Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,446
Hivi jamani yule mama wa ccm ambaye alisimama anaitwa nani?Ni mbunge WA wapi? Nimesikitishwa sana hivi ccm wanatumia vigezo gani kupata wabunge WA aina hii. Wananchi wa eneo analotoka huyu mbunge nataka niwajue. Hakuna mbunge hapa.
Una maanisha mama mmoja mwl.aliyesema 300bn -700bn=0,jina kama Mariam Msangi kama sijakosea,atakuwa viti maalum kutoka jiji kubwa kabisa Tz.
Ujue nimegundua kitu,vyama vya siasa ni mhimu sana kuwa na watu kama huyu mama,pamoja na kutokujua anachoongea lakini watu kama hawa hawezi ona aibu kuongea chochote atakachoambiwa hata kama hana uelewa hata kidogo suala husika.
Pamoja na Deo Filikujombe kutoa taarifa kwamba kodi ilisamehewa na AG,mama huyo alizidi kukazia eti kuwa TRA waende wakachukue tu kodi sababu alijicomiti