Muheshimiwa Freeman Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA na Mwenyekiti wa Kambi Rasmi ya Upinzani Ametoa facts ambazo Kama Taifa ni Funzo kubwa sana. Thanks Mbowe WAzalendo wote tupo nyuma yako mpaka hili jambo lifike mwisho
Nina sikia furaha kuwa na mwenyekiti wa chama kama mbowe! He is matured in leadership and politically. Very clear comments with no political biaseness.