Uwiano Maalum;
Kwa kawaida kampuni yoyote ikileta mitambo hapa nchini inalipia Duty and VAT. Wizara ya Fedha inaweza kusamehe kodi lakini. Kwa case ya Tanesco sijui kama wana Exemption au la. Ila Tanesco ni kampuni na sio serikali; ingawa inamilikiwa 100% na serikali. Kwakuwa inauza huduma na kupata faida ndo maana inalipa kodi serikalini.
Kama mtambo uleletwa kifisadi, hilo ni nje ya mada. suala ni kuwa je Bie hiyo ni halali?, hapo ndo nikasema tulinganishe apple na apple interms of Bei.
Kutaifisha lazima uwe na good grounds. Tukishapata thamani ya mtambo mbadala na kulinganisha gharama za dowans ndo tunaweza kusema ni wa kifisadi au la.
hope nimekujibu.
Asante
FP
Mtambo kuletwa kifisadi ni nje ya mada, ila kulinganisha bei ndio kuwepo ndani ya mada. Positive thinking noted.
Bwana Gire anatuhumiwa kuidanganya serikali kuhusiana na ununuzi wa mitambo ambayo inatakiwa kulinganishwa apple na apple in terms of bei.
Je huoni kuwa kuna uhusiano wa tuhuma za bwana Gire na hii mitambo na kuonyesha kuwa, ilipatikana kwa njia ya kidanganyifu? Kwa nini bwana Gire ashitakiwe kama hii mitambo ni safi kiasi kwamba TANESCO itake kuinunua ? Samahani kama na hili nalo liko nje ya mada hii ya kulinganisha apple na apple au machungwa na maembe.