Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Mbowe anauwezo Mkubwa sana. Mbowe pekee ni serikali yote ya jk plus mafisadi wote kwa akili

Sijui ccm maslahi wanafikiri kwa kutumia nn kamati ni ya bunge, wajumbe kumi na Tisa 19 kutoka ccm na watano kutoka upinzani, walikubaliana kwa kauli moja moja kama taifa wakeleta maazimio, sasa yule mama anasema ccm haiwezi kuanguka, ccm itashinda, ukiwa na mzazi kama huyu ni hasara kabisa
 
Muheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Kambi Rasmi ya Upinzani Ametoa facts ambazo Kama Taifa ni Funzo kubwa sana. Thanks Mbowe WAzalendo wote tupo nyuma yako mpaka hili jambo lifike mwisho

Hii ishu ndo ishaisha, wanavuta masaa tu kesho wamalize, waende xmas break wakaanze kula vyao!!
 
Nakubaliana na wewe ! Nilitamani angeendelea kuongea lakini ndio hivyo tena muda ukaisha.......

Muheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Kambi Rasmi ya Upinzani Ametoa facts ambazo Kama Taifa ni Funzo kubwa sana. Thanks Mbowe WAzalendo wote tupo nyuma yako mpaka hili jambo lifike mwisho
 
Jamaa anajua kugusa panapostahili......nilikuwa nawangaalia wabunge wa CCM wakimfuatilia kwa makini nikajua pini zinawaingia vya kutosha.

Mkuu naamini kabisa wapo wabunge Safi WA ccm ambao wanaguswa Na Hilo lakini wanaogopa kutengwa Na unafiki wanabaki kuumia ndani kwa ndani. Truth shall set you free msiogope ongeeni wananchi tunaona Na tunajua tutaamua.
 
Mimi nimefurahishwa sana na michango ya Waheshimiwa , Lissu, Mh Mbowe na Kafulila. Hawa jamaa wanaongea wakijua wanaongea mini, wana documents za kukazia wanacho ongea. Wanaongea kwa uchungu wa Watanzania.
Silinde Kibajaj alianza vyema sana ila mwisho ushabiki ukamzidi kaanza kupayuka. Anatakiwa kujua kwamba kuwajibika ni wajibu sio lazima awe ametajwa mahali. Kuna mama kaongea kama yukokwenye klabu ya taarabu. Hivi wabunge wa Ccm wenye akili wameisha hadi wanaweka vituko? Wanaleta utani kwenye vitu serious??
Niombe tu kwamba hili jambo lina interest ya Watanzania la sivyo hatutaelewa
 
Mbowe kaonyesha kuwa kweli anastahili kuwa kiongozi wa kambi ya upinzani. Kazungumza mpaka hata wale washabiki wa hovyohovyo imebidi wanyamaze kabisa.
 
Daaaah! Mh. Mbowe ameongea Kizalendo sana. Sielewi CCM ni watu wa aina gani. Hawataki kabisa kuitetea nchi hii dhidi ya wahalifu wanaoifilisi nchi.

Wana mioyo migumu sana, wanatumia nguvu nyingi sana kuficha uozo.
ila asubuhi alikuwa amepania sana,Namsifu kwa kwenda kulingana na hali ya upepo unavyovuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom