Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Naamini wabunge wote wakiwa Objective like this kama Taifa tutasonga mbele.
 
Hivi jamani yule mama wa ccm ambaye alisimama anaitwa nani?Ni mbunge WA wapi? Nimesikitishwa sana hivi ccm wanatumia vigezo gani kupata wabunge WA aina hii. Wananchi wa eneo analotoka huyu mbunge nataka niwajue. Hakuna mbunge hapa.

haha kweli yule mama ni pumba tupu...kajidhalilisha sana..amedhalilisha na wanawake kwa upande mmoja.... yani alikua anapayuka hajui hata anachokiongea
 
Nimefurahishwa sana,huu ndio uzalendo,hata kama kweli pesa zote zilikuwa za iptl or whatever we can call it,kwa nini hata kodi ya serikali haijalipwa?Nikimuona kijana kama Lusinde aka Kibajaji anavyoongea napata shaka sana na kizazi hiki,naumia sana rohoni,yuwapeleke wapi watoto wetu?Hivi kweli Pinda na wewe una uchungu na nchi hii au ni msaka tonge?Funikeni kombe mwanaharamu apite lakini kuna siku yaja.

Usemacho ni kweli kabisa one day time will tell.
Mfyuuuu zao. Huyo lusinde huwa ndie wanamuaminia kwa taarabu na mafumbo uko ccm but iko cku.
 
Hata mimi naamini huu ni upepo... Hizi ni siasa za bongoland. As usual
 
Siku zote namkubali mbowe, lusinde alimgusa lakini hajaangaika nae. Huwa anaongea kiuzalendo zaidi, maana ccm wote walikuwa kimya.
Hamjasema kasema nini. Wengine tulikuwa mbali na radio wakati Mbowe anaonge
 
Lissu, Kafulila, Mbowe na Zitto(muongozo) ndio wameongea facts leo. Mungu awabariki sana.
 
Ccm wanajifanya hawa sikii haya ila ukiangalia kwa undani maneno ya wasomi wengi pamoja na mh.Mbowe yana wagusa mioyoni na baadae TZ kuna kitu kibaya kitatokea kutokana na viongozi wa CCM kuchukulia mambo mzaa mzaa !!
 
Yule mama alikuwa mwl mkuu wa shule ya msingi Rangi tatu mbagala huko!!sio mbuge wa kuchaguliwa ni wale wa viti maalum.Elimu yake ni darasa la saba.
Kumbe la saba.. ndo maana kwani aliambiwa kodi ilikuwa waved na AG nadhani hakuelewa akaendelea kusema TRA wakakusanye hela yao.... shame on her..... Viva Mhe. MBOWE... Mungu akutangulie na ahsante kwa kulitendea haki taifa letu... ahsante sana mkuu...
 
Waheshimiwa Mbowe na mbatia, ni watu makini sana hapa tizedi. Wakiongea unaona kuna kisomo ndani yake. Wengine wengi wa
Wanatokea kutokana na vikashfa flani flani ndo wanaonekana wa maana, otherwise hawapo kabisa.

Pia ZItto anakuja kuja.. Kwenye hili kundi. Kama angekuwa hajaelemewa na sintofahamu flani flani pia nadhani ni MTU mwenye kuleta tija katika nchi.
Mrema ni mwanasiasa aliyefilisika siasa kwa kiwango cha kukatisha tamaa.
U-legendary wake ndio unaomweka mjini. Otherwise sijui ingekuwaje....
Lowassa huyu ni jembe lingine lenye kujua kuzungumza vizuri na kitaalam.
Hata profesa wetu haoni ndani kwa huyu ha ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom