Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

CCM ni watu wakuogopwa kama Ebola,ni zaidi ya Ukoma..
 

Attachments

  • 1417139212833.jpg
    1417139212833.jpg
    16.7 KB · Views: 354
Sijui ccm maslahi wanafikiri kwa kutumia nn kamati ni ya bunge, wajumbe kumi na Tisa 19 kutoka ccm na watano kutoka upinzani, walikubaliana kwa kauli moja moja kama taifa wakeleta maazimio, sasa yule mama anasema ccm haiwezi kuanguka, ccm itashinda, ukiwa na mzazi kama huyu ni hasara kabisa

Hao ndo ccm maslahi, ili mausha yake yaende lazima awe mnafiki, kwenye uweli asema uongo na kinyume chake.
 
Hii ni Fedheha, ni aibu na ni laaana kuwa mkuu wa nchi aliruhusu mshiko huo utoke na baada ya kutoka watu wakaanza kugawana kama mpira wa kona. Mhhh, hii lazima itutafune, hatuwezi kwenda hivi hivi.
 
Mbowe jana naamini alirudisha senses za wabunge wengi.Ngoja tuone Leo mjadala utakuwaje
 
kama hujaona aliloongea mbowe basi we ni negative kabisa

Mkuu kyumana sio kila mtu wa kumjibu kuna wengine wanatumia akili za watoto. Yaani kwa yote aliyoongea KUB kuna mtu anamdhihaki??? Watanzania tuna safari ndefu sana ya kujitambua na ku-argue na sio ku-shout

Big up KUB
 
Last edited by a moderator:
Mchango wa Mheshimiwa Freeman Mbowe ni mchango bora kabisa ulio kuwa kwenye viwango vya hali ya juu kwenye mjadala wa leo, hoja murua zilizo chagizwa na vielelezo ambavyo vilimuacha hoi AG na akabaki kutikisa kichwa kukubali.

Mkuu mohamed Mtoi halafu eti kuna watu huwa wanamdhihaki eti f4 sijui dj. Mchango wake umewazidi kiwango kwa mbali sana maprofesa wengi hata maleprofeseri wa mashariki ya mbali
 
Last edited by a moderator:
Nimesikitishwa sana na au umbumbumbu au ushabiki au ujinga wa wabunge wa CCM waliochangia

Inaonekana wazi kuwa walikuwa wameambiwa na chama nini wakiseme ndani ya bunge leo.

Hili suala la watawala kufikiri kuwa Watanzania ni Mabwege ni muhimu kulitafutia dawa.
Ukifuatilia wabunge wengi wa CCM waliopayuka jana wana uhusiano na kamati ya nishati na madini. Nadhani unaelewa kwanini walipayuka vile.....
 
Benki kuu ili delay haya Malipo kwa miezi mitatu ili government machineries zifanye due diligence kujiridhisha na transactions hizi.Lakini kwa sababu watu wakitaka kula waliona BOT inawachelewesha tuu.
 
Huelewi hata unachozungumza wewe, akili gani aliyonayo? Mbona ameshindwa kuwasaidia wananchi wa jimbo lake kuhusu mahindi ambayo tani 15,000 za mahindi zimeharibika?

Wewe mwenye akili tusaidie KUB katika hili angefanyeje? Au angeyanunua mwenyewe?
 
Hivi kweli CCM time hang any okie a kiasi hiki mpaka kumpatia Lusinde dk 30 kwenye hoja nzito kama hii ya kukinusuru chama?.Naanza kuamini yote ya PAC kwani sikutegemea kama tunaweza kuwa wapuuzi kiasi hilo tukijua mda wa kujitetea na kulinda cha in mchache arafu badala ya kuweka watu wa kuzungumza issue an walioenda shule tunaweka walinzi tena walinzi wa mtaani kuongea mambo ya chooni shame on our leaders. Massele nae ndio Jana nimetia tick kumbe nae hafai kabisa hata kuwa Mwenyekiti wa vijana wa serikali ya Mtaa.Yaani Jana katuumbuaje.Werema kasaini barua yeye anasema fake!
 
Kiongozi nashukuru kwa kunipatia jina la yule mdada nimekuwa nikitafuta kwa nguvu kubwa kumbe anaitwa mariam msangi. Ahsante Ahsante

Poa kiongozi,samahani nilikosea kidogo anaitwa Kisangi na sio Msangi kama nilivomtaja mwazo mkuu,yaani kwa jana alikuwa Le-mbumbumbu of the day.
 
Mh.Freeman Mbowe....huyu jamaa ana hekima sana hata wakati anaongea bunge limetulia sana na kumsikiliza kwa makini sana...anaongea kwa utulivu.,ana reference za kutosha hadi mzee Werema na Dalali Muhongo wanatikisa vichwa kukubali..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom