ili tuone nchi yetu iendaje katika sekta ya Nishati.
    2. 2
 
Jamani wenye access na kina Shelukindo, ebu waambieni kamati ya Nishati na Madini wamwite Idris ASAP aeleze hatua anazochukua immediately kuongea na GE, Wartsila na wengine kuprocure 200MW new generators in a fast track basis @ a cost of << than $120million installed.

Watanzania nakubali sisi ni wajinga lakini sasa enough is enough.

Rostam/Lowassa wako capable kabisa kusabotage mitambo ya SONGAS, Kidatu, Mtera kama walivyofanya late last year kupush dowans.

tunasema giza lije lakini Tanesco lazima nao waweke mitambo mipya kabla ya mwaka huu 2009 kwisha ili hata hilo giza likija tujue ni la mwisho kwa Tanzania.

May God Bless Tanzania
 
Last edited:
Uongozi ni kitu gani?

Yaani mnataka kutubabaisha uongozi-uongozi, upuuzi mtupu! Nadhani ninyi wanasiasa mmekula ya mbuzi sasa mnaota mapembe na kujiona mnajua kila kitu na kuweza kutuburuza tu. Hata haya majadiliano ya hapa JF unayaita 'hisia' na 'hot air'!

Sasa tumeshaanza kukufahamu Mheshimiwa.

Shukrani
Ameshaota mapembe huyo.......

wanaJF hatuna mchezo tutampotezee muda si mwingi......
Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.
Hizo kauli namkumbuka Edward Lowassa akijiuzulu kwa hasira bungeni.....
 
Jamani wenye access na kina Shelukindo, ebu waambieni kamati ya Nishati na Madini wamwite Idris ASAP aeleze hatua anazochukua immediately kuongea na GE, Wartsila na wengine kuprocure 200MW new generators in a fast track basis @ a cost of << than $120million installed.

Heeeee...kumbe tuna lobbyists humu humu...

omarilyas
 
Back
Top Bottom