Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
Mzee Mwanakijiji na MtindiowaUbungo: nadhani mmezungumzia ishu moja ambayo mi naomba tulizungumzie kwa kirefu bila jazba: - tatizo la umeme halijaanza leo Tanzania. Mimi kinachonifanya nisikie hasira kabisa (najitahidi kutoa jazba) ni hii ya Idrisa kututishia eti tukikaa kizani tusimlaumu. No! Naomba ajiuzulu mara moja, kwani ameshindwa kazi.
Mheshimiwa Zitto, naamini kwamba umetetea dili hili kwa good faith na kwa uzalendo lakini naomba nikuulize, mlikuwa wapi muda wote huu ,mlipokuwa mna-debate kununua mitambo ya Dowans? Kwa nini mitambo mipya haikuagizwa mwaka moja uliopita wakati hili ishu liliibuka? Ina maana hata kamati pia haikuwa na foresight, na itabidi na nyie mkubali responsibility. Je kamati yako itakuwa tayari kuwajibika bila ya kusema eti tunawasukumizia lawama so and so. Kama mzalendo wa kweli, step up and take responsibility. Alternatives zote ulizotaja zinaonekana they were dressed to appear as failure, and you should have known better. Did the committee contact independent specialists to counter opinion by Tanesco? Je ni kweli kwamba ni miaka 2 kupata mitambo na haiwezi kupatikana kwa wepesi zaidi?
Mimi ni mtu ambaye nimeku-hold in very high esteem, but you have failed in this, kwa kukubali to be led by your nose by people with their own interest. Naomba usiwe kama wanasiasa tuliowazoea who take it personally, bali ulete mjadala utakaosogeza nchi mbele.
BTW naomba ni -point out that all the odds and alternatives zilikuwa against ushindi wa Obama but he said YES WE CAN. Where there is a will there is a way!
Mheshimiwa Zitto, naamini kwamba umetetea dili hili kwa good faith na kwa uzalendo lakini naomba nikuulize, mlikuwa wapi muda wote huu ,mlipokuwa mna-debate kununua mitambo ya Dowans? Kwa nini mitambo mipya haikuagizwa mwaka moja uliopita wakati hili ishu liliibuka? Ina maana hata kamati pia haikuwa na foresight, na itabidi na nyie mkubali responsibility. Je kamati yako itakuwa tayari kuwajibika bila ya kusema eti tunawasukumizia lawama so and so. Kama mzalendo wa kweli, step up and take responsibility. Alternatives zote ulizotaja zinaonekana they were dressed to appear as failure, and you should have known better. Did the committee contact independent specialists to counter opinion by Tanesco? Je ni kweli kwamba ni miaka 2 kupata mitambo na haiwezi kupatikana kwa wepesi zaidi?
Mimi ni mtu ambaye nimeku-hold in very high esteem, but you have failed in this, kwa kukubali to be led by your nose by people with their own interest. Naomba usiwe kama wanasiasa tuliowazoea who take it personally, bali ulete mjadala utakaosogeza nchi mbele.
BTW naomba ni -point out that all the odds and alternatives zilikuwa against ushindi wa Obama but he said YES WE CAN. Where there is a will there is a way!