Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

MBOWE AMEFUNIKA,,,,,,,,, LUSINDE kijana mzima kwenye suala lenye maslahi ya taifa anaimba taarabu kama wa kike bwana,,,, watu wanamna hii ni hatari sana kwa taifa ( watu hawa tunawapata kwenye movie za kihindi huwa ni wale vimbelembele wa bosi na kazi yao ni kumchekesha bosi)

hamna siku ambayo nimemdharau lusinde kama leo, mwanaume hupaswi kuwa vile kwenye mambo ya msingi, ni bora ukakaa kimya tu kuliko kubwabwaja kama muimba taarabu a.k.a ISHA MASHAUZI...
taifa linateketea wewe unaleta mzaha na cheap politics zako..

MBOWE SHUKRANI SANA KWA KUONYESHA UKOMAVU NA KUONYESHA UNAJALI WATU WAKO,,, FACT ZAKO NI MUHIMU KWA TAIFA HILI!!!!! UBARIKIWE NA WATANZANIA WOTE TUMEONA MCHANGO WAKO HONGERA SANA!!!
 
Kwa hali ilivyo unadhani atafanikiwa? Angalia hata michango kwenye jukwaa wale ambao walikuwa wanasapoti serekali sasa wako against.
Siyo siri mkuu Taifa linafedheheka na sakata hili.
 
Give credit where it's due. Alivyoongea alikuwa critical and critique. Pale palipofanyika uzuri na palifanyika vibaya amesema. Lakini alichonifurahisha ambacho ni wito uliokuwa non partsan ni kuwa wakati wa Richmond kosa lilifanyika na wabunge pamoja na kamamti ya Mwakyembe were driven by vendetta, Lowasa phobia na mengine na sisi wananchi tukaaminishwa. maamuzi yakanyika bila ku assess impact. Mkataba wa Dowans ukasitishwa na hali ulibakiza miezi michahche uwe uwe automatically terminated. Kingine hatukujiuliza kama Richmond was a ghost company pesa ilikwa inaenda kwa nani. Je, tuliweka mikakati ya kuirudisha? Mbowe kagusa kuwa lazima tuangalie processes na systems available are they viable in this computerized digital world

Bravoooo
 
Muheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Kambi Rasmi ya Upinzani Ametoa facts ambazo Kama Taifa ni Funzo kubwa sana. Thanks Mbowe WAzalendo wote tupo nyuma yako mpaka hili jambo lifike mwisho

Sijawahi kumsikiliza Mbowe, lakini leo, nimepata kitu na natamani nimsikilize siku nyingine. Ametufundisha kulinda haki na ni mzalendo. Bunge lilivyotulia wakati anazungumza ilikuwa ni heshima tosha. Anayestahili heshima apewe.
 
Mh. Mbowe yupo smart sana kwa kweli acha wengine wapayuke tu lakini jamaa yuko vzr sana!...
 
Fact is you can't have every Government Machineries at your disposal and let this scandal happen. This is inside Job na waliohusika wote kama walivyotajwa na Ripoti ya PAC lazima wawajibike
 
Mbowe ni jembe ametoa data halisi ila sasa hawa wa ccm wakipitisha tufanyejeeeeeee wananchi nupeni jibu

kuna bibi alipayuka akizodoa wapinzani kwamba wanataka kick.Mbowe akampa data kuwa ktk kamati 19 ni CCM,upinzani ni 5.kwa akili ya kawaida tu
 
Ameongea ukweli tutakuwa tunawawajibisha MaPM lakini hatutaki kusema ukweli.Kwenye shida ni juu kabisa, Pinda ni mbuzi wa kafara.Tuwe wa kweli issue nzima Tembo mkubwa anainyaka vyema, lkn kwa vile akina pinda ni wadogo wanaficja siri ya Musee.
 
mbowe kaonyesha uwezo wa hali ya juu, alafu kaongea kwa fact na kuacha mipasho ya za umma na sio za umma.
 
Hivi jamani yule mama wa ccm ambaye alisimama anaitwa nani?Ni mbunge WA wapi? Nimesikitishwa sana hivi ccm wanatumia vigezo gani kupata wabunge WA aina hii. Wananchi wa eneo analotoka huyu mbunge nataka niwajue. Hakuna mbunge hapa.

Yule mama alikuwa mwl mkuu wa shule ya msingi Rangi tatu mbagala huko!!sio mbuge wa kuchaguliwa ni wale wa viti maalum.Elimu yake ni darasa la saba.
 
Give credit where it's due. Alivyoongea alikuwa critical and critique. Pale palipofanyika uzuri na palifanyika vibaya amesema. Lakini alichonifurahisha ambacho ni wito uliokuwa non partsan ni kuwa wakati wa Richmond kosa lilifanyika na wabunge pamoja na kamamti ya Mwakyembe were driven by vendetta, Lowasa phobia na mengine na sisi wananchi tukaaminishwa. maamuzi yakanyika bila ku assess impact. Mkataba wa Dowans ukasitishwa na hali ulibakiza miezi michahche uwe uwe automatically terminated. Kingine hatukujiuliza kama Richmond was a ghost company pesa ilikwa inaenda kwa nani. Je, tuliweka mikakati ya kuirudisha? Mbowe kagusa kuwa lazima tuangalie processes na systems available are they viable in this computerized digital world

huyo asikuumize kichwa ana stress za kukosa mgao wa escrow anajiona yuko perfect
 
Mboe na mkubali sana. Alinigusa tena kwenye swala la katiba pale bunge lilishindwa lifanyeje kuhusu kura ya waz au isiwe ya wazi. Aliweka hekima kila mtu alizikubali. Leo kanikuna kunako. Wacha wenye chuki nae waseme ya moyoni kwao yaishe. Ccm a.ka kibajaji lusinde kamchokoza kwa vijembe ila yeye hakutaka kujibu pumba zake bali ameongelea hoja za msingi zilizopo mezani. Huyu jamaa ni jembe anafaaa. Huyu ndo kiboko ya ccm.
 
Muheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Kambi Rasmi ya Upinzani Ametoa facts ambazo Kama Taifa ni Funzo kubwa sana. Thanks Mbowe WAzalendo wote tupo nyuma yako mpaka hili jambo lifike mwisho

Ritz umesikia kizungu cha mbowe....jitoe sasa JF coz uliwai kuhapa hapa kama Mh. angeongea kiingilishi vizuri ungejitoa.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom