TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,502
- 28,433
Huu nauona uzushi kama bado sijaona takwimu zilizopita zinazoonyesha bei yadola hiyo.View attachment 1909311
Wakati serikali ya awamu ya 6 ikiwa haina mkakati wowote madhubuti wa kuimarisha uchumi, dola imeonyesha kupanda na kuwa zaidi ya Tzs 2310.
Watanzania tuendelee na drama zetu na matamko, tutakutana mbele ya safari tukiwa hoi