Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,887
- 958
Sasa kwanini asingeongea kiswahili anachokimudu ili waandishi wamuelewe?
Kwani Waandishi walisema hawamuelewi ama hawajamuelewa mkuu?
Sasa kwanini asingeongea kiswahili anachokimudu ili waandishi wamuelewe?
Huwa tunacheka. Huoni hapa JF wanaoshindwa kuandika tunavyobagaza? My take ni kuwa, kama wewe hujui kiingereza kwa nini unajifanya kuweka maneno ambayo hujui hata maan yake? Huyo Bashite alikuwa na ulazima gani wa kusema ''dene your research''? Si angeseme tu fanya uchunguzi/utafiti wako?Tungeona kama tunavyoona kwenye kiingereza.
Mtu akikose kuongea kiingereza Mimi siwezi kumcheka hata siku moja. Sijui kwa nini, labda kwa sababu kiingereza changu nacho ni broken 😂.Nje ya mada,
Hivi kwanini ni rahisi zaidi mtu kukosolewa anapokosea neno la kingereza kuliko kukosolewa pale anapoongea neno/sentensi kwa lugha ya Kiswahili na kukosea?
Mfano unakuta humu JF mtu akisahihishwa kuandika Kiswahili kwa ufasaha anakua mkali!
leo dada
Kwahiyo unataka kusema kwamba hajui kiingereza na kwa sababu elimu yetu ya pili na chuo hufundishwa kwa kiingereza hivyo hakuwa akielewa masomo?Tatizo ni kwamba elimu yetu ya Pili na vyuoni ni ya Kiingereza, hivyo ni mategemeo yetu, kuwa angekuwa ana kijua hicho kiswa -inglish, tofauti na MTU mwingine aliyesimea lugha nyingine Shule ya upili na vyuoni. Kama Rio Angejaribu Kiswahili akakisea watu wangemuwelewa.
Shida ni kwamba kuna watu hawajasoma sana ila wanaongea kiingereza vizuri na kuna waliyosoma sana na wana elimu nzuri ila hawawezi kuongea vizuri kiingereza.Hauwezi kujitetea udhaifu wako kwa sababu nchi nyingine zimekwama.Umeanza kujifunza kuongea kiswahili tangu ukiwa na wastani wa miaka miwili/mtoto hadi miaka mitano uliweza kuongea vema.Kiingereza umejifunza kuanzia ukiwa na miaka minane/darasa la tatu hadi miaka 23 chuoni/miaka 15 kwa wastani.Nini shida hapo kama siyo uzuzu sugu aka ukilaza?Jitetee.
Unadhani hiki kuswahili tunachoongea ni fasaha?Huwa tunacheka. Huoni hapa JF wanaoshindwa kuandika tunavyobagaza? My take ni kuwa, kama wewe hujui kiingereza kwa nini unajifanya kuweka maneno ambayo hujui hata maan yake? Huyo Bashite alikuwa na ulazima gani wa kusema ''dene your research''? Si angeseme tu fanya uchunguzi/utafiti wako?
Ata enjoy "WEZA" nzuriView attachment 3591661
Halafu English yake imeishia hapo Ubungo tu hapo ikitokea Magomeni 😂😂😂😂
Sawa mkuu! Kwa matamshi yale angesema hata Wiso ningeelewa siyo Weza!Yawezekana alimaanisha "weasel",hatuwezi kujua.🤔
Halafu watu wanatetea ujinga kama huu kusemwa na mtu aliyesoma mpaka chuoAta enjoy "WEZA" nzuri
Sasa hapa umeanza kupata akili, huu ni mjadala muhimu.Hivi tujiulize kama kweli kutumika kwa kiingereza masomo yetu ndio kunaweza kumfanya mtu aweze kuongea kiingereza vizuri na kwa ufasaha sasa kwanini watanzania tuna shida ya kuongea vizuri kiingereza?
Hiyo nayo ipo.Kuna watu wana vipaji na wepesi kujua lugha mbalimbali.Wepesi mnoo.Mfano mmoja ninao chini ya paa ninalooshi.Anaweza kuzungumza lugha za asili na za mataifa kadhaa tena kwa madaha sana.Ipo hivyo muda mwingine.Shida ni kwamba kuna watu hawajasoma sana ila wanaongea kiingereza vizuri na kuna waliyosoma sana na wana elimu nzuri ila hawawezi kuongea vizuri kiingereza.
Punguza kiherehereKwani Waandishi walisema hawamuelewi ama hawajamuelewa mkuu?