Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Nimefurahishwa sana,huu ndio uzalendo,hata kama kweli pesa zote zilikuwa za iptl or whatever we can call it,kwa nini hata kodi ya serikali haijalipwa?Nikimuona kijana kama Lusinde aka Kibajaji anavyoongea napata shaka sana na kizazi hiki,naumia sana rohoni,yuwapeleke wapi watoto wetu?Hivi kweli Pinda na wewe una uchungu na nchi hii au ni msaka tonge?Funikeni kombe mwanaharamu apite lakini kuna siku yaja.

Na siku yenyewe ndo hii, kwanini kupeleka mawazo mbali? Wezi wakubwa hawa wasio jali wengine. Level ya waziri mkuu kweli ni ya ku kwapua!!!!??? Eti viongozi " wakubwa hawatakiwa kukashfiwa kwa maneno makali " (Mery Nagu) ....jinga kabisa,....mbona wao hawakuona haya kuchukua bila huruma?
 
Jamaa kapiga speech bunge lilitulia kimya utafikiri mwanamke aliyemaliza kuingiliwa na kufikishwa kileleni, hata sisi mbwa huku mtaani hatukubweka kabisa. Ahsante Mbowe.
 
Nimependa mchango wa Mbowe, ni maneno mazuri ya ujenzi wa taifa letu.

Mkuu Ritz, ni wewe unayasema haya au account yako imekuwa hacked? Kama ni wewe basi una uzalendo na nchi yako.hongera sana
 
Jamaa kapiga speech bunge lilitulia kimya utafikiri mwanamke aliyemaliza kuingiliwa na kufikishwa kileleni, hata sisi mbwa huku mtaani hatukubweka kabisa. Ahsante Mbowe.

Ha ha ha aisee, taifa la mizoga hili,ccm wanatetea ujinga bila facts, wanadhani hoja niya upinzani
 
Hizi arguments alizozitoa Mh. Mbowe naamini zitabadilisha mtazamo wa wabunge wengi. Na wale wanaotetea kila kitu naamini watajiuliza marambili mbili kabla ya kutema pumba zao.
 
Hana lolote ,cbir kesho atakavyolaluliwa hon, Mwigulu Mchemba, Mtatia akili
 
Ccm mtawajua tu...palipo na ukweli mnageuza uongo.Hii laana itawatafuna hadi vilembwe vyenu

Mkuu tenganisha ccm zipo mbili , warioba, Ahmed salim , filikunjombe pamoja na ile kamati teule wajumbe 19 ni ccm unaoongelea we ni ccm maslahi
 
Hivi jamani yule mama wa ccm ambaye alisimama anaitwa nani?Ni mbunge WA wapi? Nimesikitishwa sana hivi ccm wanatumia vigezo gani kupata wabunge WA aina hii. Wananchi wa eneo analotoka huyu mbunge nataka niwajue. Hakuna mbunge hapa.

Nilimsikiliza,pamoja na kusema ye ni mwalimu wa s/msingi, hitimisho langu lilikuwa ni juu ya njia aliyotumia kufika hapo alipo kuwa ni ya kutoaminika!Ni imani yangu alivua kale ka....!Nisamehewe kwa mtazamo huo!
 
Mbowe mimi namkubali kwa dhati ya moyo. Nitaendelea kumtii huyu jamaa.
 
yaani cjui ni nn??? wenzetu ulaya wanakinzana sana ila linapokuja suala la ki taifa wanakuwa wamoja kwa manufaa ya taifa, mbowe nimemkubali sana ameachana na masuala ya fedha ni ya nani yy amejikita kwny taratibu zilizokiukwa, ujinga tulionao kwa kuingizwa mkenge na singasinga, tamaa tulizonazo na ubinafsi unaofanya umma wasipate stahiki zao kama madawa, miundo mbinu, elimu, n.k. na amejitahidi kuonesha kwamba ili ni taifa ambalo halina mawasiliano wenyewe ambapo ni aibu, taifa linalindana kwa ripoti iliyoandikwa na wabunge 19 wa Ccm! Amka muda wa ukombozi ni sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom